G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,880
Sabuni tumeshampa Mwigulu tayari..! sasa anaosha uso baada ya kilio!Huyo aliyejipaka Marangi usoni na tumboni atakuwa amenyweshwa viroba, leo ndio atajitambua baada ya kipigo cha mbwa mwizi, wasisahau kumpa sabuni ya kuogea.