Pearce
JF-Expert Member
- Dec 15, 2018
- 577
- 1,381
Wakati nchi kuna upungufu wa ajira ni Chadema na baadhi ya viongozi wasema kweli wachache CCM wamejitokeza kutetea kundi la vijana.
Wakati kumekuwa mtikisiko wa kiuchumi imebaki Chadema na Zitto kabwe wanaozungumzia uhalisia
Wakati watu wanatekwa na kupotezwa au kuumizwa ni mpaka sasa wengi wahanga ni watu wenye mawazo tofauti na mengi wanayosemea ndio uhalisia wa maisha
Ukombozi una gharama inaonekana na sio propaganda za kwenye makaratasi
CCM ya thamani ni ile ya kwenye Historia ni wakati sasa umefika wa mabadiliko
Wakati kumekuwa mtikisiko wa kiuchumi imebaki Chadema na Zitto kabwe wanaozungumzia uhalisia
Wakati watu wanatekwa na kupotezwa au kuumizwa ni mpaka sasa wengi wahanga ni watu wenye mawazo tofauti na mengi wanayosemea ndio uhalisia wa maisha
Ukombozi una gharama inaonekana na sio propaganda za kwenye makaratasi
CCM ya thamani ni ile ya kwenye Historia ni wakati sasa umefika wa mabadiliko