CHADEMA pangeni walezi wa matawi vyuo vikuu

TEMILUGODA

JF-Expert Member
Feb 11, 2012
1,389
285
Wanabodi Asalaam Aleykum! Kasi ya ajabu inayofanywa na mkoa maalumu wa CCM wa vyuo vikuu ni ya kutisha.Kazi hii inaratibiwa na kikundi kilichohasi TAHLISO kiitwacho Uplink Youth Development.

Sihitaji maneno mengi kuyaweka humu,bali kwa kuwa mkakati huu ambao unaratibiwa na vigogo wa magamba, nataka uongozi wa CHADEMA popote ulipo uteue walezi wa matawi ya vyuo vikuu hasa ikizingatiwa speed ya kuelekea ikulu 2015.

Ni ukweli usiopingika CHADEMA imekamata vyuo kwa asilimia kama 67 hivi, sasa ijizatiti kwani pesa iliyo andaliwa ni nyingi kutibua hawa 'GROUP OF CHANGE IMPACTS' wasomi.NAOMBA ISOMWE NA KUFANYIWA KAZI NA VIONGOZI WA CHADEMA.
 
Jaribu wewe labda viongozi wa cdm watakusikia, maana hata suala la kuanzisha communication media za chama za chama hawasikii,wanategemea media za magamba kama star tv na tbc.
 
Jaribu wewe labda viongozi wa cdm watakusikia, maana hata suala la kuanzisha communication media za chama za chama hawasikii,wanategemea media za magamba kama star tv na tbc.
yawezekana kweli kuna jitihada lkn ni vizuri viongozi mkawa mnajitokeza na kutoa msimamo wa chama kwenye hoja za msingi kama hizi ambazo zinawatia mashaka wanachama na wadau wengi sana wa CHADEMA.kuna baadhi ya wnachuo ambao hawajakuwa na msimamo thabiti na imani imara juu ya CHADEMA ambao kiukweli ndo umekua mtaji wa CCM vyuon. Sasa naona kuna haja umkawa mnatusikiliza maana kiukweli hata mimi wakati mwingine huwa nasikia hasira sana.
 
yawezekana kweli kuna jitihada lkn ni vizuri viongozi mkawa mnajitokeza na kutoa msimamo wa chama kwenye hoja za msingi kama hizi ambazo zinawatia mashaka wanachama na wadau wengi sana wa CHADEMA.kuna baadhi ya wnachuo ambao hawajakuwa na msimamo thabiti na imani imara juu ya CHADEMA ambao kiukweli ndo umekua mtaji wa CCM vyuon. Sasa naona kuna haja umkawa mnatusikiliza maana kiukweli hata mimi wakati mwingine huwa nasikia hasira sana.

Uko usemi kwamba mwenye afya hamuhitaji daktari bali mgonjwa,ccm ni mgonjwa ndiyo maana wanamwona daktari,CDM nashauri tena na tena kwamba kubweteka eti kwa kuwa tuna wanachama wengi ndiyo iwe sababu ya kuacha matawi ya chama yajilee yenyewe haiingii akilini.

Hivi sasa fahamuni wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi wanatengeneza mtandao vyuoni ambao utakapokuwa cemented CDM itapata msukosuko ambao usingetokea kama viongozi wangekuwa wanafanya racking vyuoni.

Lakini tabia ya viongozi kupuuza mawazo ya kujenga ya wanachama juu ya kuimarisha chama ipo siku itagharimu. MWL Nyerere alikuwa na utaratibu wa kupata taarifa kutoka kwa wanavyuo juu ya namna ya kuimarisha chama.CHASO NA BAVICHA are not so creative,so Nationa leaders do it now!
 
Uko usemi kwamba mwenye afya hamuhitaji daktari bali mgonjwa,ccm ni mgonjwa ndiyo maana wanamwona daktari,CDM nashauri tena na tena kwamba kubweteka eti kwa kuwa tuna wanachama wengi ndiyo iwe sababu ya kuacha matawi ya chama yajilee yenyewe haiingii akilini.Hivi sasa fahamuni wakuu wa mikoa,wilaya na wakurugenzi wanatengeneza mtandao vyuoni ambao utakapokuwa cemented CDM itapata msukosuko ambao usingetokea kama viongozi wangekuwa wanafanya racking vyuoni.Lakini tabia ya viongozi kupuuza mawazo ya kujenga ya wanachama juu ya kuimarisha chama ipo siku itagharimu.MWL Nyerere alikuwa na utaratibu wa kupata taarifa kutoka kwa wanavyuo juu ya namna ya kuimarisha chama.CHASO NA BAVICHA are not so creative,so Nationa leaders do it now!

sasa bosi,kama wenyewe wenye chama wameridhika na hatua waliyofikia na wanaona inatosha huoni kuwa mnajisumbua kuwapa ushauri wakati wenyewe hawataki:violin::violin::violin:
 
kwa vyovyote vile ushauri huo hapo ni mzuri na inatakiwa ufanyiwe kazi na wahusika wawe wameridhika ama hawajaridhika
 
Hapa ndiyo kazi ya bavicha inatakiwa ionekane, chaso wamepewa mkakati gani kuelekea 2015 election, juzi hapa ilikuja hoja ya ukanda kwenye uongozi wa chaso makene akaja hapa akaweka mambo sawa lakini nikabaki na shaka kwamba alipata taabu sana kuwapata hata viongozi wa chaso waliopo vyuoni ili aweze kukabiliana na hoja iliyowekwa hapa jf inaonekana haukuna mawasiliano rasmi.

Ni vema org. Hizi zikaimarishwa na ccm wanajua hapo ndipo walipokosea ndiyo maana wameweka hela nyingi na nguvu kubwa.
 
Kuna wakati nakubaliana na yale maneno ya Mwanakijiji kwamba CDM ilipofika kuna wakati yenyewe inakua kama yule mtoto ambae anapokosea ukimwambia unakosea isifanye hili,analalamika hapendwi, ukimwadhibu ndo anasusa na kusema ananyanyaswa..kila wakati anahitaji umpet pet bila kujua atalemaa!

Mtu ambaye yupo JF anajiita kamana na haoni matatizo ya CDM kwa sasa ni mvivu wa kufikiri, na kama CDM inaendelea kukosea na pale wanaporekebishwa unaona ni maneno tu ya maadui wa CDM, hakika wewe ndie adui nambari moja wa CDM na unahatarisha future yake!

Kwa CDM ilipofikia bado ni chama kichanga kimekuja wakati muafaka..kama ni soka za mchangani tungesema wanasaidiwa na upepo wa mabadiliko as citizens alread got fade up with Magamba. Lakini tatizo CDM hakuna mikakati, ni centralized part..hapo ili kuleta movement vyuo vikuu si ajabu anategemewa Dr Slaa atoe go ahead..yupo Zitto,Ben saanane,heche,mnyika na wengine weengi hawalioni hili???

Aibu chama ukishindwa kukiweka sehem potential kama vyuoni..na ukitizama CCM wao wamefika mbali wamesimika chama kwenye ngazi ya familia,shina,mtaa hadi kata..jamani yote haya anasubiriwa Dr Slaa?? Nliwahi kusema hapa kwa hali ilivo pale CDM Dr Slaa ndo Godfather na hiyo hali intrinsically anaipenda..but politically unajidai CDM hata mfagiaji wa pale ofisini kwake ni mhimili wa chama!

Ushauri..wanachama wa chadema fungueni macho, tunakitegemea chadema sababu kinaspeed up changes in tanzania..hakipo madarakani lakini mimi naamini ndo kinafanya srikali iondoke usingizini..
 
Chadema itakuja jialibia yenyewe isipotendea kazi ushauri inayopewa, masuala ya kuwa na media zake yamesemwa hapa tangu siku nyingi lakini kimya, watu wameshauri juu ya kuweka hadharani kilichokusanywa kwenye m4c na kilichobaki kufikia lengo lile la bilion tano ni kimya. Wananchi wanataka waone tofauti ya ccm na cdm kwa vitendo na si kwa maneno tu.
 
Chadema itakuja jialibia yenyewe isipotendea kazi ushauri inayopewa, masuala ya kuwa na media zake yamesemwa hapa tangu siku nyingi lakini kimya, watu wameshauri juu ya kuweka hadharani kilichokusanywa kwenye m4c na kilichobaki kufikia lengo lile la bilion tano ni kimya. Wananchi wanataka waone tofauti ya ccm na cdm kwa vitendo na si kwa maneno tu.
Ni kweli ndg ungonella wa ukweli,cdm wabadilike wanakatisha tamaa wanachama.
 
ni suala la sisi na wapenda mabadiliko kuwatafuta viongozi humu jf kama jj mnyika na wengine wajibu hizo hoja!

Akina jj mnyika wasiwe waoga kuwafungukia akina mbowe halafu ifikie wakati cdm ianze kuwalipa viongozi wa mikoa na wilaya siyo kila siku kusema pesa hamna wakati wao wanalipana mishahara minono.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom