Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Hawa vijana wamejawa jazba
Mkuu hoja hapa ni Chadema kuomba msamaha ili kama ikajaliwa kirudi kwenye game. Mambo ya uteuzi yanahusika vipi? Ndio maana mnafeli sana.