Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
Wakuu,katika mkoa tarajiwa wa Geita CDM iliamua kuanzisha oparesheni maalumu ya kutoa elimu ya uraia vijijini sambamba na ufunguzi wa matawi.Pamoja na uzinduzi wa tawi kijijini Misri uliofanyika mwezi uliopita chini ya katibu wa wilaya Rogers Luhega akisaidiwa na katibu wa vijana wilaya bwana Paulo Vicenti maarufu kwa jina la Dear Mama,kesho jpili timu hiyohiyo itakuwa na uzinduzi wa tawi jipya la cdm katika kijiji cha Nyambogo,kata ya Bulela,tarafa ya Kasamwa,wilaya na mkoa mpya wa Geita zaidi tutawajuza kesho.