El Roi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 262
- 497
Ukiona kampeni za CHADEMA siyo siri zinasisimua. Naweza nisiwe hasa na sababu zinazoeleweka, lakini ukweli unabaki kwamba ni kampeni nzuri.
Kuna tatizo la utovu wa nidhamu ninaloliona ambalo bila shaka litawafanya watu waliostaarabika kuinyima kura Chadema au kuwa katika mtanziko.
Nijuavyo mie Tundu Lissu bado ni mgombea na hajawa mheshimiwa Rais kama anavyoitwa kwenye majukwaa ya kampeni. Inakera na haipendezi kusikia mgombea akiitwa Rais.
Sijui sababu kwa nini haitwi mgombea. Hivi mnajua kwa hakika kwamba kuna watu hawataenda kumpigia kura kwa sababu ya kuamini kesha kuwa Rais? Lakini mbaya zaidi watu wanaoelewa mambo na wasitaarabu wanatafsiri hiyo kuwa fujo na kutojua kuyaweka Mambo mahali pale.
Na ni ukweli usiopingika pia kwamba, mnainyima hadhi nafasi mnayotafuta lakini pia kutotenda haki kwa Rais na mamlaka iliyoko madarakani sasa.
kama Kuna mtu aliwadanganya kufanya hivyo kuwa ni suala la kuongeza matumaini (optimization) ukweli ni kwamba inaudhi na iko out of touch kwa watu wastaarabu na wanaojielewa. Embu muiteni mgombea urais na siyo Rais.
Mkidharau kuna kura mtazikosa manake mtatafsiriwa kama watu unethical, riotic and uncivilised.
Wasalaam
Kuna tatizo la utovu wa nidhamu ninaloliona ambalo bila shaka litawafanya watu waliostaarabika kuinyima kura Chadema au kuwa katika mtanziko.
Nijuavyo mie Tundu Lissu bado ni mgombea na hajawa mheshimiwa Rais kama anavyoitwa kwenye majukwaa ya kampeni. Inakera na haipendezi kusikia mgombea akiitwa Rais.
Sijui sababu kwa nini haitwi mgombea. Hivi mnajua kwa hakika kwamba kuna watu hawataenda kumpigia kura kwa sababu ya kuamini kesha kuwa Rais? Lakini mbaya zaidi watu wanaoelewa mambo na wasitaarabu wanatafsiri hiyo kuwa fujo na kutojua kuyaweka Mambo mahali pale.
Na ni ukweli usiopingika pia kwamba, mnainyima hadhi nafasi mnayotafuta lakini pia kutotenda haki kwa Rais na mamlaka iliyoko madarakani sasa.
kama Kuna mtu aliwadanganya kufanya hivyo kuwa ni suala la kuongeza matumaini (optimization) ukweli ni kwamba inaudhi na iko out of touch kwa watu wastaarabu na wanaojielewa. Embu muiteni mgombea urais na siyo Rais.
Mkidharau kuna kura mtazikosa manake mtatafsiriwa kama watu unethical, riotic and uncivilised.
Wasalaam