CHADEMA ni wakati wa kuomba msamaha kwa Zitto ili awasaidie, amewazidi sana maono

mr gentleman

JF-Expert Member
Aug 1, 2012
3,223
4,679
Pamoja na madhaifu yake lakini kiukweli Zito Kabwe amedhiilisha ni kiongozi mwenye maono kuliko viongozi wote waliopo Chadema.

Kila kinachotokea sasa Zitto alikiona muda mrefu nyuma na akawa anawakumbusha kuweka akiba ya maneno sababu yeye anamjua Mbowe kuliko nyinyi mnaomsoma mitandaoni.

Sasa viongozi wenu pamoja na kejeli zote zote na matusi lakini wameishia alipokuwa anawaambia Zitto.

Kinachofata jiandaeni kuwaona viongozi wenu wakienda kwenye kikosi kazi cha Zitto kutoa maoni yao.

Watachukua ruzuku iliyotakana na uchaguzi haramu.

Mwisho wa siku wataenda kushiriki uchaguzi bila katiba mpya wala tume huru ya uchaguzi na wimbo utakuwa ule ule wa siku zote maCCM yanaiba kura.

Haya yote Zitto ameyaona kabla ya viongozi wenu.

Zitto anajua muafaka wa kitaifa upo ndani ya katiba kila kitu mnachoenda kujadili na Rais kipo kwenye katiba na sheria za nchi ila anafahamu upinzani wote ni njaa kali, huwezi kuwa na principles ukiwa na njaa kali ndio maana kina Halima walichagua ulaji sio misimamo. Hivyo Zitto alikuwa anawaona mkirukaruka mwisho wenu ni kusogea kwenye foleni ya kulamba asali.

Tukubali tukatae Zitto amewazidi kwa mbali sana upeo viongozi wa Chadema.

Chadema kaeni karibu na Zitto awasaidie mawazo ya kuendesha chama chenu, kina Mbowe vichwa havioni mbali anymore.
20220522_071131.jpg
 
Yaani kibaraka wa CCM ndio aombwe mawazo?!! Si bora wakakaa na CCM yenyewe kujadiliana kuliko kibaraka wa CCM?!!

Zitto ni mnafiki mkubwa na ndumi la kuwili,asili ya wanasiasa wa Kigoma ni kutumika kama toilet paper!!
Povu ni jingi Sana, kama kakukosea msamehe
 
Mwisho wa siku wataenda kushiriki uchaguzi bila katiba mpya wala tume huru ya uchaguzi na wimbo utakuwa ule ule wa siku zote maCCM yanaiba kura.
Huu ujinga mnausomea wapi?
Unadai Zitto aombwe msamaha kama mkwamba unaonesha kuwa alikuwa sahihi kwa msimamo wake, lakini ona ujinga wako ktk aya hiyo.

Kwamba sasa pamoja na kwamba Zitto yupo ktk kikosi kazi hicho bado umedhihirisha kuwa kumbe hata malengo ya Zitto mwenyewe ya tume huru hayatapatikana.

Sasa hapa aombwe msamaha kwa lipi? Maana hata yeye haamini kwamba tume huru itapatikana ( kwa mujibu ya maelezo ya aya yako hiyo).

Acha porojo hizi.
 
Chadema chama kubwa. Ndiyo maana ccm haiishi kuhangaika na chadema.

Bravo! Mbowe the genius of politics.
 
Huu ujinga mnausomea wapi?
Unadai Zitto aombwe msamaha kama mkwamba unaonesha kuwa alikuwa sahihi kwa msimamo wake, lakini ona ujinga wako ktk aya hiyo.

Kwamba sasa pamoja na kwamba Zitto yupo ktk kikosi kazi hicho bado umedhihirisha kuwa kumbe hata malengo ya Zitto mwenyewe ya tume huru hayatapatikana.

Sasa hapa aombwe msamaha kwa lipi? Maana hata yeye haamini kwamba tume huru itapatikana ( kwa mujibu ya maelezo ya aya yako hiyo).

Acha porojo hizi.
Vijana na viongozi wa Chadema wamemtukana sana Zitto kwa mambo ambayo wanayafanya sasa hivi bila ya aibu. Yani wanaenda ikulu kuomba wapewe katiba mpya na Shaka uko ni kuishiwa maono na kuwa mbumbumbu.
 
Umezaliwa jana wewe? Hujui kwa nini Zitto tulimfukuza Chadema? Wewe humjui unamsoma tu,Sisi walimu wake tunamjua vizuri sana.
Zitto anamjua Mbowe kuliko nyinyi watukana matusi mitandaoni.

Ndio maana alikuwa anawaambia msimalize maneno lazima viongozi wa Chadema wakalambe asali ya ikulu.
 
Pamoja na madhaifu yake lakini kiukweli Zito Kabwe amedhiilisha ni kiongozi mwenye maono kuliko viongozi wote waliopo Chadema.

Kila kinachotokea sasa Zitto alikiona muda mrefu nyuma na akawa anawakumbusha kuweka akiba ya maneno sababu yeye anamjua Mbowe kuliko nyinyi mnaomsoma mitandaoni.

Sasa viongozi wenu pamoja na kejeli zote zote na matusi lakini wameishia alipokuwa anawaambia Zitto.

Kinachofata jiandaeni kuwaona viongozi wenu wakienda kwenye kikosi kazi cha Zitto kutoa maoni yao.

Watachukua ruzuku iliyotakana na uchaguzi haramu.

Mwisho wa siku wataenda kushiriki uchaguzi bila katiba mpya wala tume huru ya uchaguzi na wimbo utakuwa ule ule wa siku zote maCCM yanaiba kura.

Haya yote Zitto ameyaona kabla ya viongozi wenu.

Zitto anajua muafaka wa kitaifa upo ndani ya katiba kila kitu mnachoenda kujadili na Rais kipo kwenye katiba na sheria za nchi ila anafahamu upinzani wote ni njaa kali, huwezi kuwa na principles ukiwa na njaa kali ndio maana kina Halima walichagua ulaji sio misimamo. Hivyo Zitto alikuwa anawaona mkirukaruka mwisho wenu ni kusogea kwenye foleni ya kulamba asali.

Tukubali tukatae Zitto amewazidi kwa mbali sana upeo viongozi wa Chadema.

Chadema kaeni karibu na Zitto awasaidie mawazo ya kuendesha chama chenu, kina Mbowe vichwa havioni mbali anymore.
Kwani Zitto yeye hana njaa? Atusaidie vipi?
 
Huu ujinga mnausomea wapi?
Unadai Zitto aombwe msamaha kama mkwamba unaonesha kuwa alikuwa sahihi kwa msimamo wake, lakini ona ujinga wako ktk aya hiyo.

Kwamba sasa pamoja na kwamba Zitto yupo ktk kikosi kazi hicho bado umedhihirisha kuwa kumbe hata malengo ya Zitto mwenyewe ya tume huru hayatapatikana.

Sasa hapa aombwe msamaha kwa lipi? Maana hata yeye haamini kwamba tume huru itapatikana ( kwa mujibu ya maelezo ya aya yako hiyo).

Acha porojo hizi.
Kama hamtaki kumuomba MSAMAHA basi onyesheni heshima mtakapokwenda kutoa maoni yenu, maana tayari ni boss wenu, ni mjumbe wa kati ya kudumu, atawasikiliza na atachukua maoni yenu
 
Pamoja na madhaifu yake lakini kiukweli Zito Kabwe amedhiilisha ni kiongozi mwenye maono kuliko viongozi wote waliopo Chadema.

Kila kinachotokea sasa Zitto alikiona muda mrefu nyuma na akawa anawakumbusha kuweka akiba ya maneno sababu yeye anamjua Mbowe kuliko nyinyi mnaomsoma mitandaoni.

Sasa viongozi wenu pamoja na kejeli zote zote na matusi lakini wameishia alipokuwa anawaambia Zitto.

Kinachofata jiandaeni kuwaona viongozi wenu wakienda kwenye kikosi kazi cha Zitto kutoa maoni yao.

Watachukua ruzuku iliyotakana na uchaguzi haramu.

Mwisho wa siku wataenda kushiriki uchaguzi bila katiba mpya wala tume huru ya uchaguzi na wimbo utakuwa ule ule wa siku zote maCCM yanaiba kura.

Haya yote Zitto ameyaona kabla ya viongozi wenu.

Zitto anajua muafaka wa kitaifa upo ndani ya katiba kila kitu mnachoenda kujadili na Rais kipo kwenye katiba na sheria za nchi ila anafahamu upinzani wote ni njaa kali, huwezi kuwa na principles ukiwa na njaa kali ndio maana kina Halima walichagua ulaji sio misimamo. Hivyo Zitto alikuwa anawaona mkirukaruka mwisho wenu ni kusogea kwenye foleni ya kulamba asali.

Tukubali tukatae Zitto amewazidi kwa mbali sana upeo viongozi wa Chadema.

Chadema kaeni karibu na Zitto awasaidie mawazo ya kuendesha chama chenu, kina Mbowe vichwa havioni mbali anymore.
Kwa nini hayo maono asitumie kuikuza ACT iwe kubwa kama nyumba?
 
Back
Top Bottom