Nakipenda sana chama changu za cdm, kwa kuwa hakina mbadala katika kutetea Taifa hili, kimevumilia mengi, kimepita mabonde na milima, wanachama wetu wamemwaga damu katika juhudi hizi za ukombozi wa pili.
hata hivyo ninajua kuwa kamati kuu inakutana wiki end hii na kuwa agenda ni kuwavua uanachama wasaliti, sina kinyongo katika hili, ila NAOMBA KUTOA TAHADHARI, KILA JAMBO NA WAKATI WAKE, HUU NI WAKATI WA KUJADILI KATIBA MPYA NA MUSTAKABALI WA NCHI YETU, WENZENU CCM WANASUBIRI KWA HAMU MLIANZISHE NA ZITO WALICHOCHEE KAMA KAWAIDA NA BAADA YA HAPO WAIKARABATI RASIMU WANAVYOPENDA WENYEWE, MKIMALIZA UGOMVI TAYARI MTAKUWA MMECHELEWA.
hata hivyo ninajua kuwa kamati kuu inakutana wiki end hii na kuwa agenda ni kuwavua uanachama wasaliti, sina kinyongo katika hili, ila NAOMBA KUTOA TAHADHARI, KILA JAMBO NA WAKATI WAKE, HUU NI WAKATI WA KUJADILI KATIBA MPYA NA MUSTAKABALI WA NCHI YETU, WENZENU CCM WANASUBIRI KWA HAMU MLIANZISHE NA ZITO WALICHOCHEE KAMA KAWAIDA NA BAADA YA HAPO WAIKARABATI RASIMU WANAVYOPENDA WENYEWE, MKIMALIZA UGOMVI TAYARI MTAKUWA MMECHELEWA.