Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Huwa ninasema na nitaendelea kusema kuwa CHADEMA ni tawi tiifu la CCM. Hata sasa mijadala ya kisiasa inayoendelea wafuasia wa Chadema ni "follower" wa makada wa CCM. utasikia "Samia amteue fulani amuache fulani" au "urais mwaka Fulani twende na fulani"..
Nimeambatanisha uzi nikionyesha jinsi kada wa CCM anavyofanya kazi ndani ya Chadema kama Mwenyekiti.
Mbowe katangaza kuwa Chadema haitashiriki uchaguzi wowote nchini, hii ni dhahiri anataka kuhakikisha CCM inashika hatamu kwenye kila nyanja bila kupingwa.
Tuendelee kusubiri
Huwa ninasema na nitaendelea kusema kuwa CHADEMA ni tawi tiifu la CCM. Hata sasa mijadala ya kisiasa inayoendelea wafuasia wa Chadema ni "follower" wa makada wa CCM. utasikia "Samia amteue fulani amuache fulani" au "urais mwaka Fulani twende na fulani"..
Freeman Mbowe, kada mtiifu wa CCM aliyepewa uenyekiti CHADEMA
Freeman Mbowe, kada mtiifu wa CCM aliyepewa uenyekiti Chadema. Igwe wana JF, Japo wengi hawaelewi hadi siku yawatokee wao kuna haja ya kuweka kumbukumbu sawa. Wengi wanamjua Freeman Mbowe kama kiongozi wa CHADEMA na KUB ila kwa uhalisia wa mambo kuna kazi zaidi ya hiyo, Mbowe huyu ni zaidi ya...
www.jamiiforums.com
Nimeambatanisha uzi nikionyesha jinsi kada wa CCM anavyofanya kazi ndani ya Chadema kama Mwenyekiti.
Mbowe katangaza kuwa Chadema haitashiriki uchaguzi wowote nchini, hii ni dhahiri anataka kuhakikisha CCM inashika hatamu kwenye kila nyanja bila kupingwa.
Tuendelee kusubiri