Chadema ni sikio la kufa watu waliwambia haya hamkutaka kusikia kwa mwendo huu wa mzee baba mtasambaratika

Kifaru86

JF-Expert Member
Apr 22, 2017
1,734
3,802
Baada ya uchaguzi mkuu kumalizika 2015 na ccm kushinda kwa wale wafuatiliaji watu wengi walitoa maoni chadema wajipange na wajiandae na uchaguzi wa mwaka 2020 ikiwemo .......

1.kupigania katiba ambayo watu wengi walikuwa wanailalamikia baadhi ya vipengele virekebishwe

2.kupiginia tume huru ambayo walikuwa wengi wanailalamikia ambayo wengi walilalamikia inahitaji marekebisho

3.kuandaa ajenda ambayo wananchi itawashawishi wananchi wawazidi kuwapigania na kuwa na imani,

4.kupanga upya Sera na mikakati maluumu kuelekea 2020 ili wananchi wazidi kuwa na imani nao,........

Na mambo mengi walishauliwa lakini ndugu zetu kama waliziba masikio , watu waliwashauli hamkutana kusikia ona sasa

Wananchi wengi wameshakata tamaa ya kupiga kura, wanajua hata wapiga kura hawawezi kushinda, vijana wengi wameshajikatia tamaa na mambo ya kisiasa ile hamasa hamasa haipo tena kiukweli chadema watu waliamb

Na mzee baba na yeye atatumia mwanya huo huo kuwapoteza kisiasa kuwapoteza kisiasa kwa maana mnaonekana hamna sera
 
KWA UWANJA UPI ULIO SAWA HAPA SURUHISHO SIO DEMOCRACY TENA SULUHISHO NI .................................
 
Baada ya uchaguzi mkuu kumalizika 2015 na ccm kushinda kwa wale wafuatiliaji watu wengi walitoa maoni chadema wajipange na wajiandae na uchaguzi wa mwaka 2020 ikiwemo .......

1.kupigania katiba ambayo watu wengi walikuwa wanailalamikia baadhi ya vipengele virekebishwe

2.kupiginia tume huru ambayo walikuwa wengi wanailalamikia ambayo wengi walilalamikia inahitaji marekebisho

3.kuandaa ajenda ambayo wananchi itawashawishi wananchi wawazidi kuwapigania na kuwa na imani,

4.kupanga upya Sera na mikakati maluumu kuelekea 2020 ili wananchi wazidi kuwa na imani nao,........

Na mambo mengi walishauliwa lakini ndugu zetu kama waliziba masikio , watu waliwashauli hamkutana kusikia ona sasa

Wananchi wengi wameshakata tamaa ya kupiga kura, wanajua hata wapiga kura hawawezi kushinda, vijana wengi wameshajikatia tamaa na mambo ya kisiasa ile hamasa hamasa haipo tena kiukweli chadema watu waliamb

Na mzee baba na yeye atatumia mwanya huo huo kuwapoteza kisiasa kuwapoteza kisiasa kwa maana mnaonekana hamna sera
Assume wangefanya hayo yote unayoyasema, wananchi wangejuaje wakati mikutano ya hadhara hairuhusiwi na hadi vikao vya ndani wanakamatwa? ACT tu juzi walikamatwa kwa kufungua matawi
 
Baada ya uchaguzi mkuu kumalizika 2015 na ccm kushinda kwa wale wafuatiliaji watu wengi walitoa maoni chadema wajipange na wajiandae na uchaguzi wa mwaka 2020 ikiwemo .......

1.kupigania katiba ambayo watu wengi walikuwa wanailalamikia baadhi ya vipengele virekebishwe

2.kupiginia tume huru ambayo walikuwa wengi wanailalamikia ambayo wengi walilalamikia inahitaji marekebisho

3.kuandaa ajenda ambayo wananchi itawashawishi wananchi wawazidi kuwapigania na kuwa na imani,

4.kupanga upya Sera na mikakati maluumu kuelekea 2020 ili wananchi wazidi kuwa na imani nao,........

Na mambo mengi walishauliwa lakini ndugu zetu kama waliziba masikio , watu waliwashauli hamkutana kusikia ona sasa

Wananchi wengi wameshakata tamaa ya kupiga kura, wanajua hata wapiga kura hawawezi kushinda, vijana wengi wameshajikatia tamaa na mambo ya kisiasa ile hamasa hamasa haipo tena kiukweli chadema watu waliamb

Na mzee baba na yeye atatumia mwanya huo huo kuwapoteza kisiasa kuwapoteza kisiasa kwa maana mnaonekana hamna sera
Haijawahi kutokea rais akaitwa DIKTETA akiwa madarakani,siku zote akiondoka ndio jina liabatizwa,tujiandae na hilo,,
 
MSELA WA MANZESE subiri kampeni zianze watu wapande majukwaani ndio utawatambua chadema
Shida sio kampeni baba ,......

Shida ni kwamba wananchi wameshavunjika mioyo lakini pia wananchi hawana imani tena wapinzani,......

Kwa sababu wanajua wapige kura wasipige kura wapinzani hawawezi kushinda

Hivyo mwananchi anaona bora apumzike tuu nyumbani kuliko kuangaika na watu ambao hawana mbele wala nyumaa
 
Assume wangefanya hayo yote unayoyasema, wananchi wangejuaje wakati mikutano ya hadhara hairuhusiwi na hadi vikao vya ndani wanakamatwa? ACT tu juzi walikamatwa kwa kufungua matawi
Hata mikutano ya hadhara ingeruhusiwa

Hali ingekuwa ile ileeeeeee
 
Upinzani uliondoka na Dr Slaa. Alikuwa mbunifu saana.
Una akili iliyo lala kweli! Amka.
Mazingira ya siasa 2010 -2015 unaweza yalinganisha na ya 2016-2019? Kama huwezi kuliona hilo kujadili nawe siasa za sasa ni wastage of time.
 
KWA UWANJA UPI ULIO SAWA HAPA SURUHISHO SIO DEMOCRACY TENA SULUHISHO NI .................................
Uko sahihi kabisa, democracy (uungwana) ikipotea ni dhahiri ile njia nyingine (japo ni chungu) haina budi itumike.
Bahati njema sana ni kuwa kule mahala kwenye mabakamabaka sasa hivi kuna maofisa wengi vijana wasomi wanaoelewa what's going on, ni swala la kupatikana mtu/watu wa kuwatekenya kidogo na muziki wa sebene una anza na nchi tunaheshimiana
 
Una akili iliyo lala kweli! Amka.
Mazingira ya siasa 2010 -2015 unaweza yalinganisha na ya 2016-2019? Kama huwezi kuliona hilo kujadili nawe siasa za sasa ni wastage of time.
Hivi visingizio vyenu havina hata maana. Chadema mmeiua nyinyi wenyewe, tuliwashauri sana msimpokee Lowasa lakini mkatuona wajinga. Pambaneni na hali zenu.
 
Baada ya uchaguzi mkuu kumalizika 2015 na ccm kushinda kwa wale wafuatiliaji watu wengi walitoa maoni chadema wajipange na wajiandae na uchaguzi wa mwaka 2020 ikiwemo .......

1.kupigania katiba ambayo watu wengi walikuwa wanailalamikia baadhi ya vipengele virekebishwe

2.kupiginia tume huru ambayo walikuwa wengi wanailalamikia ambayo wengi walilalamikia inahitaji marekebisho

3.kuandaa ajenda ambayo wananchi itawashawishi wananchi wawazidi kuwapigania na kuwa na imani,

4.kupanga upya Sera na mikakati maluumu kuelekea 2020 ili wananchi wazidi kuwa na imani nao,........

Na mambo mengi walishauliwa lakini ndugu zetu kama waliziba masikio , watu waliwashauli hamkutana kusikia ona sasa

Wananchi wengi wameshakata tamaa ya kupiga kura, wanajua hata wapiga kura hawawezi kushinda, vijana wengi wameshajikatia tamaa na mambo ya kisiasa ile hamasa hamasa haipo tena kiukweli chadema watu waliamb

Na mzee baba na yeye atatumia mwanya huo huo kuwapoteza kisiasa kuwapoteza kisiasa kwa maana mnaonekana hamna sera
Wewe unapigana njaa?
 
Wabunge 70 walipata, Ruzuku ikapanda ukichanganya na michango ya wabunge saa nagapi viongozi watakumbuka hayo ya katiba na tume huru..wakati mipesa imeshakua mingi..
 
Hivi hii nchi ni ya CDM au ni ya wananchi?

Wananchi mmelala fofofoo mnasubiri Chadema ndio wawapambanie?
 
Back
Top Bottom