ukitaja ufisadi wowote mkubwa ambao unaliangamiza taifa hili na vizazi vinavyokuja huwezi kuutenga wizi na ufisadi huo na ccm,pia jaribu kuangalia harakati za mabadiliko yote ya kweli ndani ya taifa hili ikiwemo kufichua ufisadi mkubwa huwezi ukautenganmisha na chadema,
hakika,chadema ni nyuki wa asali kwa watanzania na ccm ni mbu wa malaria.watanzania let us think big for our nation.
hakika,chadema ni nyuki wa asali kwa watanzania na ccm ni mbu wa malaria.watanzania let us think big for our nation.