Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa namna nnavyoona CDM inavyowanufaisha viongozi wake, ambao wengi sasa wanatembelea magari ya kifahari na kujenga majumba ya kifahari nnaona CDM ni kama NGO au pressure group ambayo inatisha ili ile...
Nakubaliana na mwanzisha uzi.Ni mtazamo wako. Na join date inaruhusu.
HATARI:
Weka mbali na Tembo.
Basi CCM in NGO inayonufaisha familia. Unaonaje hapoooooo?Kwa namna nnavyoona CDM inavyowanufaisha viongozi wake, ambao wengi sasa wanatembelea magari ya kifahari na kujenga majumba ya kifahari nnaona CDM ni kama NGO au pressure group ambayo inatisha ili ile...
CDM ni wanaharakati wa siasa, na si wanasiasa, hili kila siku mie nalisema . Kwa maana hiyo km ni wanaharakati ni kweli NGO na si chama cha siasa
Wewe ni mwanachama mpya wa JF,karibu sana jukwaani,hili siyo jukwaa la umbeya ni jukwaa unalotakiwa kutoa maoni yako na pale unapotoa allegations,those allegations must be supported by concrete evidences!Kwa namna nnavyoona CDM inavyowanufaisha viongozi wake, ambao wengi sasa wanatembelea magari ya kifahari na kujenga majumba ya kifahari nnaona CDM ni kama NGO au pressure group ambayo inatisha ili ile...
Kanyaga twende mkuu!Hayo yenu ,yangu Moyoni NCHI chini ya CDM 2015
Kwa namna nnavyoona CDM inavyowanufaisha viongozi wake, ambao wengi sasa wanatembelea magari ya kifahari na kujenga majumba ya kifahari nnaona CDM ni kama NGO au pressure group ambayo inatisha ili ile...
inafaa sana kwa Online PHD kama ile ya Makongoro Mahanga!teh teh teh!Hii hypothesis ni nzuri sana kuiandikia paper, tena ya PhD! GeniusBrain usiishie hapo mkuu.
.Kwa namna nnavyoona CDM inavyowanufaisha viongozi wake, ambao wengi sasa wanatembelea magari ya kifahari na kujenga majumba ya kifahari nnaona CDM ni kama NGO au pressure group ambayo inatisha ili ile...
.Kwa namna nnavyoona CDM inavyowanufaisha viongozi wake, ambao wengi sasa wanatembelea magari ya kifahari na kujenga majumba ya kifahari nnaona CDM ni kama NGO au pressure group ambayo inatisha ili ile...
Mimi sifahamu au mimi siyo mtu?Hamna mtu asiyeifahamu CDM!
Nakubaliana na mwanzisha uzi.
Hamna mtu asiyeifahamu CDM!
Precisely mkuu!