CHADEMA ni fungu la kukosa, ndilo linaloleta vurugu katika taifa hili

Zee la kitaa

JF-Expert Member
Oct 25, 2017
403
211
Kwa hali ilivyosasa; inadhihirisha zaili kuwa Tanzania haina vyama imara vya upinzani vyenye ajenda ya kudumu katika kuleta mageuzi yenye neema kwa taifa hili. Jamii ya Watanzania wengi walijenga imani kubwa kwa chadema katika uchaguzi wa 2015; lakini wengi kwa sasa wanajutia kuipa imani kubwa chama kisicho na misingi iliyoimara. Kwa bahati mbaya chadema wameshindwa kujitambua kuwa wao ni chama kikuu cha upinzani Tanzania wanatakiwa kuweka mazingira ya kuchukua dola kwa kuongeza imani kwa watanzania waliowengi; ila kwa sasa wamebaki na porojo katika mitandao ya kijamii. Vijana wengi wa chadema wakiambiwa ukweli wanakimbilia kutukana bila kutafakari wapi chama kimejikwaa na nini wafanye.

Watanzania walio wengi wanatamani kuona vyama vinakuja na hoja za kuwaletea mabadiliko ya maendeleo na sio mabadiliko ya kuzungusha mikono. Kila wakati kupinga hata ambayo hayastahiri kupingwa; hivyo kuathiri imani ambayo watanzania wengi waliiweka kwa chama hiki. Viongozi mbalimbali kujiudhuru na kuachia nyazifa zao kunaonesha ni namna gani chama kimekosa dira ya kuimarisha mikakati ya kukieneza chama na kupata wanachama wengi zaidi.

Chama cha siasa ni wafuasi; kukimbia kwa wafuasi ni moja ya kiashiria kwamba kuna tatizo; lakini vijana wa chadema waburuzwa na hisia eti wanachama wao wananunuliwa. Chadema kimekuwa chama cha kiwanaharakati kuliko uhalisia nini wananchi wanataka. Watanzania wachache sana hususani walioko katika mitandao ya kijamii tena na wao sio wote wanaopenda siasa za kiuwanaharakati. Ni wakati chadema mkajitambua; mkaacha matusi, mkaelezena ukweli na kukijenga chama chenu; la sivyo mtabaki na ajenda za maandamano na mkaandamana bila mafanikio. All the best.
 
Hii revolution usipime, haiko kichama.
CCM imeshazidiwa ushawishi wa kisiasa na upinzani, bado muda mfupi tu polisi wanaowabeba watazidiwa nguvu na umma wa wasioipenda ccm.
Hahahahaaa nijichekee mie. All the best; ndio mtakapojua taifa hili na jamii inamkubali Magufuli kuliko nyie mafisadi mnaotumia hela zetu kueneza chuki baada ya miradi yenu kuminywa.
 
Ulishawahi ona wapi,kwenye nchi ya demokrasia siasa zikipigwa marufuku kwa kisingizio eti watu wafanye kazi,unategemea siasa watu wakafanyie kwenye vyumba vyao?

Mnaogopa mpambano au?

Umesikia taarifa kuwa viongozi wote wa Chadema morogoro wana kesi mahakamani na wengine wamefungwa,sawa watu hufanya makosa lakini je mbona watu wa chama kimoja ndio inawakuta hii?

Uliona wapi mkuu wa mkoa anasema wachague CCM hawatabomolewa nyumba zao,hii imetokea dar es salaam,ni maajabu eti.!
Hayo ni baadhi tu.

Siasa ni mchezo mchafu,tunajua kuchezeana rough kitu cha kawaida lakini ni muhimu kutumia akili ili usiache madoa nyuma.

CCM TUMIENI AKILI KWENYE KUCHEZA ROUGH...
 
Kwa hali ilivyosasa; inadhihirisha zaili kuwa Tanzania haina vyama imara vya upinzani vyenye ajenda ya kudumu katika kuleta mageuzi yenye neema kwa taifa hili. Jamii ya Watanzania wengi walijenga imani kubwa kwa chadema katika uchaguzi wa 2015; lakini wengi kwa sasa wanajutia kuipa imani kubwa chama kisicho na misingi iliyoimara. Kwa bahati mbaya chadema wameshindwa kujitambua kuwa wao ni chama kikuu cha upinzani Tanzania wanatakiwa kuweka mazingira ya kuchukua dola kwa kuongeza imani kwa watanzania waliowengi; ila kwa sasa wamebaki na porojo katika mitandao ya kijamii. Vijana wengi wa chadema wakiambiwa ukweli wanakimbilia kutukana bila kutafakari wapi chama kimejikwaa na nini wafanye.

Watanzania walio wengi wanatamani kuona vyama vinakuja na hoja za kuwaletea mabadiliko ya maendeleo na sio mabadiliko ya kuzungusha mikono. Kila wakati kupinga hata ambayo hayastahiri kupingwa; hivyo kuathiri imani ambayo watanzania wengi waliiweka kwa chama hiki. Viongozi mbalimbali kujiudhuru na kuachia nyazifa zao kunaonesha ni namna gani chama kimekosa dira ya kuimarisha mikakati ya kukieneza chama na kupata wanachama wengi zaidi.

Chama cha siasa ni wafuasi; kukimbia kwa wafuasi ni moja ya kiashiria kwamba kuna tatizo; lakini vijana wa chadema waburuzwa na hisia eti wanachama wao wananunuliwa. Chadema kimekuwa chama cha kiwanaharakati kuliko uhalisia nini wananchi wanataka. Watanzania wachache sana hususani walioko katika mitandao ya kijamii tena na wao sio wote wanaopenda siasa za kiuwanaharakati. Ni wakati chadema mkajitambua; mkaacha matusi, mkaelezena ukweli na kukijenga chama chenu; la sivyo mtabaki na ajenda za maandamano na mkaandamana bila mafanikio. All the best.
Nimegundua kumbe wengi Tanzania hatuelewi democrasia ya vyama vingi ni nini! Hata kubishana na mleta uzii huu ni kujipotezea wakati. Haya endelea na mawazo yako yaliyojifunga katika democrasia ya vyama kimoja! Nasisitiza, siyo chama kimoja bali VYAMA KIMOJA!
 
Ulishawahi ona wapi,kwenye nchi ya demokrasia siasa zikipigwa marufuku kwa kisingizio eti watu wafanye kazi,unategemea siasa watu wakafanyie kwenye vyumba vyao?

Mnaogopa mpambano au?

Umesikia taarifa kuwa viongozi wote wa Chadema morogoro wana kesi mahakamani na wengine wamefungwa,sawa watu hufanya makosa lakini je mbona watu wa chama kimoja ndio inawakuta hii?

Uliona wapi mkuu wa mkoa anasema wachague CCM hawatabomolewa nyumba zao,hii imetokea dar es salaam,ni maajabu eti.!
Hayo ni baadhi tu.

Siasa ni mchezo mchafu,tunajua kuchezeana rough kitu cha kawaida lakini ni muhimu kutumia akili ili usiache madoa nyuma.

CCM TUMIENI AKILI KWENYE KUCHEZA ROUGH...
Mbona zito anaznguka sehemu mbalimbali kuimarisha chama kwa kufanya mikutano ya ndani; ama zito ni ccm b kama mnavyosema
 
Kwa hali ilivyosasa; inadhihirisha zaili kuwa Tanzania haina vyama imara vya upinzani vyenye ajenda ya kudumu katika kuleta mageuzi yenye neema kwa taifa hili. Jamii ya Watanzania wengi walijenga imani kubwa kwa chadema katika uchaguzi wa 2015; lakini wengi kwa sasa wanajutia kuipa imani kubwa chama kisicho na misingi iliyoimara. Kwa bahati mbaya chadema wameshindwa kujitambua kuwa wao ni chama kikuu cha upinzani Tanzania wanatakiwa kuweka mazingira ya kuchukua dola kwa kuongeza imani kwa watanzania waliowengi; ila kwa sasa wamebaki na porojo katika mitandao ya kijamii. Vijana wengi wa chadema wakiambiwa ukweli wanakimbilia kutukana bila kutafakari wapi chama kimejikwaa na nini wafanye.

Watanzania walio wengi wanatamani kuona vyama vinakuja na hoja za kuwaletea mabadiliko ya maendeleo na sio mabadiliko ya kuzungusha mikono. Kila wakati kupinga hata ambayo hayastahiri kupingwa; hivyo kuathiri imani ambayo watanzania wengi waliiweka kwa chama hiki. Viongozi mbalimbali kujiudhuru na kuachia nyazifa zao kunaonesha ni namna gani chama kimekosa dira ya kuimarisha mikakati ya kukieneza chama na kupata wanachama wengi zaidi.

Chama cha siasa ni wafuasi; kukimbia kwa wafuasi ni moja ya kiashiria kwamba kuna tatizo; lakini vijana wa chadema waburuzwa na hisia eti wanachama wao wananunuliwa. Chadema kimekuwa chama cha kiwanaharakati kuliko uhalisia nini wananchi wanataka. Watanzania wachache sana hususani walioko katika mitandao ya kijamii tena na wao sio wote wanaopenda siasa za kiuwanaharakati. Ni wakati chadema mkajitambua; mkaacha matusi, mkaelezena ukweli na kukijenga chama chenu; la sivyo mtabaki na ajenda za maandamano na mkaandamana bila mafanikio. All the best.
Nafikiri ungetafakari ujue wanaouwa watu,kuteka watu,watu kwenye viroba no akina nani na anayesimamia usalama ni nani?Then jiulize ameweza au kashindwa
 
Nafikiri ungetafakari ujue wanaouwa watu,kuteka watu,watu kwenye viroba no akina nani na anayesimamia usalama ni nani?Then jiulize ameweza au kashindwa
Pia wewe na mimi tujiulize; je katiba inasemaje kuhusu ulinzi wataifa. Tukijibu hilo tutakuwa tumeelewa zaidi.
 
Nchi ina Katiba na Sheria zitokanazo na Katiba zipo kama guidance kati ya Mtawala na Mtawaliwa; sasa unapokuwa kiongozi wa nchi huwezi kuja na za kwako unazoona wewe zinafaa; huo ni uasi; kukiuka Katiba ambayo uliapa kuilinda ni kosa kubwa hata mbele za Mungu. Hapo lazima uingie kwenye mgogoro kati yako na wananchi
 
Mbona zito anaznguka sehemu mbalimbali kuimarisha chama kwa kufanya mikutano ya ndani; ama zito ni ccm b kama mnavyosema
Sasa siasa za kuwaita unakamatwakamatwa ?! Sisiem haijawa tayari kwa siasa za ushindani, bado wanawaza chama kushika hatamu
 
Wanaoambiwa ukweli wakakimbilia kutukana watakuwa ni wapumbavu tu
 
Mleta mada.watu wenye inferiority complex wana shida sana. Daima wanapenda kujiona wajanja sana kumbe ni kuficha woga!!!!
 
Kwa hali ilivyosasa; inadhihirisha zaili kuwa Tanzania haina vyama imara vya upinzani vyenye ajenda ya kudumu katika kuleta mageuzi yenye neema kwa taifa hili. Jamii ya Watanzania wengi walijenga imani kubwa kwa chadema katika uchaguzi wa 2015; lakini wengi kwa sasa wanajutia kuipa imani kubwa chama kisicho na misingi iliyoimara. Kwa bahati mbaya chadema wameshindwa kujitambua kuwa wao ni chama kikuu cha upinzani Tanzania wanatakiwa kuweka mazingira ya kuchukua dola kwa kuongeza imani kwa watanzania waliowengi; ila kwa sasa wamebaki na porojo katika mitandao ya kijamii. Vijana wengi wa chadema wakiambiwa ukweli wanakimbilia kutukana bila kutafakari wapi chama kimejikwaa na nini wafanye.

Watanzania walio wengi wanatamani kuona vyama vinakuja na hoja za kuwaletea mabadiliko ya maendeleo na sio mabadiliko ya kuzungusha mikono. Kila wakati kupinga hata ambayo hayastahiri kupingwa; hivyo kuathiri imani ambayo watanzania wengi waliiweka kwa chama hiki. Viongozi mbalimbali kujiudhuru na kuachia nyazifa zao kunaonesha ni namna gani chama kimekosa dira ya kuimarisha mikakati ya kukieneza chama na kupata wanachama wengi zaidi.

Chama cha siasa ni wafuasi; kukimbia kwa wafuasi ni moja ya kiashiria kwamba kuna tatizo; lakini vijana wa chadema waburuzwa na hisia eti wanachama wao wananunuliwa. Chadema kimekuwa chama cha kiwanaharakati kuliko uhalisia nini wananchi wanataka. Watanzania wachache sana hususani walioko katika mitandao ya kijamii tena na wao sio wote wanaopenda siasa za kiuwanaharakati. Ni wakati chadema mkajitambua; mkaacha matusi, mkaelezena ukweli na kukijenga chama chenu; la sivyo mtabaki na ajenda za maandamano na mkaandamana bila mafanikio. All the best.
We ni punguani
 
Back
Top Bottom