J Mbungi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 269
- 74
Naam!
Mimi ni mfuatiliaji wa mada mbali mbali zinazo jadiliwa hapa jamvini..Kwa kweli nimekuwa na amasika muno na mimi kutoa mchango wangu.
Naamini CHADEMA ni chama pekee chenye uwezo wa Kuleta mapinduzi ya kimaendeleo katika nchi hii.
Kwa taarifa yenu, hawa watu wa CCM,wamejenga system ambayo haiwezi kuruhusu maendeleo ya watu ambao hawako katika system yao.
La msingi ni Chama kujipanga vizuri,kuondoa hao mamluki(ambao wapo wengi tu) wamepenyezwa na CCM baada ya Kuona Chama kina imarika kila kukicha,ili waweze kukidhoofisha.
Mimi ni mfuatiliaji wa mada mbali mbali zinazo jadiliwa hapa jamvini..Kwa kweli nimekuwa na amasika muno na mimi kutoa mchango wangu.
Naamini CHADEMA ni chama pekee chenye uwezo wa Kuleta mapinduzi ya kimaendeleo katika nchi hii.
Kwa taarifa yenu, hawa watu wa CCM,wamejenga system ambayo haiwezi kuruhusu maendeleo ya watu ambao hawako katika system yao.
La msingi ni Chama kujipanga vizuri,kuondoa hao mamluki(ambao wapo wengi tu) wamepenyezwa na CCM baada ya Kuona Chama kina imarika kila kukicha,ili waweze kukidhoofisha.