Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 948
- 1,092
Habari !
Nukuu " Siasa nzuri ni ushawishi wenye nguvu na sio nguvu yenye ushawishi"
Ukweli usiopingika kuwa chama cha siasa CHADEMA ndio tumaini pekee kwa Tanzania na taifa lote yaani mjini na vijijini kwa ujumla wake katika kutoa na kusimamisha viongozi wanaokubalika, kuwa na nguvu kwa jamii katika ushawishi.
a) CHADEMA ndio chama pekee kinachoangaliwa kwa macho mawili yaliyosafi kitaifa.
b) CHADEMA ni chama kinachotegemewa mwaka huu 2020 kuleta ushindani mkubwa na kuhakikisha kinapata viti vingi vya uwakilishi katika uchaguzi wa Oktoba.
c) CHADEMA ndio tumaini pekee kwa rika zote katika kuleta maendeleo ya mwananchi mmoja mmoja, jamii na taifa kwa ujumla.
d) CHADEMA ni chama ambacho kina wafuasi wengi sana na wapiga kura wanaokubali Sera na namna ya aina ya wawakilishi wanaosimamishwa kukiwakilisha chama.
e) CHADEMA ndio chama pekee kilichopakwa tope la maji chafu mfano udini, ukabila, ukanda, uhuni, lakini bado wanaokisema wanakikubali kiaina.
f) CHADEMA ndio habari hapa Tanzania. Ukitaka uwe maarufu basi ujitoe tu ufahamu kuizungumzia CHADEMA vibaya upendavyo.
ONYO
Ujamaa ni sera iliyobakwa.
Nukuu " Siasa nzuri ni ushawishi wenye nguvu na sio nguvu yenye ushawishi"
Ukweli usiopingika kuwa chama cha siasa CHADEMA ndio tumaini pekee kwa Tanzania na taifa lote yaani mjini na vijijini kwa ujumla wake katika kutoa na kusimamisha viongozi wanaokubalika, kuwa na nguvu kwa jamii katika ushawishi.
a) CHADEMA ndio chama pekee kinachoangaliwa kwa macho mawili yaliyosafi kitaifa.
b) CHADEMA ni chama kinachotegemewa mwaka huu 2020 kuleta ushindani mkubwa na kuhakikisha kinapata viti vingi vya uwakilishi katika uchaguzi wa Oktoba.
c) CHADEMA ndio tumaini pekee kwa rika zote katika kuleta maendeleo ya mwananchi mmoja mmoja, jamii na taifa kwa ujumla.
d) CHADEMA ni chama ambacho kina wafuasi wengi sana na wapiga kura wanaokubali Sera na namna ya aina ya wawakilishi wanaosimamishwa kukiwakilisha chama.
e) CHADEMA ndio chama pekee kilichopakwa tope la maji chafu mfano udini, ukabila, ukanda, uhuni, lakini bado wanaokisema wanakikubali kiaina.
f) CHADEMA ndio habari hapa Tanzania. Ukitaka uwe maarufu basi ujitoe tu ufahamu kuizungumzia CHADEMA vibaya upendavyo.
ONYO
Ujamaa ni sera iliyobakwa.