Baada ya Chadema kupoteza Igunga nimeanza kujiuliza maswali kama chadema wana institutional framework za kuweza kuendesha nchi kubwa kama Tanzania?
Wana watu makini lakini je ni watu makini kiasi gani wa kuweza kuendesha nchi kubwa kama Tanzania?
Wanaweza kuwafikia bibi na babu waliopo huko majita,matombo na kwingineko?
Muhimu kwao sasa ni kutengeneza chama, kuwa na mikono ya chama kama baraza la wazee, wanawake kamati kuu,halmashauri kuu,baraza la vijana ambozo zina nguvu na ushawishi wa kutosha kuanzia vijijini,watu wa mjini tushaelimika,sasa waanze kuelimisha na kusambaa mijini, angalia bavicha,haionekani kuwa na watu ambao wana ushawishi,uelewa pamoja na uzoefu katika siasa.
Slaa ni mtu anayeweza kuitoa Tanzania shimoni lakini chama chake kinaweza kumbeba kama yeye alivokibeba mwaka 2010?
Wana watu makini lakini je ni watu makini kiasi gani wa kuweza kuendesha nchi kubwa kama Tanzania?
Wanaweza kuwafikia bibi na babu waliopo huko majita,matombo na kwingineko?
Muhimu kwao sasa ni kutengeneza chama, kuwa na mikono ya chama kama baraza la wazee, wanawake kamati kuu,halmashauri kuu,baraza la vijana ambozo zina nguvu na ushawishi wa kutosha kuanzia vijijini,watu wa mjini tushaelimika,sasa waanze kuelimisha na kusambaa mijini, angalia bavicha,haionekani kuwa na watu ambao wana ushawishi,uelewa pamoja na uzoefu katika siasa.
Slaa ni mtu anayeweza kuitoa Tanzania shimoni lakini chama chake kinaweza kumbeba kama yeye alivokibeba mwaka 2010?