Small Axe
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 652
- 462
Kila nikitafakari siasa za Tanzania na Africa kiujumla toka ukombozi mpaka nchi huru
Bado naona kwamba vyama vilivyo leta ukombozi toka kwa wakoloni vilikua na maono ya kuchukua serikali kwa mzungu na baadae ni kujisahau na kuwa wao ndio wakoloni kwakutumia jeshi,mahakama nk
Theory yangu ambayo bado haijapitishwa na jopo la wataalam ni kua chama cha siasa kikitawala zaidi ya milongo(decade). 3 hata kama kina sera nzuri vipi kina anza kua coloni yaani kutumia mabavu ili kushinda kwa maana kina kua kimepoteza mvuto kwa wananchi,propaganda chafu mabavu ndio survival yake
Mpaka kitakapo pata mbadara wa chama kushika atamu ndipo kitajifunza kikiwa nje na kikiludi kinajirekebisha makosa yalio fanyika baada ya kuvimbiwa madaraka
Na hata chama kingine kikiingia madarakani hivyo hivyo kitafanya vzr sn awamu ya kwanza ya pili ya tatu hata ya nne lkn baada ya hapo nacho kitalewa ma daraka
Kitaanza dhalau wananchi kinafanya kazi kwa mazoea mpaka hapo tena kitakapo pata mbadara
Tuludi nyumbani Tz..CCM kilifanya vzr sn kipinda cha JK wa kwanza kupambana na kutupatia uhuru..na maendeleo ya vitu na watu mpaka Mwinyi
Sasa mazoea tukashuhudia uozo mwingi lkn kikiji nasibu kitakaa madarakan lkn hali ya maendeleo ya mtunmoja moja ikizidi kudidimia
Nataka nimlekebishe msomi mwenye itikadi ya kijamaa ndgu Lumumba Mkenya..CHEDEMA ndio chama kinacho onyesha kuwatetea wananchi na hata watakapo weza kuchukua nchi kufanya viziri Zaidi ili kuonyesha utofauti kwa chama kilicho tangulia
Patrick Lumumba haijui siasa ya Tz vzr bila ushabiki wa mlengo wa ujamaa tumeona mengi mauozo mengi wananchi wakidanganyishiwa na pipi
Nina muelewa sana mbunge wa kahama japo wengi wanaona kama anaigiza elimu yetu inasaidia nn watoto wetu wakati wanasoma hawapati ajira wapo mitaani na hawakopesheki na ambao hawakusoma wanaskills za kutosha za mikono mwisho wasiku ni wastage of time
Marekebisho ya elimu yanahitajika ndio maana wengi ni njaa zinawasumbua
Bado naona kwamba vyama vilivyo leta ukombozi toka kwa wakoloni vilikua na maono ya kuchukua serikali kwa mzungu na baadae ni kujisahau na kuwa wao ndio wakoloni kwakutumia jeshi,mahakama nk
Theory yangu ambayo bado haijapitishwa na jopo la wataalam ni kua chama cha siasa kikitawala zaidi ya milongo(decade). 3 hata kama kina sera nzuri vipi kina anza kua coloni yaani kutumia mabavu ili kushinda kwa maana kina kua kimepoteza mvuto kwa wananchi,propaganda chafu mabavu ndio survival yake
Mpaka kitakapo pata mbadara wa chama kushika atamu ndipo kitajifunza kikiwa nje na kikiludi kinajirekebisha makosa yalio fanyika baada ya kuvimbiwa madaraka
Na hata chama kingine kikiingia madarakani hivyo hivyo kitafanya vzr sn awamu ya kwanza ya pili ya tatu hata ya nne lkn baada ya hapo nacho kitalewa ma daraka
Kitaanza dhalau wananchi kinafanya kazi kwa mazoea mpaka hapo tena kitakapo pata mbadara
Tuludi nyumbani Tz..CCM kilifanya vzr sn kipinda cha JK wa kwanza kupambana na kutupatia uhuru..na maendeleo ya vitu na watu mpaka Mwinyi
Sasa mazoea tukashuhudia uozo mwingi lkn kikiji nasibu kitakaa madarakan lkn hali ya maendeleo ya mtunmoja moja ikizidi kudidimia
Nataka nimlekebishe msomi mwenye itikadi ya kijamaa ndgu Lumumba Mkenya..CHEDEMA ndio chama kinacho onyesha kuwatetea wananchi na hata watakapo weza kuchukua nchi kufanya viziri Zaidi ili kuonyesha utofauti kwa chama kilicho tangulia
Patrick Lumumba haijui siasa ya Tz vzr bila ushabiki wa mlengo wa ujamaa tumeona mengi mauozo mengi wananchi wakidanganyishiwa na pipi
Nina muelewa sana mbunge wa kahama japo wengi wanaona kama anaigiza elimu yetu inasaidia nn watoto wetu wakati wanasoma hawapati ajira wapo mitaani na hawakopesheki na ambao hawakusoma wanaskills za kutosha za mikono mwisho wasiku ni wastage of time
Marekebisho ya elimu yanahitajika ndio maana wengi ni njaa zinawasumbua