Mhere Mwita
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 235
- 1,275
Leo nimeamua kuwajibu Wana ACT-Wazalendo ambao wanasema chama chao ni chama bora na kina viongozi makini kuliko vyama vyote vya upinzani ndio maana Magufuri ameamua kuwa anachukua kwao.
Hoja hii ni ya kitoto kabisa kwa hawa wanaojiita makini na waadilifu, katika uchunguzi Wangu Wa kisayansi umenionesha kuwa Chadema ndio chama kina watu makini kuliko ACT- Wazalendo na CCM.
Tunayo mifano hai mingi tu ambayo inaweza kuthibitisha kuwa Chadema ni chama bora kuliko (Mkubwa na Mwanae) yaani ccm na ACT- Wazalendo hapa nitaiweka mifano michache tu ili nisiwachoshe wasomaji.
1)- Mfano Wa kwanza Mama Anna Mughwira alishindwa kwenye kura za Maoni za Ubunge Mwaka 2012 Arumeru Mashariki kwenye uchaguzi mdogo na mwaka 2014 alishindwa uwenyekiti Wa Bawacha mkoa Wa Singida.
Kwa ACT Wazalendo akawa Mwenyekiti Wa chama taifa na mgombea Urais kwa kupitia chama hicho, kwa ccm amekuwa Mkuu Wa mkoa Wa Kilimanjaro.
2)- Samson Mwigamba, Chadema alikuwa Mwenyekiti Wa chadema mkoa Wa Arusha, ACT Wazalendo amekuwa Katibu mkuu Wa chama taifa sasa ni kaimu kiongozi mkuu wa chama.
3)-Prof Kitila Nkumbo, Chadema amekuwa mjumbe Wa kamati kuu, ndani ya ACT Wazalendo amekuwa Mshauri mkuu Wa chama na ndani ya serikali ya ccm amekuwa Katibu mkuu Wa wizara.
Kwa mifano hiyo michache japo ipo mingi inaonyesha Chadema ni chama Bora, ili waweze kuelewa vizuri mchezaji ambae yuko Bench Real Madrid ukimleta simba au yanga lazima awe first Eleven.
Lakini mchezaji Bora Wa simba au Yanga akienda Madrid anaenda kukaa Bench kwa sababu Madrid ni team Bora inawachezaji bora wengi.
Kwa maana hiyo Chadema ni kama Real Madrid waliobench kwenu ndio wachezaji bora. Na ukiangalia kwa umakini viongozi hao wamelelewa na chadema, kwa maana hiyo chadema ni Mwalimu kwao je unaweza ukawa bora kuliko Mwalimu?
Ni Mimi Mhere Mwita
Hoja hii ni ya kitoto kabisa kwa hawa wanaojiita makini na waadilifu, katika uchunguzi Wangu Wa kisayansi umenionesha kuwa Chadema ndio chama kina watu makini kuliko ACT- Wazalendo na CCM.
Tunayo mifano hai mingi tu ambayo inaweza kuthibitisha kuwa Chadema ni chama bora kuliko (Mkubwa na Mwanae) yaani ccm na ACT- Wazalendo hapa nitaiweka mifano michache tu ili nisiwachoshe wasomaji.
1)- Mfano Wa kwanza Mama Anna Mughwira alishindwa kwenye kura za Maoni za Ubunge Mwaka 2012 Arumeru Mashariki kwenye uchaguzi mdogo na mwaka 2014 alishindwa uwenyekiti Wa Bawacha mkoa Wa Singida.
Kwa ACT Wazalendo akawa Mwenyekiti Wa chama taifa na mgombea Urais kwa kupitia chama hicho, kwa ccm amekuwa Mkuu Wa mkoa Wa Kilimanjaro.
2)- Samson Mwigamba, Chadema alikuwa Mwenyekiti Wa chadema mkoa Wa Arusha, ACT Wazalendo amekuwa Katibu mkuu Wa chama taifa sasa ni kaimu kiongozi mkuu wa chama.
3)-Prof Kitila Nkumbo, Chadema amekuwa mjumbe Wa kamati kuu, ndani ya ACT Wazalendo amekuwa Mshauri mkuu Wa chama na ndani ya serikali ya ccm amekuwa Katibu mkuu Wa wizara.
Kwa mifano hiyo michache japo ipo mingi inaonyesha Chadema ni chama Bora, ili waweze kuelewa vizuri mchezaji ambae yuko Bench Real Madrid ukimleta simba au yanga lazima awe first Eleven.
Lakini mchezaji Bora Wa simba au Yanga akienda Madrid anaenda kukaa Bench kwa sababu Madrid ni team Bora inawachezaji bora wengi.
Kwa maana hiyo Chadema ni kama Real Madrid waliobench kwenu ndio wachezaji bora. Na ukiangalia kwa umakini viongozi hao wamelelewa na chadema, kwa maana hiyo chadema ni Mwalimu kwao je unaweza ukawa bora kuliko Mwalimu?
Ni Mimi Mhere Mwita