Habari nilizozipata toka huko kilimanjaro zinasema. Katika jimbo la hai anakogombea mh freeman mbowe mwenyekiti wa chadema, kabla ya vurugu zilizotokea masama kulikuwa tena kumetokea vurugu nyingine katika kijiji cha kimashuku, wilayani hai.
Inadaiwa katibu wa ccm wa wilaya alimkamata mwanacham mmoja wa chadema na kumpiga na kumpulizia sumu machoni. Mwanachama huyo wa chadema alitapika na kuzirai. Kisha walimchukua na kumpekeleka kituo cha polisi kwa kutengeneza madai. Hadi viongozi wa chadema walipopata taarifa na kwenda kumtoa mwanachama huyo.
Inashangaza kuwa tanzania yetu imeingiliwa na pepo wabaya. Amani ihubiriwe na tusubiri maamuzi ya haki ya wananchi na tuyaheshimu.
Nadhani wale mnaokemea kwa jina la yesu basi kemeeni pepo wa vurugu tanzania na ikiwezekana fungeni na kuomba.
Inadaiwa katibu wa ccm wa wilaya alimkamata mwanacham mmoja wa chadema na kumpiga na kumpulizia sumu machoni. Mwanachama huyo wa chadema alitapika na kuzirai. Kisha walimchukua na kumpekeleka kituo cha polisi kwa kutengeneza madai. Hadi viongozi wa chadema walipopata taarifa na kwenda kumtoa mwanachama huyo.
Inashangaza kuwa tanzania yetu imeingiliwa na pepo wabaya. Amani ihubiriwe na tusubiri maamuzi ya haki ya wananchi na tuyaheshimu.
Nadhani wale mnaokemea kwa jina la yesu basi kemeeni pepo wa vurugu tanzania na ikiwezekana fungeni na kuomba.