CHADEMA naombeni majibu ya wazi bila kificho cha hela hizi

Jay One

JF-Expert Member
Nov 12, 2010
16,834
16,691
Hi CHADEMA owners & followers

Naombeni majibu kwa uwazi tu kuhusu fedha hizi..

1: Kila mwezi CHADEMA inapokea tshs. 300+ mil kama ruzuku, zinaenda wapi? Any financial records ya monthly expenditure?

2: Je ni kweli Mwenyekiti wenu yaani Mbowe kasema anaidai CHADEMA tshs 7,000,000,000 yaani bil 7 tshs..?

Nyie watetezi wa CHADEMA ebu semeni, mnajua chochote kuhusu hizi hela au mnapiga piga kelele tu humu wakati wenzenu wanakula kivulini..!! Natarajia majibu ya wazi, msikute mnashibisha wamiliki tu..!!


Good Time to You Wherever You are, Big time to you & your loved ones.

Merry Christmas & Happy New Year 2018.
 
Prof. Assad aende Ufipa kukagua Fedha zetu za kodi zinazoenda pale Kama Ruzuku!

Haiwezekani baada ya kila Uchaguzi ziibuke invoice na bili feki Ufipa wakati inajulikana Uchaguzi uliopita Kampeni za Chadema ziligharimiwa na Ndugu Edward Ngoyai Lowassa mpaka kulipia Mawakala wa Nchi nzima
 
He who alleges must prove. Mkuu huo ni msemo wa kisheria. Kabla ya kujibiwa, thibitisha kwa nyaraka, video au audio kuhusu hoja zako. Achana na mambo ya kusikia. Sikia-sema(hearsay) haina nguvu kisheria. Katafiti, kusanya ushahidi halafu uje uulize.
 
Prof. Assad aende Ufipa kukagua Fedha zetu za kodi zinazoenda pale Kama Ruzuku!

Haiwezekani baada ya kila Uchaguzi ziibuke invoice na bili feki Ufipa wakati inajulikana Uchaguzi uliopita Kampeni za Chadema ziligharimiwa na Ndugu Edward Ngoyai Lowassa mpaka kulipia Mawakala wa Nchi nzima
Risiti ya Malipo au cheque yoyote kutoka kwa lowasa ili nijue upo vizuri kupekua vitu
 
Ili Mti Unawiri vizuri Sharti Majani yadondoke yaliyochoka yadondoke. (Kwa wanaojua miti). Kwa wasomaji wa Biblia Yesu akawauliza wanafunzi wake, "Je Nanyi mwataka kuondoka?" Ni vema miti ipukutike majani yaliyochoka
 
Risiti ya Malipo au cheque yoyote kutoka kwa lowasa ili nijue upo vizuri kupekua vitu

Wewe ni Nani uhitaji huo ushahidi na ukipata una mamlaka gani ya kuchukua hatua?
Ushahidi huwa unapelekwa sehemu ambayo utafanyiwa kazi sio kwa kila kumbikumbi
 
Wewe ni Nani uhitaji huo ushahidi na ukipata una mamlaka gani ya kuchukua hatua?
Ushahidi huwa unapelekwa sehemu ambayo utafanyiwa kazi sio kwa kila kumbikumbi
kwanini sasa usiupeleke huko sehemu husika, kila siku kuja kulia huku jf
 
Cjawahi changia politics jf ila wwvmleta mada unauelewa mdogo sana wa kufikiria jambo kabla yakulileta kwa public. Learn how to reason things
 
kwanini sasa usiupeleke huko sehemu husika, kila siku kuja kulia huku jf

Hata Humu kuna wahusika ndio nawapelekea Ujumbe!

Usidhan kila Comment unayosoma humu Wewe ndio Mlengwa, zingine Wewe sio Mhusika japo umepata Access ya kuzisoma!
 
Waambie hao miungu wenu wafatilie ili tuweze kujenga viwanda na pia tupate milioini hamsini zetu.
 
Back
Top Bottom