VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,800
Kadi zenu zinapatikana wapi? Bei gani pamoja na ada ya miaka mitano? Nyinyi ndio mliobaki nikiwaamini nchi hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kadi zenu zinapatikana wapi? Bei gani pamoja na ada ya miaka mitano? Nyinyi ndio mliobaki nikiwaamini nchi hii
Sijajibu swali lako kwanza kabisa nachukua nafasi hii kukukaribisha KARIBU SANA JF
Kadi zenu zinapatikana wapi? Bei gani pamoja na ada ya miaka mitano? Nyinyi ndio mliobaki nikiwaamini nchi hii
Kadi zenu zinapatikana wapi? Bei gani pamoja na ada ya miaka mitano? Nyinyi ndio mliobaki nikiwaamini nchi hii......
Kadi zenu zinapatikana wapi? Bei gani pamoja na ada ya miaka mitano? Nyinyi ndio mliobaki nikiwaamini nchi hii
Unatokea chama gani?
Unaishi wapi mkuu fika makao makuu ujichukulie kadi yako
Kadi zenu zinapatikana wapi? Bei gani pamoja na ada ya miaka mitano? Nyinyi ndio mliobaki nikiwaamini nchi hii
miaka 5 mara 1500/= unapata 5500. hawa ndo chadema, hata hesabu rahisi zinasumbua.nilichukulia wilayani kwa sh 1500 na ada ya kila mwaka buku. Ko kwa miaka mitano nililipia 5500. Sijui hapa mujini ni kiasi gani, lakini nadhani ni ile ile. Karibu sana.
Kadi zenu zinapatikana wapi? Bei gani pamoja na ada ya miaka mitano? Nyinyi ndio mliobaki nikiwaamini nchi hii
Nimeamini cdm tu vilaza, mtu alikuwa chuoni wa Kibaha anakaa Mikocheni B kwa Mdee hajui apate wapi kadi. Lakini kikubwa ni hiyo bei ya ada ya kadi miaka mitanom buku kila mwaka ni 5500. Ahaaa nimechoka, nilkuwa napita kwenda kupumzika nikakutana na hili, mchoko unazidi. Twafaaaa
miaka 5 mara 1500/= unapata 5500. hawa ndo chadema, hata hesabu rahisi zinasumbua.
Nimeamini cdm tu vilaza, mtu alikuwa chuoni wa Kibaha anakaa Mikocheni B kwa Mdee hajui apate wapi kadi. Lakini kikubwa ni hiyo bei ya ada ya kadi miaka mitanom buku kila mwaka ni 5500. Ahaaa nimechoka, nilkuwa napita kwenda kupumzika nikakutana na hili, mchoko unazidi. Twafaaaa
Mkuu, unajua kusoma kweli au mtu anayekusomea 'amekuchakachua?!' Hapo anayesumbuliwa na hesabu ni wewe au hao CDM?! Hebu rudi kwenye post uliyoikopi hlf ufanye hesabu upya banaa. Hata kama inakutoa kamasi jitahidi hadi upate jibu sahihi!!!miaka 5 mara 1500/= unapata 5500. hawa ndo chadema, hata hesabu rahisi zinasumbua.
Sikuwa chama chochote kaka. Niligoma kujiunga UVCCM nilipokuwa Chuoni.Nataka kuwahi kuwakomboa watu wa Kibaha