NgomaNgumu
Senior Member
- Nov 20, 2010
- 194
- 24
Chadema imeshinda ubunge Arumeru Mashariki ambapo takriban wapinzani wote walizipokea habari hizo kama tukio la kawaida. Ingawaje ktk chaguzi ningine nyingi chadema wanakua wazito sana kukubali matokeo ya uchaguzi na ni lazima watatia dosari kwa njia moja au nyingine. Ni vyema wakishindwa wakakubali matokea kwani kufana hivyo ndio kuwiva kidemcrasia.