CHADEMA na watanzania mfahamu kwamba kuna tofauti kubwa kati ya Opposition na Treason (Upinzani na Uhaini)

Hisha Sorel

Senior Member
Dec 27, 2017
192
140
Ushindani wa kisiasa unafaida sana. Shangaa wengi hamuoni, ni upinzani wa chadema, kupitia mafichuo ya ufisadi; yaliotuletea magufuli. Kwa ufupi, ni upinzani unasukuma mabadiliko ya utendanji kupitia vitisho vya kutopigiwa kura. Hata serikali ikiwa ya mabavu, wadhamini wa nguvu hiyo, hawatoendelea pale watakapo ona uwepo kwa mtawala mwingine mwenye umaarufu kupita serikali yenye mabavu; mfano ukiwa kuanguka kwa tawala ya Jacob zuma.

Lakini kura hizi hazivutwi na vitishio vya amani, fujo, au sabotage. Nikimaanisha; chama pinzani kisifanikiwe kupitia njia za kihasi; kwa vitisho, kuondoa amani, kuweka vikwazo vinavyo umiza nchi au wananchi, au muhimu zaidi, kushiriki na nchi jirani dhidi ya taifa. Huu, ndo umekuwa msimamo wa CHADEMA ndani ya mda mrefu; nikimaanisha uzalendo, wakipigania haki za vijana wa kitanzania dhidi ya viongozi baadhi wakandamizi.

Iwepo leo? CHADEMA Kupeleka kwa "ushahidi" balozi za nchi koloni, nchi ambazo hazina nia njema nasi, nchi zisizo Africa, nje ya mkondo wa serikali ya jamuhuri na wizara yake ya nje; nikimaanisha Marekani na ujerumani, kuidhalilisha; Serikali ya Muungano wa “Watanzania”?

Alichosema cyprian Musiba hakina ushaidi, na wala sio tamko la wizara ya ndani wala ya nje.
Kupeleka kwa CD za musiba; CD zinazoonyesha mtazamo wa mtu mmoja akijadili hatari inayoweza sababishwa na nchi hizi, bila ushaidi, kitu ambacho ni cha kawaida kwa mataifa yote duniani, ni TREASON (UHANI) na kinahitaji kukemewa na kila mtu.

Cyprian musiba angekemewa na CHADEMA na matamko yake kukanwa kupitia vyombo habari vya tanzania, ni sio kupitia balozi za nchi ngeni na koloni.

Kupeleka taarifa hizi kwa balozi ngeni, kinajenga mtazamo mbaya mbele ya dunia; kwamba chama cha maendeleo, chama kikubwa cha upinzani, chama cha vijana, kinaotafuta favor kinyume na serikali ya jamuhuri ya muungano wa WATANZANIA.

sisi sote TUKEMEE kwa mioyo yetu yote muenendo huu wa siasa.

Tuendelee kukumbuka: UHURU NA AMANI hazina thamani..


Maendeleo kwa kila mtu, na sio Siasa kwa kila mtu
 
Kama Msiba ana makosa mbona mlikuwa kimya?
makosa gani?
Msiba aliongea bila ushaidi, nchi yeyote yenye watendaji wa kidiplomacia ingeelewa hivyo.
Lakini halimaanishi CHADEMA wangekaa kimya; wangekana kupitia vyombo vya habari, na sio barua inayo legitimize mtazamo wa mtu mmja bila ushaidi.

BARUA YA CHADEMA INALIPA TAMKO LA MUSIBA UZITO WA KIDIPLOMASIA

zaidi ya hapo, hatakama serikali ilitamka chochote, viongozi wetu, waliechaguliwa na kura zetu, kupitia katiba yetu; hajalishi hata yakiwa yanagusa nini, kama ni dhidi ya nchi jirani, amabayo si jamuhuri ya watazaniania, mi ninaunga mkono; na ninatunza haki yangu ya kupinga kupitia kura, au mawazo yasiyohatarisha usalama wa nchi.
HATA SIKU MOJA: siwezu support siasa za nchi, kuingiliwa, hasa hasa kwa kuuziwa au kupewa siri. hili halijalishi nani kafanya au wa chama gani.
[HASHTAG]#treason[/HASHTAG] [HASHTAG]#shame[/HASHTAG]
 
Tunasangaa Msimba mpaka leo bado yupo uraiani, huyu jamaa anatuchonganisha sisi na mataifa mengine; anatakiwa adhibitiwe ili liwe fundisho kwa wengine wanaodhani unaweza kuitisha press na kuongea chochote kile kinachohusu usalama na uhusiano ya nchi then ukabakia salama huku ukitamba mtaani kwamba wewe ni staa wa uchonganishi.
 
Ushindani wa kisiasa unafaida sana. Shangaa wengi hamuoni, ni upinzani wa chadema, kupitia mafichuo ya ufisadi; yaliotuletea magufuli. Kwa ufupi, ni upinzani unasukuma mabadiliko ya utendanji kupitia vitisho vya kutopigiwa kura. Hata serikali ikiwa ya mabavu, wadhamini wa nguvu hiyo, hawatoendelea pale watakapo ona uwepo kwa mtawala mwingine mwenye umaarufu kupita serikali yenye mabavu; mfano ukiwa kuanguka kwa tawala ya Jacob zuma.

Lakini kura hizi hazivutwi na vitishio vya amani, fujo, au sabotage. Nikimaanisha; chama pinzani kisifanikiwe kupitia njia za kihasi; kwa vitisho, kuondoa amani, kuweka vikwazo vinavyo umiza nchi au wananchi, au muhimu zaidi, kushiriki na nchi jirani dhidi ya taifa. Huu, ndo umekuwa msimamo wa CHADEMA ndani ya mda mrefu; nikimaanisha uzalendo, wakipigania haki za vijana wa kitanzania dhidi ya viongozi baadhi wakandamizi.

Iwepo leo? CHADEMA Kupeleka ushahidi, nchi koloni, nchi ambazo hazina nia njema nasi, nchi zisizo Africa,; nikimaanisha Marekani na ujerumani, kuidhalilisha; Serikali ya Muungano wa “Watanzania”?

Kupeleka kwa CD za musiba; CD zinazoonyesha viongozi wetu wakijadili hatari inayoweza sababishwa na nchi hizi, kitu ambacho ni cha kawaida kwa mataifa yote duniani, ni TREASON (UHANI) na kinahitaji kukemewa na kila mtu.

Kwani, ni vigumu kuelewa, tofauti na manufaa ya kiintelejensia wanayopata wamarekani na wajerumani, watanzania wanapata nini? Vijana wanaowapigia kura, wanapata nini?

Zaidi ya hapo, ushabiki uliotokana na ii habari, ushabiki toka kwa baadhi ya watu, unamfanya mtu ahisi kwamba watanzania hatufahamu tofauti kati ya upinzani na uhani?

THIS IS TREASON (HUU NI UHANI); Adhabu ya kisheria inahitajika, lasivyo tabia hii itazoeleka.

Maendeleo kwa kila mtu, na sio Siasa kwa kila mtu
Kosa la Chadema ni lipi Ndugu?

Mbona Musiba hajashugulikiwa au kwa vile kikao kile aliandaliwa na Bashite??

Kwa Serikali makini, Musiba alipaswa adakwe palepale alipomaliza press yake..

Huyu ni mtu hatari katika Usalama wa Nchi, huyu ni mtu hatari katika Diplpmasia ya Nje ya Tanzania..

Lakini naona kama vile serikali iliona amewafanyia la maana.
 
Pi ccm kama chama ifahamu kuwa kuna kushawishi na kutisha wananchi.
Wakati wa kampeini Kinondoni mgombea alisema yeye hawezi kushambulwa kwa sababu yuko ccm tofauti na wapinzani. Pia kuwaambia wananchi kuwa msipoichagua fisiemu kamwe hamtaletewa miradi ya maendeleo.
 
Kosa la Chadema ni lipi Ndugu?

Mbona Musiba hajashugulikiwa au kwa vile kikao kile aliandaliwa na Bashite??

Kwa Serikali makini, Musiba alipaswa adakwe palepale alipomaliza press yake..

Huyu ni mtu hatari katika Usalama wa Nchi, huyu ni mtu hatari katika Diplpmasia ya Nje ya Tanzania..

Lakini naona kama vile serikali iliona amewafanyia la maana.
Mkuu unaweza kuwa sahihi,kwa kiasi fulani,lakini ukiwa serious na nchi yako,huwezi kujiani na kuwaonyesha mataifa udhaifu wako
Hivi tuseme mmarikani angeitisha press conference pale Washington na kusema aliyosema musiba dhidi ya tanzania,unadhani chama cha democratic,ambacho ni chama pinzani cha republican,wangeiandika barua balozi yetu ya Washington?
Kama wasingeandika unafikiri kwa nini?
Hivyo hivyo wa Ujerumani,wasingeweza kumwandikia balozi pale Berlin.
Inavyoonekana kuna matatizo makubwa ya kiutawala ndani ya chadema makao makuu,na pia inavyoonekana vikao vya juu vya chama havikutani ili kupata msimamo halisi.Kuna watu kama Lowassa,Sumaye,ambao walikuwepo serikalini kwa muda mrefu hivyo wanajua diplomasia kwa kina.
Hata kama ni upinzani si kwa kiwango.
Angalia press za bbc,cnn ,france24,msnbc,nbc,wakati wasemaji wao,wanapoulizwa maswali ya kudhalilisha nchi zao,WATANGAZAJI MARA MOJA WASEMA MUDA UMEIISHA,wanakata press na kuendelea na vipindi vingine,kwa nini wanafanya hivyo?Wanalinda maslahi ya nchi zao.
Kuwa mwendo huu na viongozi wa chadema waliopo siku wakipata nafasi ya kuongoza nchi wakapata changamoto na nchi jirani,si wataomba majeshi ya marikani au ujerumani kuja kuwatatulia changamoto hizo?
 
Mkuu unaweza kuwa sahihi,kwa kiasi fulani,lakini ukiwa serious na nchi yako,huwezi kujiani na kuwaonyesha mataifa udhaifu wako
Hivi tuseme mmarikani angeitisha press conference pale Washington na kusema aliyosema musiba dhidi ya tanzania,unadhani chama cha democratic,ambacho ni chama pinzani cha republican,wangeiandika barua balozi yetu ya Washington?
Kama wasingeandika unafikiri kwa nini?
Hivyo hivyo wa Ujerumani,wasingeweza kumwandikia balozi pale Berlin.
Inavyoonekana kuna matatizo makubwa ya kiutawala ndani ya chadema makao makuu,na pia inavyoonekana vikao vya juu vya chama havikutani ili kupata msimamo halisi.Kuna watu kama Lowassa,Sumaye,ambao walikuwepo serikalini kwa muda mrefu hivyo wanajua diplomasia kwa kina.
Hata kama ni upinzani si kwa kiwango.
Angalia press za bbc,cnn ,france24,msnbc,nbc,wakati wasemaji wao,wanapoulizwa maswali ya kudhalilisha nchi zao,WATANGAZAJI MARA MOJA WASEMA MUDA UMEIISHA,wanakata press na kuendelea na vipindi vingine,kwa nini wanafanya hivyo?Wanalinda maslahi ya nchi zao.
Kuwa mwendo huu na viongozi wa chadema waliopo siku wakipata nafasi ya kuongoza nchi wakapata changamoto na nchi jirani,si wataomba majeshi ya marikani au ujerumani kuja kuwatatulia changamoto hizo?

Ukandamizaji wa aina yoyote husababisha watu kutafuta majibu mbadala. Haya ndio matokeo yake. Watawala wana better ways za kutenda tuende mbele.
 
Kama unaamini CHADEMA kuwasilisha CD za Musiba ni Uhaini, hapa unatuambia kumbe kauli za Musiba ni za serikali!! Kwamba, Musiba alitumika tu kufanya kazi hiyo ya kwa niaba ya serikali... possibly kwa niaba ya taasisi za ulinzi na usalama za serikali!!

Kama ndivyo basi ni kweli CHADEMA watakuwa wanafanya Uhaini!

Kuanika mipango ovu ya serikali dhidi ya mataifa mengine ni Uhaini!

Hata hivyo, wengine tutabaki tukijiuliza! Inakuwaje basi serikali ama taasisi zake zitumie watu kama akina Musiba ku-expose "covert operations" za mataifa ya nje dhidi ya Tanzania?!
 
Mkuu unaweza kuwa sahihi,kwa kiasi fulani,lakini ukiwa serious na nchi yako,huwezi kujiani na kuwaonyesha mataifa udhaifu wako
Hivi tuseme mmarikani angeitisha press conference pale Washington na kusema aliyosema musiba dhidi ya tanzania,unadhani chama cha democratic,ambacho ni chama pinzani cha republican,wangeiandika barua balozi yetu ya Washington?
Kama wasingeandika unafikiri kwa nini?
Hivyo hivyo wa Ujerumani,wasingeweza kumwandikia balozi pale Berlin.
Inavyoonekana kuna matatizo makubwa ya kiutawala ndani ya chadema makao makuu,na pia inavyoonekana vikao vya juu vya chama havikutani ili kupata msimamo halisi.Kuna watu kama Lowassa,Sumaye,ambao walikuwepo serikalini kwa muda mrefu hivyo wanajua diplomasia kwa kina.
Hata kama ni upinzani si kwa kiwango.
Angalia press za bbc,cnn ,france24,msnbc,nbc,wakati wasemaji wao,wanapoulizwa maswali ya kudhalilisha nchi zao,WATANGAZAJI MARA MOJA WASEMA MUDA UMEIISHA,wanakata press na kuendelea na vipindi vingine,kwa nini wanafanya hivyo?Wanalinda maslahi ya nchi zao.
Kuwa mwendo huu na viongozi wa chadema waliopo siku wakipata nafasi ya kuongoza nchi wakapata changamoto na nchi jirani,si wataomba majeshi ya marikani au ujerumani kuja kuwatatulia changamoto hizo?

hapa nakuunga mkono asilimia mia moja
Mbele ya dunia, hakuna chadema wala ccm; ndo maana mbele ya yetu, hatuoni Democrats wala Republicans.
Vya nyumbani tuviache nyumbani; shitaki kwa watanzania, wa nio wamaerekani au wagermans.
Hii ndo kazi ya vyombo vya habari, CHADEMA waanze kivitumia
 
makosa gani?
chochote, kiongozi wetu, aliechaguliwa na kura zetu, kupitia katiba yetu; hajalishi hata kikiwa kinagusa nini, kama ni dhidi ya nchi jirani, amabayo si jamuhuri ya watazaniani, mi ninaunga mkono; na ninatunza haki yangu ya kupinga kupitia kura, au mawazo yasiyohatarisha usalama wa nchi.
HATA SIKU MOJA: siwezu support siasa za nchi, kuingiliwa, hasa hasa kwa kuuziwa au kupewa siri. hili halijalishi nani kafanya au wa chama gani.
[HASHTAG]#treason[/HASHTAG] [HASHTAG]#shame[/HASHTAG]
Mtamsaidia sana huyo kijana kama ataongozwa kuhamishia nguvu zake kwenye juhudi za kumletea kipato chema na halali kwa maisha yake. Njia anayochukuwa yaweza kumfaa kupata uteuzi ktk awamu hii, lakini sio uzalendo kwa maana halisi bali ni ushetani na ni ya kuleta uchonganishi kwa mataifa. YAFAA Awe na msimamo wenye maadili ili hata siku ujapo uongozi mwingine aendelee kuishi bila kutafuta kubumba uongo ili aishi. Amen.
 
Hivi Musiba alichaguliwa? naona mie sijui
ni mwandishi wa habari, lakini maneno yake yamefanya CHADEMA < hata sijui kama utawala wa juu unahusika>, kuandika barua kwa balozi, utasema Cyprian musiba ni waziri wa mambo na ndani au nje vile.

Barua hii inaonesha kama vile "Tanzania" na wananchi wake wote; tunaishutumu marekani na ujerumani kwa espionage; shangaa hakuna ushaidi

Utawala wa chadema haukutumia busara ya kidemokrasia
 
Kama unaamini CHADEMA kuwasilisha CD za Musiba ni Uhaini, hapa unatuambia kumbe kauli za Musiba ni za serikali!! Kwamba, Musiba alitumika tu kufanya kazi hiyo ya kwa niaba ya serikali... possibly kwa niaba ya taasisi za ulinzi na usalama za serikali!!

Kama ndivyo basi ni kweli CHADEMA watakuwa wanafanya Uhaini!

Kuanika mipango ovu ya serikali dhidi ya mataifa mengine ni Uhaini!

Hata hivyo, wengine tutabaki tukijiuliza! Inakuwaje basi serikali ama taasisi zake zitumie watu kama akina Musiba ku-expose "covert operations" za mataifa ya nje dhidi ya Tanzania?!
Haijalishi, shangaa mi nahisi musiba hakutumwa na serikali <SINA USHAHIDI>, CHADEMA walipaswa kukana haya kwa watanzania na sio balozi za nchi geni. Ndo maana ya vyombo vya Habari.

Barua hii inawezatumika kama ushaidi wa mtazamo wa serikali dhidi ya mataifa haya; watakao umia ni wafanya biashara wa Tanzania na watanzania wa kawaida
Barua hii inaweza tumika kama kifaa cha kusukuma majadiliano; Marekani wanaweza tumia maandiko haya kama ushaidi wa ukolofi wa serkali mbele ya dunia. Haya yote yanawezekana, ndo maana huwa kuna wizara maalumu ya kuongea na nchi jirani.

NDO maana kunasheria marekani inayomzuia mtu binafsi kufanya makubaliano na nchi ngeni kinyume na serikali.

DIPLOMACY IN COMPLICATED; CHADEMA kama chama cha wasomi, wanalijua hilo
 
hapa nakuunga mkono asilimia mia moja
Mbele ya dunia, hakuna chadema wala ccm; ndo maana mbele ya yetu, hatuoni Democrats wala Republicans.
Vya nyumbani tuviache nyumbani; shitaki kwa watanzania, wa nio wamaerekani au wagermans.
Hii ndo kazi ya vyombo vya habari, CHADEMA waanze kivitumia
Ingekuwa CDM ndio ilifanya hata robo ya alofanya Musiba, ungeiona DOLA. Dola yaitafuta CDM na hata nawe wajua.
 
Ingekuwa CDM ndio ilifanya hata robo ya alofanya Musiba, ungeiona DOLA. Dola yaitafuta CDM na hata nawe wajua.
kweli, Lakini; nani anayeipigia kura CHADEMA ili iwe kama CCM?
CHADEMA ifanye kazi kama CHADEMA, na CCM ifanye kazi kama CCM
watanzania wana macho na masikio
Asilimia 39.97 za 2015, hazikuokotwa, bali zilitolewa na watanzania walioona tofauti ya CHADEMA.
 
Ushindani wa kisiasa unafaida sana. Shangaa wengi hamuoni, ni upinzani wa chadema, kupitia mafichuo ya ufisadi; yaliotuletea magufuli. Kwa ufupi, ni upinzani unasukuma mabadiliko ya utendanji kupitia vitisho vya kutopigiwa kura. Hata serikali ikiwa ya mabavu, wadhamini wa nguvu hiyo, hawatoendelea pale watakapo ona uwepo kwa mtawala mwingine mwenye umaarufu kupita serikali yenye mabavu; mfano ukiwa kuanguka kwa tawala ya Jacob zuma.

Lakini kura hizi hazivutwi na vitishio vya amani, fujo, au sabotage. Nikimaanisha; chama pinzani kisifanikiwe kupitia njia za kihasi; kwa vitisho, kuondoa amani, kuweka vikwazo vinavyo umiza nchi au wananchi, au muhimu zaidi, kushiriki na nchi jirani dhidi ya taifa. Huu, ndo umekuwa msimamo wa CHADEMA ndani ya mda mrefu; nikimaanisha uzalendo, wakipigania haki za vijana wa kitanzania dhidi ya viongozi baadhi wakandamizi.

Iwepo leo? CHADEMA Kupeleka kwa "ushahidi" balozi za nchi koloni, nchi ambazo hazina nia njema nasi, nchi zisizo Africa, nje ya mkondo wa serikali ya jamuhuri na wizara yake ya nje; nikimaanisha Marekani na ujerumani, kuidhalilisha; Serikali ya Muungano wa “Watanzania”?

Alichosema cyprian Musiba hakina ushaidi, na wala sio tamko la wizara ya ndani wala ya nje.
Kupeleka kwa CD za musiba; CD zinazoonyesha mtazamo wa mtu mmoja akijadili hatari inayoweza sababishwa na nchi hizi, bila ushaidi, kitu ambacho ni cha kawaida kwa mataifa yote duniani, ni TREASON (UHANI) na kinahitaji kukemewa na kila mtu.

Cyprian musiba angekemewa na CHADEMA na matamko yake kukanwa kupitia vyombo habari vya tanzania, ni sio kupitia balozi za nchi ngeni na koloni.

Kupeleka taarifa hizi kwa balozi ngeni, kinajenga mtazamo mbaya mbele ya dunia; kwamba chama cha maendeleo, chama kikubwa cha upinzani, chama cha vijana, kinaotafuta favor kinyume na serikali ya jamuhuri ya muungano wa WATANZANIA.

sisi sote TUKEMEE kwa mioyo yetu yote muenendo huu wa siasa.

Tuendelee kukumbuka: UHURU NA AMANI hazina thamani..


Maendeleo kwa kila mtu, na sio Siasa kwa kila mtu
Ajabu akiyesaidiwa na upinzani kuingia madarakani ndiye wa kwanza kuonyesha chuki ya waxi kwa upinzani huo.

Huyo Cyprian siyo wapinzani wangemkemea - kwa sababu wao ni wahanga. Serikali ilipaswa kutoka wazi na kukemea kwa nguvu. Lakini pengine ukusikiliza majibu aliyotoa Kamanda wa Kanda Maalum ya Polisi Dar alivyojibu kuhusu kauli za huyo Cyprian. Kwangu ilionyesha kana kwamba kuna aina ya uungaji mkono.

Tusiwalaum wapinzani tu vitendo vyao wanapokuwa wahanga. Tuwaambie na watawala matendo yao yanayochochea chuki katika taifa hasa pale wanapoonyesha waziwazi utenganifu kwa mtazamo wa kisiasa.
 
makosa gani?
Msiba aliongea bila ushaidi, nchi yeyote yenye watendaji wa kidiplomacia ingeelewa hivyo.
Lakini halimaanishi CHADEMA wangekaa kimya; wangekana kupitia vyombo vya habari, na sio barua inayo legitimize mtazamo wa mtu mmja bila ushaidi.

BARUA YA CHADEMA INALIPA TAMKO LA MUSIBA UZITO WA KIDIPLOMASIA

zaidi ya hapo, hatakama serikali ilitamka chochote, viongozi wetu, waliechaguliwa na kura zetu, kupitia katiba yetu; hajalishi hata yakiwa yanagusa nini, kama ni dhidi ya nchi jirani, amabayo si jamuhuri ya watazaniania, mi ninaunga mkono; na ninatunza haki yangu ya kupinga kupitia kura, au mawazo yasiyohatarisha usalama wa nchi.
HATA SIKU MOJA: siwezu support siasa za nchi, kuingiliwa, hasa hasa kwa kuuziwa au kupewa siri. hili halijalishi nani kafanya au wa chama gani.
[HASHTAG]#treason[/HASHTAG] [HASHTAG]#shame[/HASHTAG]
"Ukiona mtot anapta kweny baraza la wazee na kutukana hao wazee ilihali babake yupo kweny icho kikao na hatak kumkanya jua Huyo mzee ndo kamtuma aje awatukane hao wazee " kama hakutumwa mbona hutukuskia akikanywa???
 
makosa gani?
Msiba aliongea bila ushaidi, nchi yeyote yenye watendaji wa kidiplomacia ingeelewa hivyo.
Lakini halimaanishi CHADEMA wangekaa kimya; wangekana kupitia vyombo vya habari, na sio barua inayo legitimize mtazamo wa mtu mmja bila ushaidi.

BARUA YA CHADEMA INALIPA TAMKO LA MUSIBA UZITO WA KIDIPLOMASIA

zaidi ya hapo, hatakama serikali ilitamka chochote, viongozi wetu, waliechaguliwa na kura zetu, kupitia katiba yetu; hajalishi hata yakiwa yanagusa nini, kama ni dhidi ya nchi jirani, amabayo si jamuhuri ya watazaniania, mi ninaunga mkono; na ninatunza haki yangu ya kupinga kupitia kura, au mawazo yasiyohatarisha usalama wa nchi.
HATA SIKU MOJA: siwezu support siasa za nchi, kuingiliwa, hasa hasa kwa kuuziwa au kupewa siri. hili halijalishi nani kafanya au wa chama gani.
[HASHTAG]#treason[/HASHTAG] [HASHTAG]#shame[/HASHTAG]
Shortly,so what?
 
Back
Top Bottom