Mzyondi
Member
- Nov 24, 2016
- 40
- 64
Sasa ni wakati mwafaka kwa vyama vya upinzani kupokea kijiti Kutoka kwa CCM ifikapo 2020, ingawa CCM haiko tayari kuona nchi inatwaliwa na upinzani kutokana na mazowea na ulevi wa madaraka ambayo wamekuwa nayo kwa miaka mingi, kumekuwa na vuguvugu la vyama vya upinzani duniani kupata ushindi wa kushitusha, wote tumeshuhudia Donald Trump Republican alivyombwaga Hilal Clinton wa Democratic ambacho ndicho chama tawala kwa miaka nane, Rodriigo Dutete wa Philipins, Nana Akufo Ado kamshinda John Mahama raisi anayemaliza muda wake huko Ghana.
Kadhalika Gambia muungano wa upinzani ukiongozwa na Adama Barrow wamemshinda rais wa nch hiyo Yahya Jammeh, kwa hapa bongo kinachotakiwa ni kuungana vyama vyote vya upinzani ili kuwa na nguvu za pamoja ingawa zipo changamoto za kuunganisha vyama hasa unapokuwa na wapinzani aina ya Dovutwa na Lipumba, Kiuhalisia CCM imeshachokwa ila upinzani nao wamekuwa wanashindwa kuweka mikakati sahihi ila naamini safari hii kwa kuwa CHADEMA wamempata mtaalam wa mikakati mr Lowassa 2020 ndio mwisho wa CCM huo ndip ukweli mchungu kwa chama cha mapinduzi.
Kadhalika Gambia muungano wa upinzani ukiongozwa na Adama Barrow wamemshinda rais wa nch hiyo Yahya Jammeh, kwa hapa bongo kinachotakiwa ni kuungana vyama vyote vya upinzani ili kuwa na nguvu za pamoja ingawa zipo changamoto za kuunganisha vyama hasa unapokuwa na wapinzani aina ya Dovutwa na Lipumba, Kiuhalisia CCM imeshachokwa ila upinzani nao wamekuwa wanashindwa kuweka mikakati sahihi ila naamini safari hii kwa kuwa CHADEMA wamempata mtaalam wa mikakati mr Lowassa 2020 ndio mwisho wa CCM huo ndip ukweli mchungu kwa chama cha mapinduzi.