CUF Ngangari
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 273
- 51
ikiwa leo ndio siku ya kwanza ya kuapisha mawakala leo na kesho, viongozi wa chama cha demokrasia na maendeleo cdm wanahaha kila kona kuhakikisha wanatimiza idadi ya mawakala ambapo mpaka sasa mawakala walioletwa kuapa hapa ofisi ya tume wapo pungufu na wamerudi kutafuta wengine na kuahidi kuwaleta kesho, ni CUF na CCM pekee ndio waliotimiza idadi ya mawakala kwa siku ya leo, kwa upande wa CUF naona wakina mama ni wengi nilipowauliza wakanijibu kuwa wameamua kujitolea kulinda kura za kijana wetu Mahona na tutahakikisha anakuwa mbunge kwa tunampenda huyu kijana ni muadilifu na anatupenda tumesoma nae na kucheza nae walisema wakina mama hao ambao ni mawakala wa CUF.