Walisema waswahili kikulacho kinguoni mwako. Tengenezeni vitu vya kumla huyu jamaa mumo kwa mumo.
Kupambana na CCM yataka mawazo zaidi ya mawazo. Bingwa wa mapambano Kenya bwana Raila Odinga alishiriki vilivyo kuifikisha KANU hapo ilipo sasa. Bwana Odinga bila ya hata ya hiana alifika hata kujiunga na KANU katika kuandaa anguko lao. Alipokuja toka KANU akatoka na wafuasi wote walio matter na huo ukawa ndiyo mwisho wa nguvu za kisiasa za KANU.
Mtindo huo wafanana pia na ule wa Mrema, TLP na NCCR Mageuzi nadhani waliokuwa wakijitambua tokea enzi hizo wanafahamu.
Kazi kwenu CDM na UKAWA kwa ujumla pelekeni mamluki huko huko CCM huo ni mtaji wa zaidi ya mtaji. Wapeni raha washangilie sana. Kwani ilikuwa vipi kwenye kura za maruhani?
NB: Yahitajika kuweza kuona well beyond the horizon unapopambana na adui aliyetayari kuwa disable makamanda wenu wakuu kama ilivyo sasa kwa wengine walivyo mahabusu na mahospitalini.
Kupambana na CCM yataka mawazo zaidi ya mawazo. Bingwa wa mapambano Kenya bwana Raila Odinga alishiriki vilivyo kuifikisha KANU hapo ilipo sasa. Bwana Odinga bila ya hata ya hiana alifika hata kujiunga na KANU katika kuandaa anguko lao. Alipokuja toka KANU akatoka na wafuasi wote walio matter na huo ukawa ndiyo mwisho wa nguvu za kisiasa za KANU.
Mtindo huo wafanana pia na ule wa Mrema, TLP na NCCR Mageuzi nadhani waliokuwa wakijitambua tokea enzi hizo wanafahamu.
Kazi kwenu CDM na UKAWA kwa ujumla pelekeni mamluki huko huko CCM huo ni mtaji wa zaidi ya mtaji. Wapeni raha washangilie sana. Kwani ilikuwa vipi kwenye kura za maruhani?
NB: Yahitajika kuweza kuona well beyond the horizon unapopambana na adui aliyetayari kuwa disable makamanda wenu wakuu kama ilivyo sasa kwa wengine walivyo mahabusu na mahospitalini.