Simbajr
Senior Member
- Apr 1, 2010
- 188
- 41
Peopleeeeeeee!!!!!!
Habari zenu wananchi wenzangu!!
Naipongeza sana Chadema kwa mafanikio iliopata kwenye Majimbo mbalimbali hapa Nchini..Hii inaonesha jinsi gani chama kimevuka malengo yake .napenda pia kuipongeza serikali ya awamu ya tatu kwa kua wastaamilivu wa Democrasia kwa kutopora ushindi wa vyama vya upinzani kama ilivyo zoeleka..pongezi nyingi zikuendee Jakaya Mrisho Kiwete kwa kulisimamia suala hili japo kidogo..
Ndugu zangu wa chadema na vyama vingine vya Upinzani napenda kuwakumbusha kua wakati wa kujiandaa kwa ajili ya Uchaguzi ujao ni sasa..Oparation Sangara imetusaidia sana Chadema naomba chonde chonde tuianzae mapema MWAKANI ili 2015 tumng'oe MFALME DAUD..
Shukaran kwa wananchi kwaa kuichagua CHADEMA!!
Habari zenu wananchi wenzangu!!
Naipongeza sana Chadema kwa mafanikio iliopata kwenye Majimbo mbalimbali hapa Nchini..Hii inaonesha jinsi gani chama kimevuka malengo yake .napenda pia kuipongeza serikali ya awamu ya tatu kwa kua wastaamilivu wa Democrasia kwa kutopora ushindi wa vyama vya upinzani kama ilivyo zoeleka..pongezi nyingi zikuendee Jakaya Mrisho Kiwete kwa kulisimamia suala hili japo kidogo..
Ndugu zangu wa chadema na vyama vingine vya Upinzani napenda kuwakumbusha kua wakati wa kujiandaa kwa ajili ya Uchaguzi ujao ni sasa..Oparation Sangara imetusaidia sana Chadema naomba chonde chonde tuianzae mapema MWAKANI ili 2015 tumng'oe MFALME DAUD..
Shukaran kwa wananchi kwaa kuichagua CHADEMA!!