CHADEMA na mikakati ya kujiimarisha kanda ya Pwani na Zanzibar

jee kuulisha watu arusha bila ya kuangalia sheria vizuri si kukurupuka?

wewe mzenji.....taratibu......... ya Arusha na Maombi ya Hamad Rashid yanaingilianaje ..., mbona HR alishasema CDM haina sera ya kuunda serikali ya umoja wa kitaifa kwa hiyo hawatashirikiana nayo...wakaunda eti kambi isiyo rasmi ya upinzani...sasa imekataliwa kwa sababu hakuna sheria au kifungu hicho..... HR amerudi kumpigia magoti CDM ...je ni nani mroho... na mwenye uchu wa madaraka..?
 
hawa chadema ni wakurupukaji tu, ta juu ya hili wamekurupuka nnaamini wakitulia watajirudi na watajua udhaifu wao


maana hata suali la katiba moto wao ulikuwa ni kupelekwa bungeni baada ya kupewa Dozi na Prof Shivji, ndio wakaamka
 
kwa hio chadema ni chama cha Tanganyika pekee? haina mpango wa kuwakilisha matatizo ya upande wa zenji?

chadema wawajumuishe TLP, NCCR, UDP kwenye kambi yao japo hawa jamaa walikuwa upande wa ccm kwenye uchaguzi wa kuongoza halmashauri. Hawakujua walitendalo :car:
 
cuf hawastahili kuaminiwa,tayari wanandoa na ccm visiwani iweje wahitaji nyingine na cdm huko bara?kuna unafiki hapo cdm wawe makini cuf ni vibaraka wa ccm
 
CUF wamemshirikisha nani katika muafaka zaidi ya CCM? waache umalaya wao wanataka kushirikiana na kila mtu kimapenzi
 
wakuu nimesoma kwenye vyombo mbali mbali vya habari kuhusu sakata linaloendelea katika kuunda kambi ya upinzanu kwenye bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania


Chadema wanasema wao hawawezi kuungana na CUF kwenye kambi ya upinzani kwa sababu wao ni sehemu ya serikali ya Zanzibar, kwa sifa hio wamaekosa uhalali wa kuwa wapinzani


ukiangalia juu ya suala hilo, sidhani kama Chadema wanajua kuwa Tanzania kuna Serikali Mbili na hata tume za uchaguzi ni mbili, moja kwa ajili ya serikali ya Muungano, na ya pili kwa serikali ya zanzibar. na hata mabaraza ya kutunga sheria na katiba zenye kuiongoza jamhuri ni mbili


sasa serikali ya zanzibar kwa mujibu wa sheria kuna uundwaji wa serikali ya umoja wa kitaifa, na kutokana na katiba si lazima vyama hivyo viwe ccm na cuf, bali vuama vyovyote vitavyotimiza masharti ya kisheria vitashirikishwa kwenye serikali.


suali langu jee ingetokea chadema wamepata namba ya wakilishi zanzibar wa kuingizwa kwenye serikali kama mawaziri wangrvunja kambi yao ya upinzani? au hii imekuja kwa choyo na chuki binafsi zisizoegemea sheria bali utashi tu ?

Kwani cuf wameshirikisha chama gani kwenye kambi ya upinzani huko zanzibar, au hakuna vyama vingine vya upinzani zaidi ya cuf?

"Kabla ya kutoa kibanzi kwenye jicho la mwenzio kwanza toa boriti jichoni mwako"
 
kwa kweli mm nnashangazwa na hawa ndugu zangu kuendelea kumuacha huyu muhuni kuongoza chama na kwa staili yao ndio wanajiua wenyewe
 
Mimi sipendi waungane hata kidogo kabisa..hivyo hivyo chadema msiwakubali CUF

Nyinyi mnakubalika sana Tanganyika nchi kubwa ya nini zenj? kwanza wengi wao waislamu walalamishi sana

waache bana hawafai wataharibu utaribu wetu wa kikatoliki
 
Mimi sipendi waungane hata kidogo kabisa..hivyo hivyo chadema msiwakubali CUF

Nyinyi mnakubalika sana Tanganyika nchi kubwa ya nini zenj? kwanza wengi wao waislamu walalamishi sana

waache bana hawafai wataharibu utaribu wetu wa kikatoliki


kwa hio chadema ni chama cha kikristo kama isemwavyo?

pili chadema kiko against union?
 
Suali lako ni zuri.
Inawezekana kuwa CHADEMA na NCCR hawajafikiria kuwa kuna siku watapata wawakilishi huko Zanzibar. Kama hawajafikiria hilo ni vizuri kulitafakari na kulizungumza katika vikao vyao.

Inawezekana wakitilia mkazo kupata wawakilishi huko Zanzibar. Na kwa mfumo wa sasa, chama kitakachopata asilimia tano ya kura basi kinashirikishwa kwenye kuunda serikali. Wakishinda hivyo ndio hapo sasa watakapoamua kuingia katika serikali au kugomea kushiriki kuunda serikali.

Ukisoma chapisho Shirikisho ndani ya shirikisho vyama vyengine vimetoa hoja kuwa wanakwenda kutafuta wanachama Zenj ili kutimiza masharti ya chama kiwe cha kitaifa tu ili kupata usajili wa kudumu, lakini havina malengo ya kutafuta wabunge au wawakilishi kupitia Zanzibar.

hata hivyo suali lako ni changamoto kwa vyama ambavyo vina usajili wa kudumu lakini havina wabunge au wawakilishi huko Zanzibar. Au vitaonekana ni vyama vya Tanganyika tu(Tanzania bara).
 
Kama u-mfatiliaji wa mambo ya siasa si ajabu unaelewa mambo yote yanayoendelea baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2010. Mengi ya mambo hayo ni pale vyama vya CUF,NCCR MAGEUZI,TLP na UDP wanapoungana na chama tawala CCM kuishambulia Chadema kupitia Media na mikutano mbali mbali ya kisiasa ndani ya nchi yetu. Lakini kwenye maneno 10 ya viongozi wa CUF popote wahutubiapo,basi maneno 7 huwa wanaiongelea CDM tu dhidi ya serikali ya Zanzibar na watu wake.

Kama utafatilia kauli za Hamadi Rashidi,Prof Lipumba,Julius Mtatiro nk. basi utagundua hawa watu wanawalisha sumu wanzazibari kwamba Chadema haithamini Zanzibar na watu wake.....maana kila wakiongea utasikia ooooh CDM wanapinga muungano wa hizi nchi mbili,mara CDM wanapinga ccm na cuf kuungana,mara CDM ni wadini, mara CDM ni wahahini,mara CDM ni madictator kama Iddi Amini wa Uganda nk. Na ukiwaambia wathibitishe hizi kauli zao kwa kuleta ushahidi....hawana hata chembe moja ya ushahidi.

Ki ukweli hawa jamaa wanawalisha sumu kali sana wananchi wa Zanzibar juu ya hizi kauli zao za uzushi uzushi dhidi ya Chadema. Swali langu ni -: Hivi Chadema inaweza kukubarika Zanzibar? Kweli CDM inaweza fanya mkutano ZNZ bila kurushiwa mawe na mamluki wa CUF na CCM? Kama mgombea urais wa CCM kutoka huku bara anategemea kura nyingi sana za urais kutoka ZNZ na anazipata, Je CDM wategemee nini kwa mgombea wao wa urais kupata kura ZNZ ilihali wananchi wenyewe wameshalishwa sumu na CUF kupitia viongozi wao wa juu?

Nakaribisha mgongano wa kimawazo na kimtizamo. Ahsanteni!
 
Naombea isikubalike huko maana karibuni muungano utavunjika
 
:juggle::juggle:Ndugu yangu, naona umeniwahi kutoa mada hii. Hata mimi huwa najiuliza sana kuhusu hayo yote uliyoyaandika kwa sababu hawa jamaa na hasa wa CUF & CCM lengo lao kubwa sasa hivi ni kuhakikisha kwamba CDM haipati uungwaji mkono kabisa kutoka visiwani humo. Kama ulivyoandika, kwa sasa jamaa hawa na hasa CUF kibwagizo chao kikuu ni kuhusu msimamo wa CDM juu ya uundwaji wa baraza la mawaziri kivuli pasipo kuwashirikisha wabunge wa vyama vingine vya upinzani. Kwa upande wangu nina hofu ya viongozi wa CDM kupigwa mawe huko visiwani pale watakapokwenda kuhutubia mikutano yao ya hadhara kwa maana wapinzani wakuu kwa sasa ni hao hao wenye serikali huko ZNZR (CCM & CCM-B). Kwa mwenye uelewa au mfuatiliaji wa mambo ya siasa na hasa mpenzi au mkeleketwa wa CDM atujuze chama chetu hiki kinaonekanaje huko zenji. Je makamanda waende huko kivipi hadi vyama hivyo vielemewe na CHADEMA? Nina uchungu sana na siwezi kuendelea! PEOPLE'S POWER!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:hatari:
 
Siyo lazima ikubarike huko! Chadema waeza kushinda uchaguzi na kuongoza nchi bila ya kukubarika Zenj!
 
Sio CDM tu ila kuna vitu vingi tu mradi tu vionekane vinatokea bara. Makanisa yanachomwa moto pamoja na bar, we acha tu!
 
Siyo lazima ikubarike huko! Chadema waeza kushinda uchaguzi na kuongoza nchi bila ya kukubarika Zenj!
Masrani tiamaji tiamaji mungu amesaidia...CDM wanachukua nchi 2015, Je hapo itakuwaje? wavunje muungano? Au unamaanisha nini?
 
:juggle::juggle:Ndugu yangu, naona umeniwahi kutoa mada hii. Hata mimi huwa najiuliza sana kuhusu hayo yote uliyoyaandika kwa sababu hawa jamaa na hasa wa CUF & CCM lengo lao kubwa sasa hivi ni kuhakikisha kwamba CDM haipati uungwaji mkono kabisa kutoka visiwani humo. Kama ulivyoandika, kwa sasa jamaa hawa na hasa CUF kibwagizo chao kikuu ni kuhusu msimamo wa CDM juu ya uundwaji wa baraza la mawaziri kivuli pasipo kuwashirikisha wabunge wa vyama vingine vya upinzani. Kwa upande wangu nina hofu ya viongozi wa CDM kupigwa mawe huko visiwani pale watakapokwenda kuhutubia mikutano yao ya hadhara kwa maana wapinzani wakuu kwa sasa ni hao hao wenye serikali huko ZNZR (CCM & CCM-B). Kwa mwenye uelewa au mfuatiliaji wa mambo ya siasa na hasa mpenzi au mkeleketwa wa CDM atujuze chama chetu hiki kinaonekanaje huko zenji. Je makamanda waende huko kivipi hadi vyama hivyo vielemewe na CHADEMA? Nina uchungu sana na siwezi kuendelea! PEOPLE'S POWER!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:hatari:
Mkuu...we acha tu! Yaani hapa naomba mungu kiongozi yeyote wa CDM akatishe kwa bahati mzuri kwenye huu mjadala na atupe maoni yake. Maana hili swala ukilifikilia sana linachanganya na kuumiza kichwa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom