Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Chadema na Mh Freeman Mbowe watakuwa mahakamani tena kesho,kwenye kesi iliyofunguliwa dhidi yao,kesho ni hukumu dhidi ya pingamizi zilizotolewa na upande wa utetezi,dhidi ya kesi hii ya waliokuwa madiwani wa chadema..
Kama kawaida nawaomba wanachama wote wa chadema popote walipo wajitokeze kwa wingi,kwani ndio washtakiwa namba moja,
Kama kawaida nawaomba wanachama wote wa chadema popote walipo wajitokeze kwa wingi,kwani ndio washtakiwa namba moja,