janja pwani
Senior Member
- Jul 27, 2011
- 104
- 9
propaganda za chama cha cdm kuwa chama cha CUF na CCM wanashikirikiana kukihujumu ni propaganda zilizopitwa na wakati akiongea leo mratibu msaidizi wa CUF Ameir kirungi amesema wanachotafuta chadema ni kupigiwa kura za huruma na wana Igunga kwa kupandikiza propaganda chafu nasi tutahakikisha hawapati nafasi hiyo, alisema kirungi ambaye alikuwa mgombea uchaguzi uliopita jimbo la urambo mashariki.