CHADEMA na Familia tupeni utaratibu wa kumchangia Tundu Lissu

Blac kid

JF-Expert Member
Apr 1, 2012
6,686
7,487
Habari wanajamvi, kumekuwepo na video clip ikisambaa mtandaoni ndugu Tundu Lissu akiomba apigwe tafu, naamini tupo watanzania wengi ambao tupo tayari kuchangia chochote kadiri ya uwezo wetu. Tunaomba uongozi wa chama au familia utupe utaratibu wa kuchanga kwa kutupatia namba ya M-pesa, tigo pesa, airtel money au account namba ya bank tuweze kumchangia mtanzania mwenzetu aliyenusirika kifo kwa watawala wasiopenda ushindani. Cc Moderator Uongozi wa jamiiforum tunaomba mtusaidie kutupatia uthibitisho wa account na namba za simu tutakazopatiwa, shukrani
 
Hahahaha
Aibu tupu
Sema wewe umchangie
Hakuna mtanzania mwenye akili timamu atamchangia msaliti wa nchi yetu Tanzania
Dadeki piga chini
Mwambie asimame barabarani aanze kuombaomba na ana faa Maana yuko confirmed kwenye wheelchair
Spectacular failure these people


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha
Aibu tupu
Sema wewe umchangie
Hakuna mtanzania mwenye akili timamu atamchangia msaliti wa nchi yetu Tanzania
Dadeki piga chini
Mwambie asimame barabarani aanze kuombaomba na ana faa Maana yuko confirmed kwenye wheelchair
Spectacular failure these people


Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh we kuuu la mashetani hujui kama mipango yako imefeli
 
Hahahaha
Aibu tupu
Sema wewe umchangie
Hakuna mtanzania mwenye akili timamu atamchangia msaliti wa nchi yetu Tanzania
Dadeki piga chini
Mwambie asimame barabarani aanze kuombaomba na ana faa Maana yuko confirmed kwenye wheelchair
Spectacular failure these people


Sent using Jamii Forums mobile app
Kama sioni kinyongo kulipa kodi iliyo nunua risasi ilompiga Akwilina, obviously na kwa Lissu ntachangia. Ikiliwa na mwengine shauri yake na Mungu wake.
 
Hahahaha
Aibu tupu
Sema wewe umchangie
Hakuna mtanzania mwenye akili timamu atamchangia msaliti wa nchi yetu Tanzania
Dadeki piga chini
Mwambie asimame barabarani aanze kuombaomba na ana faa Maana yuko confirmed kwenye wheelchair
Spectacular failure these people


Sent using Jamii Forums mobile app
Akili timamu ya mtu unaipima kwa kutofautiana na wewe kwa mtazamo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha
Aibu tupu
Sema wewe umchangie
Hakuna mtanzania mwenye akili timamu atamchangia msaliti wa nchi yetu Tanzania
Dadeki piga chini
Mwambie asimame barabarani aanze kuombaomba na ana faa Maana yuko confirmed kwenye wheelchair
Spectacular failure these people


Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nitachangie,wahusika wafanye upesi kuandaa utaratibu mzuri!
 
Hahahaha
Aibu tupu
Sema wewe umchangie
Hakuna mtanzania mwenye akili timamu atamchangia msaliti wa nchi yetu Tanzania
Dadeki piga chini
Mwambie asimame barabarani aanze kuombaomba na ana faa Maana yuko confirmed kwenye wheelchair
Spectacular failure these people


Sent using Jamii Forums mobile app
Ukijua maadui wa nchi(by Mwl Nyerere) utajua msaliti wa nchi ni nani
 
Angalizo tu wakati mnatuma pesa zenu wanaweza wakatrack na kila aliyechangia wakamfanyia figisu, hasa kama no mtumishi wa UMMA
 
Back
Top Bottom