Fatuma Karume alifungua kesi iliyosimamiwa na mawakili 28 akiielekeza mahakama kosa la kushikwa mkono na askari wa kiume fidia yake ni shilingi bilion moja, diwani wa chadema huko iringa kapigwa na Redbrigade,kashikwa sehemu zake official zaidi ya mkono, kalazwa hospital,kapewa rufaa kwenda muhimbili kwa matibabu zaidi, hajawekewa wakili, kaambulia kufukuzwa uanachama
#Ben_saa8 alikuwa mfanyakazi binafsi wa mbowe katoweka,mbowe kajibu watu wasizungumze sana kuhusu Ben maana watekaji wanaweza kumuua
[HASHTAG]#wewe[/HASHTAG] ambae hata kadi ya uanachama hulipii unakomaa kuwa ni chama cha demokrasia...
[HASHTAG]#JIONGEZE[/HASHTAG]
Daniel-Serengeti
#Ben_saa8 alikuwa mfanyakazi binafsi wa mbowe katoweka,mbowe kajibu watu wasizungumze sana kuhusu Ben maana watekaji wanaweza kumuua
[HASHTAG]#wewe[/HASHTAG] ambae hata kadi ya uanachama hulipii unakomaa kuwa ni chama cha demokrasia...
[HASHTAG]#JIONGEZE[/HASHTAG]
Daniel-Serengeti