Katika watia nia wa kugombea urais na walioteuliwana kwa ajili ya kupeperusha bendera za vyama vyao, kwa vyama vilivyo vya dhati vya kuwa na upinzani mkuu katika uchaguzi wa mwaka huu, Chama cha CHAUMA, kupitia mgombea wake Mhe. H. Rungwe, ukimsikiliza vizuri anapopita huku mikoani kwetu kutafuta wadhamini anaongea kwa unyenyekevu wa hali ya juu kiasi kwamba kila mtanzania anayepata fursa ya kumsikiliza anahamasika kumdhamini.
Ni kiongozi mwenye maono makubwa, mnyenyekevu na ana ahidi kusimamia na kuendeleza yale yote yanalifanywa na watangulizi wake na kuongezea maendeleo zaidi ya haya waliofanya wenzake, anadai hii ni awamu ya tatu anaomba nafasi hii ya pekee ya urais na wananchi kwa pamoja wamechukua sera zake wameahidi kuzifanyia kazi
Mhe. Mwenyekiti, kama ilivyodesturi ya Chama na miiko yake, tafadhali angalia upepo unasomaje, badili gia angani muunge mkono Mh. Rungwe wa CHAUMA, kwani huyu ni YEYE atakaye weza kukinusulu chama chenu iwapo mkimtumia vizuri kuuza sera zake na za CHADEMA, maana wananchi wanamuelewa.
Muondoeni huyu aliyepo kwa sasa kabla ya DEGE halijatua kwenye uwanja wa mapambano na kusababisha msambaratishwe msije mkakosa wawakili wa kurudi mjengoni. Sera zake ni kutuna watu na kuwadhalilisha hovyo huku mikoani, hana jipya. Atachuja hata kabla ya kampeni. Mumtue mzee Rungwe atawanusuru kwenye hiyo SUMANI ya kusomba majimbo yote, angalu munusuru hata majimbo mawili tu ili mkasimuliane. Mjumbe hauawi.
Ni kiongozi mwenye maono makubwa, mnyenyekevu na ana ahidi kusimamia na kuendeleza yale yote yanalifanywa na watangulizi wake na kuongezea maendeleo zaidi ya haya waliofanya wenzake, anadai hii ni awamu ya tatu anaomba nafasi hii ya pekee ya urais na wananchi kwa pamoja wamechukua sera zake wameahidi kuzifanyia kazi
Mhe. Mwenyekiti, kama ilivyodesturi ya Chama na miiko yake, tafadhali angalia upepo unasomaje, badili gia angani muunge mkono Mh. Rungwe wa CHAUMA, kwani huyu ni YEYE atakaye weza kukinusulu chama chenu iwapo mkimtumia vizuri kuuza sera zake na za CHADEMA, maana wananchi wanamuelewa.
Muondoeni huyu aliyepo kwa sasa kabla ya DEGE halijatua kwenye uwanja wa mapambano na kusababisha msambaratishwe msije mkakosa wawakili wa kurudi mjengoni. Sera zake ni kutuna watu na kuwadhalilisha hovyo huku mikoani, hana jipya. Atachuja hata kabla ya kampeni. Mumtue mzee Rungwe atawanusuru kwenye hiyo SUMANI ya kusomba majimbo yote, angalu munusuru hata majimbo mawili tu ili mkasimuliane. Mjumbe hauawi.