Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,045
Kama mtanzania mwenye upendo na mzalendo wa nchi na watu wake ningependa kujua idadi ya wananchi ambao wamekufa kwa kuuwawa na polisi wakati harakati za kisiasa baina ya CHADEMA na CCM.
Swala ili ni muhimu tukalijua ili tuweza kufaham nani wakulaumiwa na nani anabidi awajibishwe katika mauaji ya watanzania wasio na hatia. Kama utakuwepo uwezekano kabisa na ninao uhakika upo wakuwajibisha watu waliousika moja kwamoja.
Naomba wahusika kama polisi au vyama tajwa watoe taarifa kwa umma hasa kwakutumia mtandao huu ili umma uweze kujua na kufanya mahamzi dhidi ya vitendo hivi vinavyo endelea kila kukicha.
Swala ili ni muhimu tukalijua ili tuweza kufaham nani wakulaumiwa na nani anabidi awajibishwe katika mauaji ya watanzania wasio na hatia. Kama utakuwepo uwezekano kabisa na ninao uhakika upo wakuwajibisha watu waliousika moja kwamoja.
Naomba wahusika kama polisi au vyama tajwa watoe taarifa kwa umma hasa kwakutumia mtandao huu ili umma uweze kujua na kufanya mahamzi dhidi ya vitendo hivi vinavyo endelea kila kukicha.