mhalisi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 1,181
- 320
wadau wa JF, naomba kuuliza Chadema na CCM kila kimoja kina idadi ya madiwani wangapi ktk halmashauri ya jiji la Arusha? nauliza hivi pia kwasababu inasemekana CCM inahofu Chadema ikishinda viti vinne vya udiwani ktk uchaguzi wa jumapili watapoteza kiti cha umeya wa halmashauri ya jiji la Arusha.