YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
CHADEMA kupitia vikao halali kabisa vya kikatiba walimteua mgombea urais wao wa Zanzibar.
Lissu anahubiri haki lakini alipofika Zanzibar akaanza kumnadi Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo. Haki ya Mgombea wake akaitupa kwenye dustbin.
ACT-Wazalendo nayo inahubiri haki ikamteua Membe kuwa mgombea wao kupitia vikao halali kabisa ghafla haki wakaacha wanamuunga mkono Tundu Lissu.
Hawa matapeli wanahubiri uchaguzi wa haki wakati wenyewe wameanza kucheza rafu kwa kutowatendea haki wagombea wao poa tu tukutane October 28.
Michezo ya rafu za kutotenda haki mmeanzisha nyie halafu mnahubiri haki.
Charity begins at home
Lissu anahubiri haki lakini alipofika Zanzibar akaanza kumnadi Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo. Haki ya Mgombea wake akaitupa kwenye dustbin.
ACT-Wazalendo nayo inahubiri haki ikamteua Membe kuwa mgombea wao kupitia vikao halali kabisa ghafla haki wakaacha wanamuunga mkono Tundu Lissu.
Hawa matapeli wanahubiri uchaguzi wa haki wakati wenyewe wameanza kucheza rafu kwa kutowatendea haki wagombea wao poa tu tukutane October 28.
Michezo ya rafu za kutotenda haki mmeanzisha nyie halafu mnahubiri haki.
Charity begins at home