Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,207
- 128,006
how old are you?Halafu wataleta Kura za kwenye mabegi kutoa ushahidi kuwa wameibiwa Kura kwenye huo uchaguzi mdogo huku wakiwa wamejitoa haito shangaza kabisa.
Wanajua wakishiriki kwenye huo uchaguzi mdogo kisha wakashindwa itadhihirisha kuwa watanzania wamewakataa hata kwenye Kule wanakodai kuporwa ushindi.
Maigizo bado yanaendelea hapo.