Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
- Thread starter
- #101
Hakuna anayechachawa. Ila kuwaamuru wawakilishi wa wanwnchi wajitoe hiyo ni dhulma kubwa wanafanua na wataadhibiwa tena 2025Mlikuwa mnatuaminisha kuwa upinzani ndio unaochelewesha maendeleo, hata mwenyekiti wenu alituasa tusichanganye betri na magunzi. Sasa mbona mnachachawa tena pale mnapotaka kuachiwa bunge wenyewe?