Uchaguzi 2020 CHADEMA na ACT Wazalendo andaeni mdahalo kati ya Tundu Lissu na Bernard Membe tuwapime!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,591
141,396
Kuelekea ushirikiano wa kusimamisha mgombea mmoja wa upinzani napendekeza pawepo na mdahalo wa wagombea ili wapiga kura tuwstathmini.

Wagombea wakuu Tundu Lissu na Bernard Membe na ikiwezekana ashirikishwe na mzee Hashimu Rungwe Spunda.

Hii itasaidia kuwaelewa wagombea wetu na kuimarisha mshikamano pale mmoja wao atakaposimama kuwakilisha upinzani.

Maendeleo hayana vyama!
 
Membe na Magufuli ndio itanoga......ili tuone kile ccm walichomwohopea Membe hadi kumfuta uanachama!
 
Kwann hutaki mwenyekigoda wa chama chakavu awepo bwashee?
Kuelekea ushirikiano wa kusimamisha mgombea mmoja wa upinzani napendekeza pawepo na mdahalo wa wagombea ili wapiga kura tuwstathmini.

Wagombea wakuu Tundu Lisu na Bernad Membe na ikiwexekana ashirikishwe na mzee Hashimu Rungwe Spunda.

Hii itasaidia kuwaelewa wagombea wetu na kuimarisha mshikamano pale mmoja wao atakaposimama kuwakilisha upinzani.

Maendeleo hayana vyama!
 
Kuelekea ushirikiano wa kusimamisha mgombea mmoja wa upinzani napendekeza pawepo na mdahalo wa wagombea ili wapiga kura tuwstathmini.

Wagombea wakuu Tundu Lisu na Bernad Membe na ikiwexekana ashirikishwe na mzee Hashimu Rungwe Spunda.

Hii itasaidia kuwaelewa wagombea wetu na kuimarisha mshikamano pale mmoja wao atakaposimama kuwakilisha upinzani.

Maendeleo hayana vyama!
Wamuongeze na jiwe na huo mdaharo uwe wa lugha ya kizungu
 
Kuelekea ushirikiano wa kusimamisha mgombea mmoja wa upinzani napendekeza pawepo na mdahalo wa wagombea ili wapiga kura tuwstathmini.

Wagombea wakuu Tundu Lisu na Bernad Membe na ikiwexekana ashirikishwe na mzee Hashimu Rungwe Spunda.

Hii itasaidia kuwaelewa wagombea wetu na kuimarisha mshikamano pale mmoja wao atakaposimama kuwakilisha upinzani.

Maendeleo hayana vyama!
Kweli CCM madish yameyumba sasa upinzani kwa upinzani mdahalo wa nini?
 
..kunatakiwa mdahalo wa wagombea wote wa Uraisi ambao watapitishwa na NEC.

..mgombea ambaye naamini atafanya vizuri ktk mdahalo kuliko wenzake ni Prof.Nguyuru Ibrahim Haruna Lipumba.

..mgombea ambaye nadhani atafanya vibaya kuliko wote ni Dr.John Pombe Magufuli.
 
Back
Top Bottom