johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,591
- 141,396
Kuelekea ushirikiano wa kusimamisha mgombea mmoja wa upinzani napendekeza pawepo na mdahalo wa wagombea ili wapiga kura tuwstathmini.
Wagombea wakuu Tundu Lissu na Bernard Membe na ikiwezekana ashirikishwe na mzee Hashimu Rungwe Spunda.
Hii itasaidia kuwaelewa wagombea wetu na kuimarisha mshikamano pale mmoja wao atakaposimama kuwakilisha upinzani.
Maendeleo hayana vyama!
Wagombea wakuu Tundu Lissu na Bernard Membe na ikiwezekana ashirikishwe na mzee Hashimu Rungwe Spunda.
Hii itasaidia kuwaelewa wagombea wetu na kuimarisha mshikamano pale mmoja wao atakaposimama kuwakilisha upinzani.
Maendeleo hayana vyama!