Uchaguzi 2020 CHADEMA na ACT, mkishindwa kuwa kitu kimoja na kuachiana majimbo mtawafaidisha CCM

Huu muungano umeingia shubiri Mara baada ya zitto kumtamani mwanachama Wa ccm aje aokoe jahazi LA kugombea urais kupitia Act kisha muungano huo.Zitto kwa hili kapotoka sana, membe aweza karibishwa upinzani ila sio kwa kugombea urais.
Membe ndo pekee anaeweza kumpa pressure magu... Kumbuka huyu anajua mbinu zote za kuingia ikulu
 
Mkuu mimi bado msimamo wangu uko palepale, bila tume huru ya uchaguzi ni kupoteza Muda. Nilitarajia wapinzani kila wakisimama ni kuiponda tume, hadi tume ipoteze kujiamini na isiwe katika mazingira rahisi ya kuibeba ccm. Lakini naona wanaongelea uchaguzi tu, huku wakiiacha tume kama chombo sahihi cha kusimamia uchaguzi. Hii ya kuachiana sehemu uko sahihi, lakini kwa tume hii, hata chama kimoja kikijitoa na wanachama wake wote waende chama kimoja, bado hakuna lolote litakaloendelea.
Kususia hakusaidii kitu. Sheni amemaliza muhula wake bila shida yeyote baada ya CUF kumsusia. Wenyeviti wa Mitaa nao hao wanaendelea kufanya kazi zao bila matatizo yeyote. Ni busara zaidi wapinzani kushiriki uchaguzi ili kama watafanyiwa figisu figisu wawe na ushahidi kamili. Aidha, makubaliano ya kushirikiana si lazima yawekwe hadharani.

Amandla...
 
Kususia hakusaidii kitu. Sheni amemaliza muhula wake bila shida yeyote baada ya CUF kumsusia. Wenyeviti wa Mitaa nao hao wanaendelea kufanya kazi zao bila matatizo yeyote. Ni busara zaidi wapinzani kushiriki uchaguzi ili kama watafanyiwa figisu figisu wawe na ushahidi kamili. Aidha, makubaliano ya kushirikiana si lazima yawekwe hadharani.

Amandla...

Zanzibar ni sawasawa na uchaguzi wa ndani, na SM za mitaa ni uchaguzi wa ndani, hauna impact kama uchaguzi mkuu. Wenyeviti wa mitaa wanafanya kazi zao kama kawaida, lakini hawana ushirikiano wanaopaswa kuwa nao. Mimi mtaani kwangu mwenyekiti wa mtaa hata akiitisha mkutano anajikuta na wanaccm wachache, na amekuwa akilalamika kuwa hapati ushirikiano wa wananchi kisa wananchi wanaendelekeza siasa.

Kwenye uchaguzi huu kama watu watahamasishwa kwenda na silaha za jadi hapo nitakuelewa, ila sio hiyo kwenda kama wanaenda kwenye nyumba ya ibada.
 
Zanzibar ni sawasawa na uchaguzi wa ndani, na SM za mitaa ni uchaguzi wa ndani, hauna impact kama uchaguzi mkuu. Wenyeviti wa mitaa wanafanya kazi zao kama kawaida, lakini hawana ushirikiano wanaopaswa kuwa nao. Mimi mtaani kwangu mwenyekiti wa mtaa hata akiitisha mkutano anajikuta na wanaccm wachache, na amekuwa akilalamika kuwa hapati ushirikiano wa wananchi kisa wananchi wanaendelekeza siasa.

Kwenye uchaguzi huu kama watu watahamasishwa kwenda na silaha za jadi hapo nitakuelewa, ila sio hiyo kwenda kama wanaenda kwenye nyumba ya ibada.
Hatujafikia kwenye mambo ya silaha za jadi. Watu wataumia bure.

Amandla...
 
Hatujafikia kwenye mambo ya silaha za jadi. Watu wataumia bure.

Amandla...

Watu wapi wataumia bure, maana kama ni wapinzani ni wahanga wa vipigo toka kwa vijana wa ccm, tena kwa uratibu wa jeshi la polisi. Inaonekana unazungumza jambo ambalo hujalifanyia uchunguzi vizuri. Wapinzani wengi wamepata vilema toka kwa makundi ya ccm, na tabia hiyo imefanyika kwa uwazi zaidi toka awamu hii ya tano imeingia madarakani. Kwa macho yangu nimeona mgombea wa cdm wa udiwani akipigwa vibaya na vijana wa ccm, huku polisi wakiangalia, na kisha mgombea huyo wa cdm ndio akafungiliwa mashitaka ya kutaka kuharibu uchaguzi!

Kwa macho yangu nimeshuhudia mawakala wa cdm wakipigwa na jeshi la polisi ili wasaini fomu fake za matokeo, ili mgombea wa ccm atangazwe mshindi. Nilishuhudia kwa macho yangu kupitia kituo cha ITV, mabox ya kura yakitolewa vituoni kwenda kujazwa kura za ccm, na haya yote yalifanyika mbele ya polisi na msimamizi wa uchaguzi! Na huu ndio uliokuwa mwenendo kwenye chaguzi zote za marudio. Funga kazi ilikuwa ni ule ushenzi tulioushuhudia kwenye uchaguzi wa SM. Hapa unataka watu waende kushiriki bila silaha za jadi ili iweje labda?
 
Watu wapi wataumia bure, maana kama ni wapinzani ni wahanga wa vipigo toka kwa vijana wa ccm, tena kwa uratibu wa jeshi la polisi. Inaonekana unazungumza jambo ambalo hujalifanyia uchunguzi vizuri. Wapinzani wengi wamepata vilema toka kwa makundi ya ccm, na tabia hiyo imefanyika kwa uwazi zaidi toka awamu hii ya tano imeingia madarakani. Kwa macho yangu nimeona mgombea wa cdm wa udiwani akipigwa vibaya na vijana wa ccm, huku polisi wakiangalia, na kisha mgombea huyo wa cdm ndio akafungiliwa mashitaka ya kutaka kuharibu uchaguzi!

Kwa macho yangu nimeshuhudia mawakala wa cdm wakipigwa na jeshi la polisi ili wasaini fomu fake za matokeo, ili mgombea wa ccm atangazwe mshindi. Nilishuhudia kwa macho yangu kupitia kituo cha ITV, mabox ya kura yakitolewa vituoni kwenda kujazwa kura za ccm, na haya yote yalifanyika mbele ya polisi na msimamizi wa uchaguzi! Na huu ndio uliokuwa mwenendo kwenye chaguzi zote za marudio. Funga kazi ilikuwa ni ule ushenzi tulioushuhudia kwenye uchaguzi wa SM. Hapa unataka watu waende kushiriki bila silaha za jadi ili iweje labda?
Hiyo sio haki na inasikitisha kwa kweli. Hata hivyo silaha za jadi mbele ya silaha za moto ni collective suicide kwa kusema kweli. Na wabaya wenu watajitetea kuwa walikuwa wanajihami dhidi ya mashambulio yenu. Umwagaji damu hausaidii hata siku moja.

Amandla...
 
Hiyo sio haki na inasikitisha kwa kweli. Hata hivyo silaha za jadi mbele ya silaha za moto ni collective suicide kwa kusema kweli. Na wabaya wenu watajitetea kuwa walikuwa wanajihami dhidi ya mashambulio yenu. Umwagaji damu hausaidii hata siku moja.

Amandla...

Mkuu nimesema mwanzo nilisema kuhusu kutokushiriki uchaguzi kwasababu najua kinachoendelea. Ukanionyesha kutokushiriki ni kosa, kwani mambo yatasonga na kutakuwa hakuna ushahidi wa kudhulumiwa. Nikakuambia kama ni kushiriki basi wapinzani waende na silaha za Jadi. Ukanaonyesha kuwa hatujafikia huko. Moja kwa moja nikajua unaongea usichokijua. Nikakupa vitu ambavyo nina ushahidi navyo kwa uchache. Sasa naona umepata mwanga wa kinachoendelea, unaogopa umwagaji wa damu!

Kwa hapa tulipofika machafuko pekee ndio yatarudisha box la kura kuheshimiwa, au tusubiri rais huyu atoke, kwani yeye ndiye sababu ya yote haya. Ila uzoefu unaonyesha ili kuheshimiana kuwepo, au uhasama ushike kasi vizuri, machafuko pekee na umwagaji damu ndio suluhisho. Nimezungumza jambo zito kidogo, lakini ndio dawa, na iwapo kutatokea machafuko, hata mabadiliko ya tume ya uchaguzi, na katiba mpya yatapatikana.
 
Sijui nini kinaendelea kati ya CHADEMA na ACT juu ya kushirikiana katika uchaguzi mkuu wa baadae mwaka huu, ila napenda tu kuwatahadharisha kuwa wakishindwa kukaa pamoja na kuja na mpango mkakati wa pamoja juu ya namna bora ya kushirikiana katika uchaguzi huu,basi watakaofaidika na hali hii watakuwa ni CCM katika baadhi ya maeneo ambayo ACT watakuwa na nguvu na CHADEMA nao pia watakuwa na nguvu hata kama watakuwa wanazidiana kwa kiasi fulani.

Zanzibar
Huko ni bora CHADEMA wawaunge mkono ACT kwasababu ujio wa Maalim Seif umeipa nguvu ACT hivyo ni bora CHADEMA wawaunge mkono kuliko kugombea alafu wagawane kura ingawa hata pasipo kuungana, bado ACT itashinda kulinganisha na CHADEMA. Tutambue kuwa adui yetu mkubwa wa kisiasa ni CCM na si chama kingine chochote kile cha siasa.

View attachment 1498622

View attachment 1498597

kigoma
Katika mikoa ambayo ACT na CHADEMA wanaweza kugawana kura na matokeo yakawa ni wote kukosa kama siyo kupunguza majimbo ya kwenda upinzani,basi Kigoma inaweza kuwa ni mojawapo, hivyo ni vizuri washirikiane katika kusimamisha wagombea kwa maana ya kuachiana majimbo na kata za uchaguzi vinginevyo itakula kwao.

Mikoa ya kusini
Iwapo Membe atajiunga ACT bila kujali atagombea uraisi kupitia ACT au laa,kitendo tu cha Membe kujiunga ACT kitaipa nguvu ACT na kuongeza ushindani wa kisiasa baina ya vyama vitatu:CCM,ACT na CHADEMA.Kwa maana hiyo,wapinzani wakishindwa kuungana,CCM inaweza kufaidika ingawa ACT bado inaweza kushinda hata ikisimama peke yake ila hasara itakuja katika kura za mgombea uraisi iwapo hivi vyama kila kimoja kitasimamisha mgombea wake.

Ukiacha mikoa hiyo niliyoitaja pamoja na Zanzibar,athari za wapinzani kutoachiana majimbo na kata za uchaguzi zinaweza kuonekana pia katika maeneo mengine machache kama kwenye mikoa ya Tabora na Tanga, na lazima ieleweka athari za kugawana kura zitaweza hata kuathiri wagombea uraisi ikitokea kila chama kitasimamisha mgombea wake.

Tanzania kwa ujumla
Iwapo Membe kweli atajiunga ACT kama dalili zinavyoonyesha,basi ni dhahiri Membe atakuja na kundi kubwa la wana-CCM waliko nyuma yake nchi nzima;hivyo, iwapo wapinzani hawataungana na ACT wakamsimamisha Membe kama mgombea wao wa uraisi, hii maana yake ni kuwa wapinzani wanaenda kugawana kura za uraisi na hili litakuwa ni pigo kubwa sana kwa upinzani.

Jambo lingine:hata kama watakuwa wamechelewa kuungana kisheria,swala la wao kushirikiana kwa kuachiana majimbo na kuamua kuwapigia debe wagombea wao haliwezi kuwa ni kosa kisheria zaidi tu ya kuhitaji dhamira ya kisiasa kutoka wahusika.

Ukweli ni kwamba,hata pasipo vyama hivi kuungana,CCM na wagombea wake ndio inayostahili kushika mkia kwenye matokeo ya uchaguzi ila ndio hiyo tena bado kuna baadhi ya watanzania wenzetu hawajielewi.

Muda wa nusu karne na zaidi kama umewashinda kubadili maisha ya watanzania,sioni ni sababu gani ya kuendelea kuwapa nafasi ya kuendelea kubaki madarakani.

CHADEMA mkijiona mna nguvu na mnaweza kusimama kivyenu katika kila sehemu ya nchi hii,basi matokeo yake mtakuja kuyaona;halikadhalika kwa ACT-Wazalendo.

Nukuu muhimu za wanasiasa zinazoendana na mada hii:


Wananchi wa Tanzania wanaotaka mabadiliko hawatatusamehe viongozi wa vyama makini vya upinzani hapa nchini iwapo tutashindwa kuweka maslahi yetu binafsi pembeni na kuunda ushirikiano utakaowaongoza Watanzania kuiondoa CCM madarakani. Wakati ni Huu! Wakati ni Sasa-Ismail Jussa on twitter.

Ni wajibu wetu sote kuonyesha dhamira zenu za kweli kwamba tunahitaji coalition. Wananchi wanafahamu kwamba wapo ambao wqnafanyabiashara katika hizi siasa. Nakubaliana na wewe Kaka Ismail Jussa kwamba hili lazima tusimame na tuhesabiwe-Patrick Ole Sosopi on twitter.

Wananchi wa Tanzania wanaotaka mabadiliko hawatatusamehe viongozi wa vyama makini vya upinzani hapa nchini iwapo tutashindwa kuweka maslahi yetu binafsi pembeni na kuunda ushirikiano utakaowaongoza Watanzania kuiondoa CCM madarakani. Ninaamini TUNAWEZA na TUTAWEZA-Zitto Kabwe on twitter.
Ili membe nimwamini asigombee urais. Awe mwanachama tu.
 
Hiyo sio haki na inasikitisha kwa kweli. Hata hivyo silaha za jadi mbele ya silaha za moto ni collective suicide kwa kusema kweli. Na wabaya wenu watajitetea kuwa walikuwa wanajihami dhidi ya mashambulio yenu. Umwagaji damu hausaidii hata siku moja.

Amandla...
Acha kujitia woga wewe. Lazima tuwalaze kama 20 hivi hata kama sisi tutakufa 1000
 
Sijui nini kinaendelea kati ya CHADEMA na ACT juu ya kushirikiana katika uchaguzi mkuu wa baadae mwaka huu, ila napenda tu kuwatahadharisha kuwa wakishindwa kukaa pamoja na kuja na mpango mkakati wa pamoja juu ya namna bora ya kushirikiana katika uchaguzi huu,basi watakaofaidika na hali hii watakuwa ni CCM katika baadhi ya maeneo ambayo ACT watakuwa na nguvu na CHADEMA nao pia watakuwa na nguvu hata kama watakuwa wanazidiana kwa kiasi fulani.

Zanzibar
Huko ni bora CHADEMA wawaunge mkono ACT kwasababu ujio wa Maalim Seif umeipa nguvu ACT hivyo ni bora CHADEMA wawaunge mkono kuliko kugombea alafu wagawane kura ingawa hata pasipo kuungana, bado ACT itashinda kulinganisha na CHADEMA. Tutambue kuwa adui yetu mkubwa wa kisiasa ni CCM na si chama kingine chochote kile cha siasa.

View attachment 1498622

View attachment 1498597

kigoma
Katika mikoa ambayo ACT na CHADEMA wanaweza kugawana kura na matokeo yakawa ni wote kukosa kama siyo kupunguza majimbo ya kwenda upinzani,basi Kigoma inaweza kuwa ni mojawapo, hivyo ni vizuri washirikiane katika kusimamisha wagombea kwa maana ya kuachiana majimbo na kata za uchaguzi vinginevyo itakula kwao.

Mikoa ya kusini
Iwapo Membe atajiunga ACT bila kujali atagombea uraisi kupitia ACT au laa,kitendo tu cha Membe kujiunga ACT kitaipa nguvu ACT na kuongeza ushindani wa kisiasa baina ya vyama vitatu:CCM,ACT na CHADEMA.Kwa maana hiyo,wapinzani wakishindwa kuungana,CCM inaweza kufaidika ingawa ACT bado inaweza kushinda hata ikisimama peke yake ila hasara itakuja katika kura za mgombea uraisi iwapo hivi vyama kila kimoja kitasimamisha mgombea wake.

Ukiacha mikoa hiyo niliyoitaja pamoja na Zanzibar,athari za wapinzani kutoachiana majimbo na kata za uchaguzi zinaweza kuonekana pia katika maeneo mengine machache kama kwenye mikoa ya Tabora na Tanga, na lazima ieleweka athari za kugawana kura zitaweza hata kuathiri wagombea uraisi ikitokea kila chama kitasimamisha mgombea wake.

Tanzania kwa ujumla
Iwapo Membe kweli atajiunga ACT kama dalili zinavyoonyesha,basi ni dhahiri Membe atakuja na kundi kubwa la wana-CCM waliko nyuma yake nchi nzima;hivyo, iwapo wapinzani hawataungana na ACT wakamsimamisha Membe kama mgombea wao wa uraisi, hii maana yake ni kuwa wapinzani wanaenda kugawana kura za uraisi na hili litakuwa ni pigo kubwa sana kwa upinzani.

Jambo lingine:hata kama watakuwa wamechelewa kuungana kisheria,swala la wao kushirikiana kwa kuachiana majimbo na kuamua kuwapigia debe wagombea wao haliwezi kuwa ni kosa kisheria zaidi tu ya kuhitaji dhamira ya kisiasa kutoka wahusika.

Ukweli ni kwamba,hata pasipo vyama hivi kuungana,CCM na wagombea wake ndio inayostahili kushika mkia kwenye matokeo ya uchaguzi ila ndio hiyo tena bado kuna baadhi ya watanzania wenzetu hawajielewi.

Muda wa nusu karne na zaidi kama umewashinda kubadili maisha ya watanzania,sioni ni sababu gani ya kuendelea kuwapa nafasi ya kuendelea kubaki madarakani.

CHADEMA mkijiona mna nguvu na mnaweza kusimama kivyenu katika kila sehemu ya nchi hii,basi matokeo yake mtakuja kuyaona;halikadhalika kwa ACT-Wazalendo.

Nukuu muhimu za wanasiasa zinazoendana na mada hii:


Wananchi wa Tanzania wanaotaka mabadiliko hawatatusamehe viongozi wa vyama makini vya upinzani hapa nchini iwapo tutashindwa kuweka maslahi yetu binafsi pembeni na kuunda ushirikiano utakaowaongoza Watanzania kuiondoa CCM madarakani. Wakati ni Huu! Wakati ni Sasa-Ismail Jussa on twitter.

Ni wajibu wetu sote kuonyesha dhamira zenu za kweli kwamba tunahitaji coalition. Wananchi wanafahamu kwamba wapo ambao wqnafanyabiashara katika hizi siasa. Nakubaliana na wewe Kaka Ismail Jussa kwamba hili lazima tusimame na tuhesabiwe-Patrick Ole Sosopi on twitter.

Wananchi wa Tanzania wanaotaka mabadiliko hawatatusamehe viongozi wa vyama makini vya upinzani hapa nchini iwapo tutashindwa kuweka maslahi yetu binafsi pembeni na kuunda ushirikiano utakaowaongoza Watanzania kuiondoa CCM madarakani. Ninaamini TUNAWEZA na TUTAWEZA-Zitto Kabwe on twitter.
Umefanya very deep analysis....ila shortly, Chadema haichomoki bila ACT ....Mbowe akikaza shingo utaniambia hapa mwezi November ...
 
Mimi ni mpinzani kindaki ndaki lakini upuuzi wa kugombea Membe bora nipigie kampeni huu ushetani wa awamu ya tano. Membe ni shetani zaidi.
 
Sijui nini kinaendelea kati ya CHADEMA na ACT juu ya kushirikiana katika uchaguzi mkuu wa baadae mwaka huu, ila napenda tu kuwatahadharisha kuwa wakishindwa kukaa pamoja na kuja na mpango mkakati wa pamoja juu ya namna bora ya kushirikiana katika uchaguzi huu,basi watakaofaidika na hali hii watakuwa ni CCM katika baadhi ya maeneo ambayo ACT watakuwa na nguvu na CHADEMA nao pia watakuwa na nguvu hata kama watakuwa wanazidiana kwa kiasi fulani.

Zanzibar
Huko ni bora CHADEMA wawaunge mkono ACT kwasababu ujio wa Maalim Seif umeipa nguvu ACT hivyo ni bora CHADEMA wawaunge mkono kuliko kugombea alafu wagawane kura ingawa hata pasipo kuungana, bado ACT itashinda kulinganisha na CHADEMA. Tutambue kuwa adui yetu mkubwa wa kisiasa ni CCM na si chama kingine chochote kile cha siasa.

View attachment 1498622

View attachment 1498597

kigoma
Katika mikoa ambayo ACT na CHADEMA wanaweza kugawana kura na matokeo yakawa ni wote kukosa kama siyo kupunguza majimbo ya kwenda upinzani,basi Kigoma inaweza kuwa ni mojawapo, hivyo ni vizuri washirikiane katika kusimamisha wagombea kwa maana ya kuachiana majimbo na kata za uchaguzi vinginevyo itakula kwao.

Mikoa ya kusini
Iwapo Membe atajiunga ACT bila kujali atagombea uraisi kupitia ACT au laa,kitendo tu cha Membe kujiunga ACT kitaipa nguvu ACT na kuongeza ushindani wa kisiasa baina ya vyama vitatu:CCM,ACT na CHADEMA.Kwa maana hiyo,wapinzani wakishindwa kuungana,CCM inaweza kufaidika ingawa ACT bado inaweza kushinda hata ikisimama peke yake ila hasara itakuja katika kura za mgombea uraisi iwapo hivi vyama kila kimoja kitasimamisha mgombea wake.

Ukiacha mikoa hiyo niliyoitaja pamoja na Zanzibar,athari za wapinzani kutoachiana majimbo na kata za uchaguzi zinaweza kuonekana pia katika maeneo mengine machache kama kwenye mikoa ya Tabora na Tanga, na lazima ieleweka athari za kugawana kura zitaweza hata kuathiri wagombea uraisi ikitokea kila chama kitasimamisha mgombea wake.

Tanzania kwa ujumla
Iwapo Membe kweli atajiunga ACT kama dalili zinavyoonyesha,basi ni dhahiri Membe atakuja na kundi kubwa la wana-CCM waliko nyuma yake nchi nzima;hivyo, iwapo wapinzani hawataungana na ACT wakamsimamisha Membe kama mgombea wao wa uraisi, hii maana yake ni kuwa wapinzani wanaenda kugawana kura za uraisi na hili litakuwa ni pigo kubwa sana kwa upinzani.

Jambo lingine:hata kama watakuwa wamechelewa kuungana kisheria,swala la wao kushirikiana kwa kuachiana majimbo na kuamua kuwapigia debe wagombea wao haliwezi kuwa ni kosa kisheria zaidi tu ya kuhitaji dhamira ya kisiasa kutoka wahusika.

Ukweli ni kwamba,hata pasipo vyama hivi kuungana,CCM na wagombea wake ndio inayostahili kushika mkia kwenye matokeo ya uchaguzi ila ndio hiyo tena bado kuna baadhi ya watanzania wenzetu hawajielewi.

Muda wa nusu karne na zaidi kama umewashinda kubadili maisha ya watanzania,sioni ni sababu gani ya kuendelea kuwapa nafasi ya kuendelea kubaki madarakani.

CHADEMA mkijiona mna nguvu na mnaweza kusimama kivyenu katika kila sehemu ya nchi hii,basi matokeo yake mtakuja kuyaona;halikadhalika kwa ACT-Wazalendo.

Nukuu muhimu za wanasiasa zinazoendana na mada hii:


Wananchi wa Tanzania wanaotaka mabadiliko hawatatusamehe viongozi wa vyama makini vya upinzani hapa nchini iwapo tutashindwa kuweka maslahi yetu binafsi pembeni na kuunda ushirikiano utakaowaongoza Watanzania kuiondoa CCM madarakani. Wakati ni Huu! Wakati ni Sasa-Ismail Jussa on twitter.

Ni wajibu wetu sote kuonyesha dhamira zenu za kweli kwamba tunahitaji coalition. Wananchi wanafahamu kwamba wapo ambao wqnafanyabiashara katika hizi siasa. Nakubaliana na wewe Kaka Ismail Jussa kwamba hili lazima tusimame na tuhesabiwe-Patrick Ole Sosopi on twitter.

Wananchi wa Tanzania wanaotaka mabadiliko hawatatusamehe viongozi wa vyama makini vya upinzani hapa nchini iwapo tutashindwa kuweka maslahi yetu binafsi pembeni na kuunda ushirikiano utakaowaongoza Watanzania kuiondoa CCM madarakani. Ninaamini TUNAWEZA na TUTAWEZA-Zitto Kabwe on twitter.
Zile picha za 2015 za Zitto kumbeba punda (ACT) mgongoni zimepitwa na wakati. CDM na ACT fanyeni muungano wa aina yoyote ile, hakuna yeyote kati yenu anaweza kuitoa CCM madarakani kwa kujitenga. CDM toeni mgombea uraisi wa bara, ACT watoe mgombea uraisi wa visiwani, Membe kama kweli ni mpenda haki ataingia upinzani bila kung'ang'ania uraisi.
 
Mkuu mimi bado msimamo wangu uko palepale, bila tume huru ya uchaguzi ni kupoteza Muda. Nilitarajia wapinzani kila wakisimama ni kuiponda tume, hadi tume ipoteze kujiamini na isiwe katika mazingira rahisi ya kuibeba ccm. Lakini naona wanaongelea uchaguzi tu, huku wakiiacha tume kama chombo sahihi cha kusimamia uchaguzi. Hii ya kuachiana sehemu uko sahihi, lakini kwa tume hii, hata chama kimoja kikijitoa na wanachama wake wote waende chama kimoja, bado hakuna lolote litakaloendelea.
Tume sidhani kama itakuwa mpya kabla ya uchaguzi. Lakin mkisusia wanakula kuna cuf na kina mrema wapinzani feki. Wataingia uchaguzi na sisyem. CDM na ACT waamue wanamsusia nguruwe shamba la mihogo au wanapambana huku wakidai tume.

Serikali za mitaa walisusa, uchaguzi wa marudio Zanzibar walisusa, chaguzi ndogo za marudio walisusa, nini kimetokea au kubadilika? Asiye na haya mkabili kwa namna inayomstahili.
 
Membe mwenyewe hata akikohoa hatusikii .
Na kwa vyombo hivi vya habari hata afanye propaganda gani hatitosikia sauti yake.
Kama ningekuwa mshauri wake ningemuomba afuge,alime bamia kama assad na ale pension yake aliyoisotea kwa zaidi ya miaka 30 ya utumishi.
 
Kwani mpaka sasa ACT ina majimbo mangapi? usisahau jimbo la jf wakati wa kuhesabu
 
Huu muungano kwenye kura za urais na mgombea urais ndipo penye walakini.

Kiukweli kwangu Membe sioni influence yake kabisa ukiacha hiyo mikoa ya kusini, sasa kipi bora;

(a) Kumsimamisha Membe asaidie wagombea ubunge mikoa ya kusini ambayo hatuna uhakika kama kweli ana hiyo influence?

Au

(b) Chadema imsimamishe mgombea urais wake ambae inaamini anaungwa mkono na kundi kubwa la watu Tanzania nzima kwa ujumla, na sio kanda fulani pekee?

Mleta mada umejaribu kusisitiza kwenye umoja ni vizuri, lakini pia tuangalie kwa jicho la pili nguvu za wagombea hasa wa Urais kutoka vyama vyote viwili, tusilazimishe tu bora fulani ana jina basi apewe hiyo nafasi, napenda hapa tutazame zaidi nguvu/uungwaji mkono wa wagombea wa hivyo vyama viwili.
Mleta mada ni ACT anaomba ajira CDM, yaani hata cdm ikisusia uchaguzi act haiwezi kutoboa labda jimbo la jf
 
Huu muungano umeingia shubiri Mara baada ya zitto kumtamani mwanachama Wa ccm aje aokoe jahazi LA kugombea urais kupitia Act kisha muungano huo.Zitto kwa hili kapotoka sana, membe aweza karibishwa upinzani ila sio kwa kugombea urais.
Majanga aliyosababisha Lowasa na Genge lake Chadema wabaki wenyewe majira yatapita na maisha yataendelea hii kuwapokea wanaccm kwa harisa zakukataliwa huko kwao badae akili zikiwatulia wanarudi huko tena kwa kashfa kubwa kwa vyama pinzani hii haikubaliki
 
Sijui nini kinaendelea kati ya CHADEMA na ACT juu ya kushirikiana katika uchaguzi mkuu wa baadae mwaka huu, ila napenda tu kuwatahadharisha kuwa wakishindwa kukaa pamoja na kuja na mpango mkakati wa pamoja juu ya namna bora ya kushirikiana katika uchaguzi huu,basi watakaofaidika na hali hii watakuwa ni CCM katika baadhi ya maeneo ambayo ACT watakuwa na nguvu na CHADEMA nao pia watakuwa na nguvu hata kama watakuwa wanazidiana kwa kiasi fulani.

Zanzibar
Huko ni bora CHADEMA wawaunge mkono ACT kwasababu ujio wa Maalim Seif umeipa nguvu ACT hivyo ni bora CHADEMA wawaunge mkono kuliko kugombea alafu wagawane kura ingawa hata pasipo kuungana, bado ACT itashinda kulinganisha na CHADEMA. Tutambue kuwa adui yetu mkubwa wa kisiasa ni CCM na si chama kingine chochote kile cha siasa.

View attachment 1498622

View attachment 1498597

kigoma
Katika mikoa ambayo ACT na CHADEMA wanaweza kugawana kura na matokeo yakawa ni wote kukosa kama siyo kupunguza majimbo ya kwenda upinzani,basi Kigoma inaweza kuwa ni mojawapo, hivyo ni vizuri washirikiane katika kusimamisha wagombea kwa maana ya kuachiana majimbo na kata za uchaguzi vinginevyo itakula kwao.

Mikoa ya kusini
Iwapo Membe atajiunga ACT bila kujali atagombea uraisi kupitia ACT au laa,kitendo tu cha Membe kujiunga ACT kitaipa nguvu ACT na kuongeza ushindani wa kisiasa baina ya vyama vitatu:CCM,ACT na CHADEMA.Kwa maana hiyo,wapinzani wakishindwa kuungana,CCM inaweza kufaidika ingawa ACT bado inaweza kushinda hata ikisimama peke yake ila hasara itakuja katika kura za mgombea uraisi iwapo hivi vyama kila kimoja kitasimamisha mgombea wake.

Ukiacha mikoa hiyo niliyoitaja pamoja na Zanzibar,athari za wapinzani kutoachiana majimbo na kata za uchaguzi zinaweza kuonekana pia katika maeneo mengine machache kama kwenye mikoa ya Tabora na Tanga, na lazima ieleweka athari za kugawana kura zitaweza hata kuathiri wagombea uraisi ikitokea kila chama kitasimamisha mgombea wake.

Tanzania kwa ujumla
Iwapo Membe kweli atajiunga ACT kama dalili zinavyoonyesha,basi ni dhahiri Membe atakuja na kundi kubwa la wana-CCM waliko nyuma yake nchi nzima;hivyo, iwapo wapinzani hawataungana na ACT wakamsimamisha Membe kama mgombea wao wa uraisi, hii maana yake ni kuwa wapinzani wanaenda kugawana kura za uraisi na hili litakuwa ni pigo kubwa sana kwa upinzani.

Jambo lingine:hata kama watakuwa wamechelewa kuungana kisheria,swala la wao kushirikiana kwa kuachiana majimbo na kuamua kuwapigia debe wagombea wao haliwezi kuwa ni kosa kisheria zaidi tu ya kuhitaji dhamira ya kisiasa kutoka wahusika.

Ukweli ni kwamba,hata pasipo vyama hivi kuungana,CCM na wagombea wake ndio inayostahili kushika mkia kwenye matokeo ya uchaguzi ila ndio hiyo tena bado kuna baadhi ya watanzania wenzetu hawajielewi.

Muda wa nusu karne na zaidi kama umewashinda kubadili maisha ya watanzania,sioni ni sababu gani ya kuendelea kuwapa nafasi ya kuendelea kubaki madarakani.

CHADEMA mkijiona mna nguvu na mnaweza kusimama kivyenu katika kila sehemu ya nchi hii,basi matokeo yake mtakuja kuyaona;halikadhalika kwa ACT-Wazalendo.

Nukuu muhimu za wanasiasa zinazoendana na mada hii:


Wananchi wa Tanzania wanaotaka mabadiliko hawatatusamehe viongozi wa vyama makini vya upinzani hapa nchini iwapo tutashindwa kuweka maslahi yetu binafsi pembeni na kuunda ushirikiano utakaowaongoza Watanzania kuiondoa CCM madarakani. Wakati ni Huu! Wakati ni Sasa-Ismail Jussa on twitter.

Ni wajibu wetu sote kuonyesha dhamira zenu za kweli kwamba tunahitaji coalition. Wananchi wanafahamu kwamba wapo ambao wqnafanyabiashara katika hizi siasa. Nakubaliana na wewe Kaka Ismail Jussa kwamba hili lazima tusimame na tuhesabiwe-Patrick Ole Sosopi on twitter.

Wananchi wa Tanzania wanaotaka mabadiliko hawatatusamehe viongozi wa vyama makini vya upinzani hapa nchini iwapo tutashindwa kuweka maslahi yetu binafsi pembeni na kuunda ushirikiano utakaowaongoza Watanzania kuiondoa CCM madarakani. Ninaamini TUNAWEZA na TUTAWEZA-Zitto Kabwe on twitter.
Ndugu MEMBE hana kundi lolote analokwenda nalo ACT labda wapiga kura wa Jimbo la Mtama tu! kama Lowasa hakuwa na kundi lolote pamoja na ushawishi aliokuwa nao wapi Membe atakuja na kundi
 
Kuungana Ni ndoto, chadema walishaumizwa na lowasa Mwaka 2015, ACT wanatamani wajaribu kuonja sumu kupitia mgombea kutoka ccm aitwaye membe,Leo anaonekana masia.membe Leo anataka tume huru, alikuwa waziri mwandamizi kwa jk alishindwa hats mshawishi jk kupeleka mswada bungeni.duh huu unafiki huu sio sawa
Huu ndio ukweli nami nawaunga mkono Chadema kwaasiilimia zote! Membe akienda ACT akawe msaada wa kukuza upinzani sio aje kwaajili yakugombea uRAIS hapana this time vyama vitumie wagombea wao sio wakuazima manake bila hivyo itakuwa kila mwaka huko ugambani wanavurugana huku wanafanya mahali pakupumzikia
 
Mkuu mimi bado msimamo wangu uko palepale, bila tume huru ya uchaguzi ni kupoteza Muda. Nilitarajia wapinzani kila wakisimama ni kuiponda tume, hadi tume ipoteze kujiamini na isiwe katika mazingira rahisi ya kuibeba ccm. Lakini naona wanaongelea uchaguzi tu, huku wakiiacha tume kama chombo sahihi cha kusimamia uchaguzi. Hii ya kuachiana sehemu uko sahihi, lakini kwa tume hii, hata chama kimoja kikijitoa na wanachama wake wote waende chama kimoja, bado hakuna lolote litakaloendelea.
Ndugu yangu unadhani kuisema tu inatosha?
 
Back
Top Bottom