NUMAN
JF-Expert Member
- Sep 3, 2019
- 614
- 831
Membe ndo pekee anaeweza kumpa pressure magu... Kumbuka huyu anajua mbinu zote za kuingia ikuluHuu muungano umeingia shubiri Mara baada ya zitto kumtamani mwanachama Wa ccm aje aokoe jahazi LA kugombea urais kupitia Act kisha muungano huo.Zitto kwa hili kapotoka sana, membe aweza karibishwa upinzani ila sio kwa kugombea urais.