Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
Wadau, amani iwe kwenu.
Ni dhahiri sasa wapinzani wamechanganyikiwa. Wanaweweseka na hawana msimamo wa pamoja. Kwata za Rais Magufuli zimetifua bongo zao na sasa hawajui nini wanakisimamia.
Msimamo wa CHADEMA ni kwamba Rais Magufuli si Dikteta bali ni Dikteta Uchwara. Tena wameenda mbali na kuanzisha harakati za kupambana na Udikteta wa Rais Magufuli kwa kaulimbiu ya UKUTA.
Zitto Kabwe leo anaibuka na kumpinga mwasisi wa Udikteta Uchwara, Tundu Antipas Lissu. Zitto anasema kuwa Rais Magufuli si Dikteta na wala si Dikteta Uchwara bali anasema ni Dikteta Mamboleo. Anamlinganisha Rais Magufuli na Vladmir Puttin wa Russia.
Sasa hawa wapinzani vepeeeeeee! Mbona wamekuwa kama wajenzi wa mnara wa Babeli? Soon utasikia wanakuja na swaga mpya. Yetu macho.
Hapa Kazi Tu imewatifulia vumbi na matope
Msome hapa Zitto Kabwe kama alivyoandika kwenye ukurasa wake wa Twitter
Ni dhahiri sasa wapinzani wamechanganyikiwa. Wanaweweseka na hawana msimamo wa pamoja. Kwata za Rais Magufuli zimetifua bongo zao na sasa hawajui nini wanakisimamia.
Msimamo wa CHADEMA ni kwamba Rais Magufuli si Dikteta bali ni Dikteta Uchwara. Tena wameenda mbali na kuanzisha harakati za kupambana na Udikteta wa Rais Magufuli kwa kaulimbiu ya UKUTA.
Zitto Kabwe leo anaibuka na kumpinga mwasisi wa Udikteta Uchwara, Tundu Antipas Lissu. Zitto anasema kuwa Rais Magufuli si Dikteta na wala si Dikteta Uchwara bali anasema ni Dikteta Mamboleo. Anamlinganisha Rais Magufuli na Vladmir Puttin wa Russia.
Sasa hawa wapinzani vepeeeeeee! Mbona wamekuwa kama wajenzi wa mnara wa Babeli? Soon utasikia wanakuja na swaga mpya. Yetu macho.
Hapa Kazi Tu imewatifulia vumbi na matope
Msome hapa Zitto Kabwe kama alivyoandika kwenye ukurasa wake wa Twitter