Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,856
- 401
Kama kuna mwaka ambao historia imewekwa katika tasnia ya siasa basi ni 2010. Chama kilichopigwa vita kwa nguvu zote kwamba ni cha kikabila, kimkoa, kinini sijui, hatimaye kimezoa majimbo yote yaliyonona, kuanzia kaskazini mpaka nyanda za juu kusini, magharibi mpaka mashairki. Hakika nimeamini kwamba watanzania wamechoka 'domo kaya' wanachotaka sasa ni vitendo. Bravo chadema wananchi tupo nyuma yenu. MWENDO MDUNDO MPAKA KIELEWEKE. Mwanachama yeyote anayeleta misukosuko ndani ya chama lazima awe disciplined kwa kanuni na taratibu za chama. Hakuna kuleana kama cha cha ' cc ni m'.