Chadema Mwanza inahesabu siku za uhai wake trust me....

NI wakati wa mageuzi makubwa! Wale wasioweza kufikiri kimapinduzi lazima warudi walikotoka! CDM haiwezi kuyumba kwa kuondoka mtu kwn chama ni mfumo na wala si mtu
 
Kweli kabisa, inategemea koo tofauti kama akina Mbowe, Mtei, Ndesamburo, Lema, malizia...
Kikwete,Msekwa,kawawa,Nchimbi,Meghji,Karume,Malima,NNauye,Malecela,Mkapa,dewji koo kumi na moja za majambazi wa mali za umma
 
wewe,upo????kwanini ulienda kuua kijana wa watu kule ndago??????????????hiyo dhambi itakutafuna maisha yako yote
Mvalisha mbwa bendera za vyama vingine na mzinzi maarufu aka Igunga fumaniwa aka mwigulu chemba aka Lameck mkumbo ndio muuaji wa kijana wa watu ndago
 
Wewe hujaelewa alichokiandika Kitila Mkumbo.
Kitila Mkumbo ameandika hivi "Hakuna mwanasiasa aliyekuwa upinzani akarudi ccm akaendelea kuwa mwanasiasa ! "
Sasa wewe unaweka picha ya huyo jamaa kwani alishawahi kuwa upinzani na akarudi ccm ??
Umeelewa sasa ??

Unajiabisha tu. Kama hujui kitu bora ukae kimya. Fuatilkia historia ya huyo jamaa kwanza.
 
Inawezekana huyu ni mfanyabiashara na ameambiwa ili biashara zake ziende vizuri ni lazima apeperushe bendera ya CCM vinginevyo wanamfilisi kiaina. Mgamba kwa fitina hawajambo.
 
Waacheni wafu wazike wafu wao, CDM hakiendeshwi kwa ufadhili wa mtu, its pipooooooooz power

  • A%20S%20cry.gif

 
Kweli kabisa, inategemea koo tofauti kama akina Mbowe, Mtei, Ndesamburo, Lema, malizia...
Baregu, Rwakatare, Prof Safari, Mbilinyi, Msigwa, Kabwe, mnyika, Arfi, Mdee, yaaani variety from all corners of Tanganyika!
 
Na huyu mama alikuwa upinzani? chama gani maana nachojua mie mie alianzisha move moja ya kuwaunganisha wanawake wote bila kujali itikadi yao na kuunda baraza la wanawake ili kuondoa dhana ya kuwa na umoja wa wanawake kichama lakini kilichotokea akapigwa vita akaingia mitini
 
Huu uandishi wa habari na mada zingine ni wa kiwango cha TICTS.

Mwanachama kaamua kubadili/kuhama chama, perfectly right. Hivi huyu mlezi/mdhamini kuondoka CHADEMA ndio CDM ife Mwanza? Sengerema ni mkoa au Province? Sengerema ni Wilaya, hivyo hizi anaylsis mbuzi za kishabiki nazo ni changamoto kubwa tuliyonayo.
 
Kweli kabisa, inategemea koo tofauti kama akina Mbowe, Mtei, Ndesamburo, Lema, malizia...

Ashakum si matusi, hivi wewe ni mtu mzima au mtoto? maana kuna baadhi ya comments zako zinachefua, siasa yako inakuwa ni ya udini, ukabila na ukanda, amani tuliyonayo mtaimaliza nyie nyinyiemu, hata hii ishu ya waislamu na sensa mbegu hii mliipandikiza nyie na sasa imekua, mlisema CUF nichama cha kiislamu, na sasa waislamu wanalalamika (kitu ambacho huko nyuma hakikuwepo) sasa baada yakuungana nao mmeanza kuwa CDM ni chama cha kikanda na ukatoliki, pliz km mna akili timamu mtuachie nchi yetu maana utulivu huu mnaouchezea gharama yake kuurudisha ni kubwa pindi ikipotea, grow up!!!!!!!!!!!!!
 
Chadema wameshindwa kuongoza umeya mwanza,makao makuu wamejaribu kumbeba meya wameshindwa,wanamwanza wakakataa,ukweli ukasimama ,kumbe wezi wapesa za miradi,wamejaribu bajaji wameshindwa, wataweza treni???
 
MFADHILI MKUU WA CHADEMA SENGEREMA AHAMIA CCM
MLEZI na Mfadhili Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Jimbo la Sengerema, mkoani Mwanza, Bw. Alex Manji, ametangaza rasmi kukihama chama hicho na kujiunga Chama Cha Mapinduzi (CCM).


Bw. Manji ambaye hivi karibuni alitangaza kuwania ubunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya CHADEMA, katika Uchaguzi Mkuu ujao, alifikia uamuzi huo kwenye Mkutano Mkuu wa Uchaguzi Jumuiya ya Wazazi wa CCM, wilayani hapa, uliofanyia jana.

Alisema hajashawishiwa na mtu kukihama chama hicho bali amebaini kuwa kuendelea kukaa huko ni sawa na kupoteza muda wake kwani CCM ndio chama kilichomlea tangu utoto wake.

“Nimeamua kurudi nyumbani CCM kwa hiari yangu, nitakuwa bega kwa bega na wanachama wote kuhakikisha tunaisambaratisha CHADEMA hapa Sengerema.

“Ninaijua vizuri CHADEMA kwa sababu nimekuwa mdhamini wao mkuu katika jimbo hili,’’ alisema Bw. Manji ambaye pia alikuwa Mwenyekiti wa chama hicho Kata ya Nyampulukano.

Katika mkutano huo, Bw. Manji alipewa kadi yenye namba 0136371 iliyotolewa Novemba 5,2010, na mgeni rasmi Kamanda wa Vijana wa CCM wilayani hapa, Bw. William Ngeleja, ambaye alisema uamuzi aliochukua ni wa busara na unastahili kupongezwa.

Akizungumzia uchaguzi huo, Mbunge wa jimbo hilo, Bw. William Ngeleja, aliwataka wajumbe wa mkutano huo kuchagua viongozi ambao watasaidia kuimarisha chama katika Uchaguzi Mkuu ujao.

“Ndugu wajumbe, naomba tuwe makini tunapochagua viongozi ambao watakuwa msingi imara wa chama chetu huko tunakokwenda ili tuendelee kuwatumikia wananchi,” alisema.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa CCM wilayani humo, Bw. Jaji Tasinga, aliwataka wajumbe wa mkutano huo wajitokeze kwa wingi kutoa maoni yao kwenye tume ya kukusanya maoni ya Katiba Mpya.

Bora arudi huko walikomlea. Ndiyo maana ameshindwa kufit CDM............. Wanzake hatukulelewa na vyama kama yeye.......... tuna wazazi waliotulea na tunajua zipi ni mbivu na zipi na mbovu!!!
 
Alihama Kaburu Kigoma sembuse huyo mbuzi. Chezea Cdm wewe!

KABURU ALIHAMA CDM,KWASABABU ALITAKA KUGOMBEA URAISI WAKINA MTEI WAKAKATAA,WAKAMPA MBOE MKWE,SHULE HAMNA NI DJ TU,KABURU AKAONA UPUUZI AKATOKA,KABURU ANA PhD UJANA WAKE WOTE ALIKUA USA,CDM NGUVU YAO NI UCHAGGA NDUGU ZAO WANAPENDELEANA ,WANAMAPESA NI MABOSS NDANI YA SERIKALI,WAFANYABIASHARA + KANISA+ IPP ....NDIO MAANA NYERERE HAKUTAKA WACHUKUE NCHI.WACHAGGA WANAUTAKA URAHISI KWA NGUVU ZOTE,ANGALIA WENYEVITI HAWA,MBOE,MREMA,MBATIA WANGINE MILIONI 45 HAWANA KAKILI?.ILIWAHI TOKEA MKOA WA KILIMANJARO KUTOA WAGOMBEA URAISI 5 au WEWE ULIKUWA MTOTO!
 
Back
Top Bottom