Mkya
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 667
- 94
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mzee mmoja alipanda juukwaani wakati mbowe akihutubia na kutoa ahadi ya kuipa chadema Mwanza kiwanja pale nyamagana lakini ghafla alipanda kijana mmoja jukwaani alikiwa amevalia tishet ya m4c ambapo alianza kuzomewa kidogo mkutano uvunjike
Mikutano ya chadema haiwezi kuwa mbali na fujo
Mikutano ya chadema haiwezi kuwa mbali na fujo