Uchaguzi 2020 CHADEMA muwachunge wajumbe wenu kwa umakini mkubwa, kuna uwezekano wakahongwa fedha nyingi ili wamchague mtu asiye sahihi kwa maslahi ya chama fulani

Wakihongwa na wasipohongwa matokeo ni yale yale, aliyehongwa bado atapiga kura moja sawa na ambaye hajahongwa.

Kumbuka hata aliyehonga hana mamlaka ya kura kwa aliyemuhonga.

Aliyehonga bado haendi kuchukua nafasi ya aliyehongwa, hivyo aliyehongwa anapiga ajuavyo na atakavyo hakuna wa kumbadilishia kura.

Kumbuka wagombea wote uhonga, na wote hufanya hivyo kila mmoja kwa nafasi na wakati wake na kiasi chake.

Lakini hawana uhakika kwamba hongo zao zinathamani gani kwa mpiga kura.

Mjumbe atapiga kura kama alivyopanga kupiga hakuna ushahidi kwamba hongo imewahi kubadirisha matokeo.
Rushwa iko ccm huku CHADEMA hakuna huo ushenzi
 
Pale Ufipa hakuna wa kumzuia Nyalandu !
Hao MaCCM kwa rushwa ni kama uji na mgonjwa!!
Waliwanunua kina Silinde na Lijua likali, kuhong kwao ni mchezo tuu!!
Wajumbe wa CDM wakumbuke lengo la uchaguzi ni kuunda serikali itakayo leta katiba nzuri.
Kutengeneza nchi nzuri isiyo na dhuluma na ufisadi kama lilivyo lengo la TALissu!!
Pesa ya rushwa ni muda mfupi kama kina Silinde walivyo fanywa!!
Tufikirie maslahi mapana ya taifa letu Tanzania!!
 
Habari wakuu!

Moja ya mambo niliyokirimiwa ni kuwa na uwezo mkubwa wa kuona jambo la sirini, au jambo la mbali. Muda mwingine naweza kusema am a spiritual scanner.

Hili ninaloliandika si tetesi na halina ukweli direct bali ni forecast yangu tu.

Huu muda mfupi uliobaki kabla ya Uchaguzi mkuu ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo maarufu kama CHADEMA, kuna uwezekano mkubwa wa chama hasimu na CDM kugawa fedha nyingi kwa baadhi ya wajumbe ili wamchague mgombea fulani kwa maslahi ya chama hicho.

Please mod naomba huu Uzi muuache angalau mpaka pale CHADEMA watakapomaliza uchaguzi wao wa kumsimamisha mgombea wa kiti cha Urais.

Hapa wanakwenda kutengenezwa akina Yuda kwa vipande vya fefha za kutosha tu kwa kila kichwa.

CHADEMA kuweni karibu na makini na wajumbe wenu.

Nimemaliza.

Mkuu Watu hawahongwi kwenye Mkutano,Mtu unawezakuta Kashafuatwa nyumbani na Kuhongwa Pikipiki hata Nyumba,Chezea aliekuwa waziri wa Vitalu wewe!
 
Habari wakuu!

Moja ya mambo niliyokirimiwa ni kuwa na uwezo mkubwa wa kuona jambo la sirini, au jambo la mbali. Muda mwingine naweza kusema am a spiritual scanner.

Hili ninaloliandika si tetesi na halina ukweli direct bali ni forecast yangu tu.

Huu muda mfupi uliobaki kabla ya Uchaguzi mkuu ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo maarufu kama CHADEMA, kuna uwezekano mkubwa wa chama hasimu na CDM kugawa fedha nyingi kwa baadhi ya wajumbe ili wamchague mgombea fulani kwa maslahi ya chama hicho.

Please mod naomba huu Uzi muuache angalau mpaka pale CHADEMA watakapomaliza uchaguzi wao wa kumsimamisha mgombea wa kiti cha Urais.

Hapa wanakwenda kutengenezwa akina Yuda kwa vipande vya fefha za kutosha tu kwa kila kichwa.

CHADEMA kuweni karibu na makini na wajumbe wenu.

Nimemaliza.
Yaani mkuu kama hujui chandimu ni kama hamnazo! Subiri uchaguzi upite utaona
 
Hizi rushwa yawezekana tunapozungumza hapa tayari watu washashikishwa ten millions kila mtu wanahangaika nazo tu
Mkuu Watu hawahongwi kwenye Mkutano,Mtu unawezakuta Kashafuatwa nyumbani na Kuhongwa Pikipiki hata Nyumba,Chezea aliekuwa waziri wa Vitalu wewe!
 
Habari wakuu!

Moja ya mambo niliyokirimiwa ni kuwa na uwezo mkubwa wa kuona jambo la sirini, au jambo la mbali. Muda mwingine naweza kusema am a spiritual scanner.

Hili ninaloliandika si tetesi na halina ukweli direct bali ni forecast yangu tu.

Huu muda mfupi uliobaki kabla ya Uchaguzi mkuu ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo maarufu kama CHADEMA, kuna uwezekano mkubwa wa chama hasimu na CDM kugawa fedha nyingi kwa baadhi ya wajumbe ili wamchague mgombea fulani kwa maslahi ya chama hicho.

Please mod naomba huu Uzi muuache angalau mpaka pale CHADEMA watakapomaliza uchaguzi wao wa kumsimamisha mgombea wa kiti cha Urais.

Hapa wanakwenda kutengenezwa akina Yuda kwa vipande vya fefha za kutosha tu kwa kila kichwa.

CHADEMA kuweni karibu na makini na wajumbe wenu.

Nimemaliza.
Hili linawezekana Magu hashindwi kukomba hazina yote na kuwahonga mradi tu abaki madarakani
 
Habari wakuu!

Moja ya mambo niliyokirimiwa ni kuwa na uwezo mkubwa wa kuona jambo la sirini, au jambo la mbali. Muda mwingine naweza kusema am a spiritual scanner.

Hili ninaloliandika si tetesi na halina ukweli direct bali ni forecast yangu tu.

Huu muda mfupi uliobaki kabla ya Uchaguzi mkuu ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo maarufu kama CHADEMA, kuna uwezekano mkubwa wa chama hasimu na CDM kugawa fedha nyingi kwa baadhi ya wajumbe ili wamchague mgombea fulani kwa maslahi ya chama hicho.

Please mod naomba huu Uzi muuache angalau mpaka pale CHADEMA watakapomaliza uchaguzi wao wa kumsimamisha mgombea wa kiti cha Urais.

Hapa wanakwenda kutengenezwa akina Yuda kwa vipande vya fefha za kutosha tu kwa kila kichwa.

CHADEMA kuweni karibu na makini na wajumbe wenu.

Nimemaliza.
ccm wanamtaka Nyalandu ambaye ni Dhaifu sana asiye na uwezo hata wa kupata kura lakini tatu Nchi nzima, wanajua nyalandu hatampa shida magufuli, watajipenyeza huko ili wajumbe wamchague nyalandu
 
Binafsi kama Lissu hatapitishwa basi sitarajii tena maishani mwangu kupiga kurasu kushiriki kwa mtindo wowote kumchagua kiongozi
Upo uwezekano huo kwani ccm inafanya kila jitihada Lisu asiwe mgombea Urais wa chadema na wengi wakiona Lisu hayupo watavujika moyo na huenda siku ya kupiga kura wasijitokeze kupiga kura, uchaguzi ugubikwe na wapiga kura Wachache zaidi
 
Back
Top Bottom