Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,482
- 30,503
Rushwa iko ccm huku CHADEMA hakuna huo ushenziWakihongwa na wasipohongwa matokeo ni yale yale, aliyehongwa bado atapiga kura moja sawa na ambaye hajahongwa.
Kumbuka hata aliyehonga hana mamlaka ya kura kwa aliyemuhonga.
Aliyehonga bado haendi kuchukua nafasi ya aliyehongwa, hivyo aliyehongwa anapiga ajuavyo na atakavyo hakuna wa kumbadilishia kura.
Kumbuka wagombea wote uhonga, na wote hufanya hivyo kila mmoja kwa nafasi na wakati wake na kiasi chake.
Lakini hawana uhakika kwamba hongo zao zinathamani gani kwa mpiga kura.
Mjumbe atapiga kura kama alivyopanga kupiga hakuna ushahidi kwamba hongo imewahi kubadirisha matokeo.