Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,646
- 35,980
Habari wakuu!
Moja ya mambo niliyokirimiwa ni kuwa na uwezo mkubwa wa kuona jambo la sirini, au jambo la mbali. Muda mwingine naweza kusema am a spiritual scanner.
Hili ninaloliandika si tetesi na halina ukweli direct bali ni forecast yangu tu.
Huu muda mfupi uliobaki kabla ya Uchaguzi mkuu ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo maarufu kama CHADEMA, kuna uwezekano mkubwa wa chama hasimu na CDM kugawa fedha nyingi kwa baadhi ya wajumbe ili wamchague mgombea fulani kwa maslahi ya chama hicho.
Please mod naomba huu Uzi muuache angalau mpaka pale CHADEMA watakapomaliza uchaguzi wao wa kumsimamisha mgombea wa kiti cha Urais.
Hapa wanakwenda kutengenezwa akina Yuda kwa vipande vya fefha za kutosha tu kwa kila kichwa.
CHADEMA kuweni karibu na makini na wajumbe wenu.
Nimemaliza.
Moja ya mambo niliyokirimiwa ni kuwa na uwezo mkubwa wa kuona jambo la sirini, au jambo la mbali. Muda mwingine naweza kusema am a spiritual scanner.
Hili ninaloliandika si tetesi na halina ukweli direct bali ni forecast yangu tu.
Huu muda mfupi uliobaki kabla ya Uchaguzi mkuu ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo maarufu kama CHADEMA, kuna uwezekano mkubwa wa chama hasimu na CDM kugawa fedha nyingi kwa baadhi ya wajumbe ili wamchague mgombea fulani kwa maslahi ya chama hicho.
Please mod naomba huu Uzi muuache angalau mpaka pale CHADEMA watakapomaliza uchaguzi wao wa kumsimamisha mgombea wa kiti cha Urais.
Hapa wanakwenda kutengenezwa akina Yuda kwa vipande vya fefha za kutosha tu kwa kila kichwa.
CHADEMA kuweni karibu na makini na wajumbe wenu.
Nimemaliza.