Elice Elly
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 1,268
- 1,593
Si unatambua mitandaoni ndiko kulikokusanya watu wengi kwenye mapokezi ya Lissu?Ulionaje lakini ule umati uliokusanywa kwa nguvu ya mitandao?Mko imara mitandaoni lakini ninyi siyo wajumbe!
Si unatambua mitandaoni ndiko kulikokusanya watu wengi kwenye mapokezi ya Lissu?Ulionaje lakini ule umati uliokusanywa kwa nguvu ya mitandao?Mko imara mitandaoni lakini ninyi siyo wajumbe!
Ahahahaaa, hiyo sasa ya kuwekwa jina kwenye list lazima watafutaneAa
Aaah wapi hayupo. Na Magu hashindwi kuwapa keshi. Ila majina yao yatakuwa kwenye list.... usiniulize list gani na ya nini.
Lakini hata ukihonga unauhakika gani kwamba hiyo hongo iliingia akilini mwao?!Umenikumbusha mgombea mmoja wa CCM ambaye alipata kuwa waziri awali.
Alihonga zaidi ya nusu ya "wajumbe" lakini akaambulia kura 6 tuu.
Mbaya zaidi kila anayekutana naye anajifanya kumuuliza "hivi wengine hukuwapa? Maana Mimi nilikupigia"
Wapiga kura wa Chadema wanahofu ya Mungu, ukiwahonga ndio kwanza wanafanya maamuzi kinyume nawe.
Popote ilipo kwangu naona ni nzuri, inaonyesha watoa rushwa wanatujali kwa muda huo.Rushwa iko ccm huku CHADEMA hakuna huo ushenzi
Hongo yoyote haina guarantee ya matokeo, matokeo hupanga mpiga kura anavyotaka.kuna hongo unapewa kibabe ndugu. Au huzijui hizo hongo?
Na kuna hongo zina ahadi mbele ya matokeo. Wewe usifanye masihara
Kama uchaguzi unafanyika CHADEMA dola itaamrishwa vipi ipindishe matokeo zaidi ya hongo?Hongo yoyote haina guarantee ya matokeo, matokeo hupanga mpiga kura anavyotaka.
Njia pekee kushinda ni kuamrisha vyombo vya dola kubadilisha matokeo yakupe ushindi kwa lazima, hii nimeona ina uhakika kuliko kutegemea hisani ya idadi ya kura.
Katika ubora wakoBaada ya Slaa mgombea bora wa CDM anaepeperusha bendera anaefuatia ni Nyarandu.
Hata angepitishwa nani matokeo yakiisha tangazwa hakuna cha kufanya kikatiba. Kujipanga au kutojipanga kwa next general election ndio inavyokuwa miaka yoteKama uchaguzi unafanyika CHADEMA dola itaamrishwa vipi ipindishe matokeo zaidi ya hongo?
Lengo ni kumpata mgombea mdebwedo kutoka upinzani, ambaye hata ukimbadilishia matokeo ataishia kusema najipanga for next General Election.
Habari wakuu!
Moja ya mambo niliyokirimiwa ni kuwa na uwezo mkubwa wa kuona jambo la sirini, au jambo la mbali. Muda mwingine naweza kusema am a spiritual scanner.
Hili ninaloliandika si tetesi na halina ukweli direct bali ni forecast yangu tu.
Huu muda mfupi uliobaki kabla ya Uchaguzi mkuu ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo maarufu kama CHADEMA, kuna uwezekano mkubwa wa chama hasimu na CDM kugawa fedha nyingi kwa baadhi ya wajumbe ili wamchague mgombea fulani kwa maslahi ya chama hicho.
Please mod naomba huu Uzi muuache angalau mpaka pale CHADEMA watakapomaliza uchaguzi wao wa kumsimamisha mgombea wa kiti cha Urais.
Hapa wanakwenda kutengenezwa akina Yuda kwa vipande vya fefha za kutosha tu kwa kila kichwa.
CHADEMA kuweni karibu na makini na wajumbe wenu.
Nimemaliza.
Umeandika kwa hisiaMimi nimesema mara nyingi sana humu na naomba niseme tena...
Kwamba, MAJIRA na NYAKATI zikiwadia kwa jambo fulani lililopangwa na Mungu Muumba mwenyewe kutokea, basi huwa hakuna mtu wala nguvu nyingine yoyote inayoweza kuzuia jambo hilo....!
Yaani; siyo nguvu ya fedha; siyo nguvu ya jeshi lolote bora na lenye vifaa vya teknolojia ya kisasa; siyo ubunifu wowote wa sayansi ya kisasa; siyo visheria vya kijinga jinga walivyojitungia binadamu kufichia uovu wao; siyo miungu yao wala wachawi wao wala wanajimu wao. Yaani HAKUNA, HAKUNA, HAKUNAAA.
Kama fedha ikiletwa na hao wajinga wa CCM wakidhani watazuia kusudi la Mungu, msiogope chukueni ni zenu hizo. Pelekeni nyumbani mlipie ada za shule watoto wenu....
Mungu alikwishaweka maamuzi yake ndani ya mioyo yenu. Hakuna wa kutangua. Nguvu ya Mungu aliye hai ni SUPREME POWER. Ni nguvu yenye maamuzi ya mwisho MBINGUNI na DUNIANI...!
Wakileta fedha, wajinga hao, pokeeni. Wanadhani karama ya Mungu yaweza kununuliwa na fedha???
Umeandika kwa hisia
Naona jinsi gani unavyo andika comment yako huku unatetemeka na kutokwa na jasho.Pale Ufipa hakuna wa kumzuia Nyalandu !
Huu mpango wenu ushindwe
Bora mngechapisha fomu moja tu kama vipi!
Siyo watu wanunue fomu halafu kumbe tayari mna jina lenu mfukoni.
Tuko imara na Lissu View attachment 1523690
Mko imara mitandaoni lakini ninyi siyo wajumbe!
Kabsa sisi hatuna wajumbe bali tuna wapiga kura ...mm ni mpiga kura