Uchaguzi 2020 CHADEMA muwachunge wajumbe wenu kwa umakini mkubwa, kuna uwezekano wakahongwa fedha nyingi ili wamchague mtu asiye sahihi kwa maslahi ya chama fulani

Wanachama hawaaminiani,

Wajumbe hawaaminiki.

Chama hakiaminiki na wananchi.
 
Wakihongwa na wasipohongwa matokeo ni yale yale, aliyehongwa bado atapiga kura moja sawa na ambaye hajahongwa.

Kumbuka hata aliyehonga hana mamlaka ya kura kwa aliyemuhonga.

Aliyehonga bado haendi kuchukua nafasi ya aliyehongwa, hivyo aliyehongwa anapiga ajuavyo na atakavyo hakuna wa kumbadilishia kura.

Kumbuka wagombea wote uhonga, na wote hufanya hivyo kila mmoja kwa nafasi na wakati wake na kiasi chake.

Lakini hawana uhakika kwamba hongo zao zinathamani gani kwa mpiga kura.

Mjumbe atapiga kura kama alivyopanga kupiga hakuna ushahidi kwamba hongo imewahi kubadirisha matokeo.
Umenikumbusha mgombea mmoja wa CCM ambaye alipata kuwa waziri awali.
Alihonga zaidi ya nusu ya "wajumbe" lakini akaambulia kura 6 tuu.
Mbaya zaidi kila anayekutana naye anajifanya kumuuliza "hivi wengine hukuwapa? Maana Mimi nilikupigia"
Wapiga kura wa Chadema wanahofu ya Mungu, ukiwahonga ndio kwanza wanafanya maamuzi kinyume nawe.
 
Umenikumbusha mgombea mmoja wa CCM ambaye alipata kuwa waziri awali.
Alihonga zaidi ya nusu ya "wajumbe" lakini akaambulia kura 6 tuu.
Mbaya zaidi kila anayekutana naye anajifanya kumuuliza "hivi wengine hukuwapa? Maana Mimi nilikupigia"
Wapiga kura wa Chadema wanahofu ya Mungu, ukiwahonga ndio kwanza wanafanya maamuzi kinyume nawe.
Amina na Iwe Hivyo tupate Chaguo la watanzania TL
 
Mgombea akiwa siyo Lisu kwa upande wa chadema tusitegemee watu kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura
Hata hao wachache wanaweza wasijitoleze.nitashangaa hao wajumbe wanaochagua kama wakimchagua Mwingine zaidi ya Lissu.
 
Habari wakuu!

Moja ya mambo niliyokirimiwa ni kuwa na uwezo mkubwa wa kuona jambo la sirini, au jambo la mbali. Muda mwingine naweza kusema am a spiritual scanner.

Hili ninaloliandika si tetesi na halina ukweli direct bali ni forecast yangu tu.

Huu muda mfupi uliobaki kabla ya Uchaguzi mkuu ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo maarufu kama CHADEMA, kuna uwezekano mkubwa wa chama hasimu na CDM kugawa fedha nyingi kwa baadhi ya wajumbe ili wamchague mgombea fulani kwa maslahi ya chama hicho.

Please mod naomba huu Uzi muuache angalau mpaka pale CHADEMA watakapomaliza uchaguzi wao wa kumsimamisha mgombea wa kiti cha Urais.

Hapa wanakwenda kutengenezwa akina Yuda kwa vipande vya fefha za kutosha tu kwa kila kichwa.

CHADEMA kuweni karibu na makini na wajumbe wenu.

Nimemaliza.
Unalazimisha mgombea unayemtaka wewe ndiye awe chaguo la wajumbe.
Mgombea wenu atapatikana kutokana na katiba yenu;
Hao wajumbe wana uwezo wa kujua kilicho bora kuliko wewe.
 
Inatakiwa Chadema waweke utaratibu kuwa mtu akihamia chama chao asigombee cheo chochote mpaka baada ya muda fulani.

Kwa sababu huu utaratibu wao wa sasa inaonekana ndio ccm wanautumia kupachika watu wao kila uchaguzi moja unapomalizika.

Haiwezekani kila uchaguzi unapoisha lazima kuna mtu anatoka ccm kujifanya kuhamia Chadema au upinzani lengo lake likiwa kuja tu kugombea urais......!!!!!

Why only Chadema when there are many so called opposition parties? This thing sounds fishy.🐟🐟.
 
Habari wakuu!

Moja ya mambo niliyokirimiwa ni kuwa na uwezo mkubwa wa kuona jambo la sirini, au jambo la mbali. Muda mwingine naweza kusema am a spiritual scanner.

Hili ninaloliandika si tetesi na halina ukweli direct bali ni forecast yangu tu.

Huu muda mfupi uliobaki kabla ya Uchaguzi mkuu ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo maarufu kama CHADEMA, kuna uwezekano mkubwa wa chama hasimu na CDM kugawa fedha nyingi kwa baadhi ya wajumbe ili wamchague mgombea fulani kwa maslahi ya chama hicho.

Please mod naomba huu Uzi muuache angalau mpaka pale CHADEMA watakapomaliza uchaguzi wao wa kumsimamisha mgombea wa kiti cha Urais.

Hapa wanakwenda kutengenezwa akina Yuda kwa vipande vya fefha za kutosha tu kwa kila kichwa.

CHADEMA kuweni karibu na makini na wajumbe wenu.

Nimemaliza.
wakishindwa mpitisha chuma a.k.a lissu itakua basi tena jambo ambalo najua haliwezekani hata siku moja nyarandu sio kwa sasa mda huu
 
wakishindwa mpitisha chuma a.k.a lissu itakua basi tena jambo ambalo najua haliwezekani hata siku moja nyarandu sio kwa sasa mda huu
Yaani wamekulisha CCM kwa miaka lukuki Leo unataka kuwachallenge kupitia upinzani. Big no. Karibu upinzani kama mshauri na mwanachama tu na si vinginevyo
 
Back
Top Bottom