Umenikumbusha mgombea mmoja wa CCM ambaye alipata kuwa waziri awali.Wakihongwa na wasipohongwa matokeo ni yale yale, aliyehongwa bado atapiga kura moja sawa na ambaye hajahongwa.
Kumbuka hata aliyehonga hana mamlaka ya kura kwa aliyemuhonga.
Aliyehonga bado haendi kuchukua nafasi ya aliyehongwa, hivyo aliyehongwa anapiga ajuavyo na atakavyo hakuna wa kumbadilishia kura.
Kumbuka wagombea wote uhonga, na wote hufanya hivyo kila mmoja kwa nafasi na wakati wake na kiasi chake.
Lakini hawana uhakika kwamba hongo zao zinathamani gani kwa mpiga kura.
Mjumbe atapiga kura kama alivyopanga kupiga hakuna ushahidi kwamba hongo imewahi kubadirisha matokeo.
Kweli yaaniJiwe anamtaka nyalandu anajua atamgalagaza kwa kasi ya 5G
Amina na Iwe Hivyo tupate Chaguo la watanzania TLUmenikumbusha mgombea mmoja wa CCM ambaye alipata kuwa waziri awali.
Alihonga zaidi ya nusu ya "wajumbe" lakini akaambulia kura 6 tuu.
Mbaya zaidi kila anayekutana naye anajifanya kumuuliza "hivi wengine hukuwapa? Maana Mimi nilikupigia"
Wapiga kura wa Chadema wanahofu ya Mungu, ukiwahonga ndio kwanza wanafanya maamuzi kinyume nawe.
Hata hao wachache wanaweza wasijitoleze.nitashangaa hao wajumbe wanaochagua kama wakimchagua Mwingine zaidi ya Lissu.Mgombea akiwa siyo Lisu kwa upande wa chadema tusitegemee watu kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura
Mungu awatue nguvuWajumbe wa chadema waliomudu kukataa kunumuliwa sidhani watahongeka dakika hii!!!
10 M ni kidogo magu hashindwi kutoa 100M kila mmoja, Urais siyo mchezo aisee.Hizi rushwa yawezekana tunapozungumza hapa tayari watu washashikishwa ten millions kila mtu wanahangaika nazo tu
Hivi wajumbe wangapi wanauwezo wa kuzikana Milioni 50 , tena unaambiwa mpango ukitiki unamaliziwa 50 iliyobaki?10 M ni kidogo magu hashindwi kutoa 100M kila mmoja, Urais siyo mchezo aisee.
Hata Mimi alarm inagonga kwangu.Sjna imani na wajumbe
Unalazimisha mgombea unayemtaka wewe ndiye awe chaguo la wajumbe.Habari wakuu!
Moja ya mambo niliyokirimiwa ni kuwa na uwezo mkubwa wa kuona jambo la sirini, au jambo la mbali. Muda mwingine naweza kusema am a spiritual scanner.
Hili ninaloliandika si tetesi na halina ukweli direct bali ni forecast yangu tu.
Huu muda mfupi uliobaki kabla ya Uchaguzi mkuu ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo maarufu kama CHADEMA, kuna uwezekano mkubwa wa chama hasimu na CDM kugawa fedha nyingi kwa baadhi ya wajumbe ili wamchague mgombea fulani kwa maslahi ya chama hicho.
Please mod naomba huu Uzi muuache angalau mpaka pale CHADEMA watakapomaliza uchaguzi wao wa kumsimamisha mgombea wa kiti cha Urais.
Hapa wanakwenda kutengenezwa akina Yuda kwa vipande vya fefha za kutosha tu kwa kila kichwa.
CHADEMA kuweni karibu na makini na wajumbe wenu.
Nimemaliza.
wakishindwa mpitisha chuma a.k.a lissu itakua basi tena jambo ambalo najua haliwezekani hata siku moja nyarandu sio kwa sasa mda huuHabari wakuu!
Moja ya mambo niliyokirimiwa ni kuwa na uwezo mkubwa wa kuona jambo la sirini, au jambo la mbali. Muda mwingine naweza kusema am a spiritual scanner.
Hili ninaloliandika si tetesi na halina ukweli direct bali ni forecast yangu tu.
Huu muda mfupi uliobaki kabla ya Uchaguzi mkuu ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo maarufu kama CHADEMA, kuna uwezekano mkubwa wa chama hasimu na CDM kugawa fedha nyingi kwa baadhi ya wajumbe ili wamchague mgombea fulani kwa maslahi ya chama hicho.
Please mod naomba huu Uzi muuache angalau mpaka pale CHADEMA watakapomaliza uchaguzi wao wa kumsimamisha mgombea wa kiti cha Urais.
Hapa wanakwenda kutengenezwa akina Yuda kwa vipande vya fefha za kutosha tu kwa kila kichwa.
CHADEMA kuweni karibu na makini na wajumbe wenu.
Nimemaliza.
Yaani wamekulisha CCM kwa miaka lukuki Leo unataka kuwachallenge kupitia upinzani. Big no. Karibu upinzani kama mshauri na mwanachama tu na si vinginevyowakishindwa mpitisha chuma a.k.a lissu itakua basi tena jambo ambalo najua haliwezekani hata siku moja nyarandu sio kwa sasa mda huu
Wajumbe wakimpitisha Nyalandu utafanya nini?Nyalandu ni mwana nyinyi m hivyo na yeye aende Act wakaungane na membe huku kwetu mgombea wetu ni lisu
Aaah wapi hayupo. Na Magu hashindwi kuwapa keshi. Ila majina yao yatakuwa kwenye list.... usiniulize list gani na ya nini.Hivi wajumbe wangapi wanauwezo wa kuzikana Milioni 50 , tena unaambiwa mpango ukitiki unamaliziwa 50 iliyobaki?
Mmmhh