Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,304
- Thread starter
- #61
Chadema hawalet chuki bali ccm na mambo yao wanayoyafanya mf.mauaj nyamongo,ufisad,matabaka n.k iv we unadhan wananch wa sasa iv ndo wale wa miaka 50 iliyopita hawajui a wala che..yan 2kiandamana kukumbushia ahadi walizotoa eti 2naleta vurugu bwana ee kama mbwai mbwai acha tuuane..by the way kila siku wa2 wanakufa kama sio ajal,kauliwa na polisi malaria..na kila mtu atakufa siku moja acha 2badilishe mapish ili 2tasonga mbele..WE HATA USIOGOPE MUDA UTAFIKA KITAELEWEKA TU.
Uwaane na nani mzee? ungetoa mawazo yako ukiwa huru mtu mwenyewe umejificha kwenye shamba la karanga kwa kutumia jina bandia. Narudia thena na tena fujo mnaweza kuishawishi lakini nyie ni kama wapiga ngoma hamuingii kuicheza mbona hatujaona jina lako kwenye wale waliouwawa arusha kwa risasi za moto?