E. J. Magarinza
Member
- Jan 13, 2011
- 37
- 10
We unaipinda nchi au anafurahia kula na kunywa vinono chini ya kivuli cha utawala wa ndugu zako mafisada aka magamba!!??? Lipi la maana uliloifanyia nchi hii hata useme unaipenda zaidi ya kushirikiana na magamba wenzio kuifisadi?? Kwa mawazo hayo akili yako kama jojo tu!!Tunayoipenda nchi tumeshukuru yale yote mabaya mliosema yatatokea hayakutokea na Mungu atatuepushi leo na siku za usoni Amin.